Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wasaalam Natumai Hamjambo Kabisa...!! Wakuu nisaidieni jinsi ya ku connect DLS 2024 nataka kutembeza kichapo mahali halafu mtu nnaetaka kucheza nae yupo Marekani. Mie nipo Tanzania msaada tafadhali
1 Reactions
20 Replies
848 Views
Wanajukwa habari za wakati huu ndugu jamaa na marafiki natumai nyote ni wazima waafya .Lengo kuu la kuandika uzi huu nikuwaombeni msaada wale wataalamu wa maswala ya Technology and science in...
0 Reactions
4 Replies
482 Views
Kuna hii platform ya kimtandao inayojihusisha na kutoa huduma za kifedha inaitwa SELCOM HUDUMA. Hawana huduma kwa wateja nzuri, kubwa lililonileta kwenu miamala imekwama kwa muda wa wiki moja...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Hello Napataje subtitle ‘English’ kwa baadhi ya channel mfano Colors International na Star Life kwa Azam Tv Nimejaribu kila mbinu mpaka kifanya Factory reset lakini naambulia patupu 🥹🥹🥹
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Tuko kwenye zama za kidijitali ambapo michezo ya video haipo tu kwa ajili ya kuburudisha. Zamani, ilikuwa kawaida kuona michezo ya video kama njia ya "kupoteza muda," lakini sasa, teknolojia...
1 Reactions
1 Replies
287 Views
Kwa wapenzi wa soka Weekend tukiwa hatuna mishe tunajifungia ndani tunaangalia mpira au tunasogea vibanda umiza kupata burudani,Mimi binafsi huwa naangalia mechi zote za jumamosi na jumapili,you...
19 Reactions
122 Replies
8K Views
habari zenu wana JF, hivi karibuni nimeshuhudia poromosheni kubwa ya simu za kampuni ya oppo hasa zile za A series , unakuta internal storage 128, RAM 6, Qualcomm and octa core processor , ambapo...
10 Reactions
107 Replies
12K Views
Taasisi ya Kitaifa ya Afya na Ubora wa Huduma (NICE) ya Uingereza imesema teknolojia ya Akili Mnemba (AI), itasaidia kuongeza Uhakika wa Majibu ya Vipimo vya X-Ray kwakuwa ina uwezo wa kuona...
0 Reactions
0 Replies
313 Views
Wakuu naomba kuuliza. Je, ni kujaza wino kwenye printer hizi za kawaida za Tshs 400k-600k nitaprint kurasa ngapi Hadi wino kuisha na wino wa kuijaza printer unauzwa Tshs ngapi?
0 Reactions
3 Replies
461 Views
Wakuu kwema? Nina budget ya 1.2M nahitaji TV isiyozidi 55 inches. Chaguo lipi zuri kati ya Sony, LG, Samsung, TCL na Hisense. Ikipendeza na Model pia
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Kwema wakuu KIla kitu kina mapungufu yake na mazuri yake hapa nataka kueleza mapungufu zaidi. 1.Haina real time kabisa mpaka u refresh ndo uweze kuona message na notifications. 2. Kwenye...
6 Reactions
9 Replies
483 Views
Wakuu mwenye uzoefu wa hizi vitu anijuze mfano ni battery ya Gari 12V capacity 45A.H Mwanzo niliunga na solar now tanesco wameleta umeme nahitaji kuunda back up system na hizo battery iwe ina...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wana jamvi salama? Leo nakuja na swali ambalo nimelifikiria muda mrefu, mzee wangu aliwahi kutumia huu umeme wa inverter ambapo unachaji kupitia umeme wa TANESCO na kuiwasha unapokatika au...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Katika dunia ya teknolojia ya hali ya juu, maroboti yanaweza kuwa na nafasi kubwa katika kutawala na kudhibiti nyanja mbalimbali za maisha ya wanadamu. Hata hivyo, iwapo teknolojia hii itakosa...
1 Reactions
14 Replies
347 Views
Kama inavyojieleza hapo juu simu yangu nimesahau pattern na sitaki kufuta vitu vilivyomo, msaada kama naweza kuifungua
1 Reactions
16 Replies
643 Views
Wakuu, Mimi ni mtu ninayependa sana technology na nimekuw nikifuatilia sana masuala ya technology. Kwa upande wangu sijasoma course yoyote officially ambayo iko related na masuala ya IT ila...
2 Reactions
4 Replies
337 Views
Habari wakuu, Katika matumizi ya vifaa vya kieletroniki basi huwa kuna style tofauti za maandishi hutumika au huwekwa humo na watengeneza vifaa hivyo. Ila kwa baadhi ya vifaa hivyo mfano simi za...
0 Reactions
1 Replies
160 Views
Hivi nikiwa nime-switch off TV namna hii na hicho kitaa chekundu kikawa kinawaka ina maana still TV inaendelea kutumia umeme na kumaliza luku yangu na ikikaa muda mrefu sana TV inaweza kuungua...
3 Reactions
10 Replies
393 Views
Nina macbook toleo Hilo,je nifanyeje iweze kukubali apps za kuanzia 10.14 Natanguliza shukrani Chief-Mkwawa na wote naombeni msaada wenu wa mawazo.
1 Reactions
8 Replies
228 Views
Natafuta line ya safaricom ambayo inafanya kazi upande wa mpesa hata kama imewahi kuungwa paypal. Mwenye nayo akiwa dar anauza naomba ani PM
2 Reactions
16 Replies
743 Views
Back
Top Bottom