Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Niliweka uzi huu jujwaa la biashara ila audience yake nilivyoiona ina mwamko mdogo wa mambo ya tech, nimeona niwaletee watu wa tech. Ni biashara ambayo huwa naifanya kipindi ambacho game ya mpira...
3 Reactions
5 Replies
547 Views
Unapotumia simu au kompyuta, kuna mambo kadhaa ya kuzingatia ili kuhakikisha usalama, afya, na ufanisi: 1. Usalama wa Mtandaoni: - Tumia nywila (password) ngumu na salama. - Epuka kubonyeza...
3 Reactions
1 Replies
592 Views
Jamani natamani ku-m pm mtu fulani lakini sijui huwa mnatumia e-mail address au huwa mnatumia nini? na unafanyaje ili uweze ku pm mtu sijui chochote msaada jamani
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Unapotaka kununua simu mpya, ni muhimu kuzingatia mambo kadhaa ili kuhakikisha unapata kifaa kinachokidhi mahitaji yako. Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia: 1. Bajeti: Amua kiasi unachotaka...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wakuu, naomba ushauri kidogo kwa yeyote mwenye uzoefu wa hizi TV za TCL Kuhusu ubora, uangavu wa picha, pia changamoto zake. Kuna jamaa anataka aniuzie inchi 32 kwa 270000. Atakuwa...
1 Reactions
4 Replies
788 Views
Kwanza kabisa tufahamu tupo mwaka 2019 na teknolojia imebadilika kwa kiasi kikubwa na watu wanaamia kwenye ulimwengu wa flat panel (maarufu kama flat screen) kama kuna watu wenye zile za zamani...
78 Reactions
240 Replies
112K Views
Yaani kukatika mtandao wa vodacom limekuwa suala la mala kwa mala. Si mtandao wa kupiga si data. Limekuwa suala la kawaida. Zamani tulikuwa tunapewa taarifa, lakini naona hata wao wamechoka sasa...
1 Reactions
7 Replies
375 Views
Kwa wanaocheza game ya mpira, mimi naikubali zaidi PES hasa uwepo wa UEFA champions league, bado FIFA haikuti PES, kwa mtazamo wangu. Wewe unaikubali ipi? === Maoni ya wadau: Mimi still ni fan...
7 Reactions
185 Replies
22K Views
Tupeane app mbali mbali ambazo n ngumu kupata bure apple store 1.Youtube downloader 2.Music 3. nk nb: Sina iphone 16 waungwana msije mkajaa makasiriko
3 Reactions
0 Replies
178 Views
Unaponunua kompyuta, kuna mambo muhimu ya kuzingatia ili kuhakikisha unapata kifaa kinachokidhi mahitaji yako. Hapa ni mambo machache ya msingi: 1. Matumizi yako: Fahamu unataka kutumia kompyuta...
5 Reactions
10 Replies
596 Views
Wakuu naomba mawazo yenu. Nipo Huku Kijijini na umeme wetu hasa ni solar power. Kwenye vifaa vyangu Nina Inverter Ila tatizo la hii inverter ni kwba inatumia sana hali inayopelekea umeme kuishe...
3 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa! Nimekutana na simu aina ya Docomo s20 5g, baada ya kuulizauliza kwa baadhi ya wadau nimeambiwa hizi simu za Docomo zinatengenezwa na kampuni ambayo hapo awali ilikuwa ikifanya...
2 Reactions
5 Replies
626 Views
Wakuu Naona wauzaji wengi FB bei zao around 250k je hizi ni zenyewe au copy nisije pigwa?
0 Reactions
7 Replies
271 Views
Habari Tanzania project yetu ya NotiAi imependekezwa kwenye mashindano ya Google GeminiAPI -NotiAi ni AI inamuwezesha hata mtu asokua na internet kuAccess AI kwa SMS tu Tupige kura Tuzo ije...
1 Reactions
0 Replies
154 Views
Naomba kusaidiwa njinsi ya kuweka langi kwe post
4 Reactions
320 Replies
22K Views
Hivi unaweza kufanyaje iliuweze kuwa local internet ya kutengeneza mwenyewe locally? Ni vitu gani muhimu vinahitajika ili kuweza kuunda just local internet? Wataalamu nisaidieni katika hili Sent...
6 Reactions
63 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu, kuna desktop niniatumia tatizo haitaki ku print nimebadili windows na os hadi linux, nimeweka kila driver ila inagoma ku print printa yoyote ile. Printer mpaka inatambuliwa na...
1 Reactions
5 Replies
291 Views
Ikiwa akaunti yako ya Facebook imedukuliwa, unapaswa kuchukua hatua haraka ili kujaribu kuirejesha. Hapa kuna hatua za kufuata: 1. Badilisha nenosiri mara moja: - Ikiwa bado unaweza kuingia...
0 Reactions
2 Replies
657 Views
Wakuu nashindwa download application baadhi baada ya mim kusahau password ya app store nifanyaje ili niweze kupata password
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Teknolojia imefikia kwenye hatua ambayo binadamu anaweza kuunganishwa na teknolojia ya Google na hivyo akaweza kujibu maswali mbalimbali atakayoulizwa kwa usahihi.
1 Reactions
4 Replies
224 Views
Back
Top Bottom