Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Nina email yangu na password ila namba nilofungulia sina, sasa nahitaji kurudisha account yangu ya google nafanyaje maana nikijaribu naambiwa nijaze code. Kwa anayefahamu namna nyingine ya...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Samahan wakuu Kwa bahati mbaya Sana Jana nilikua nanunua vocha ya tigo Tsh 4000 kwenye crdb SIM bank sasa nikakosea nikajikiuta nmenunua vocha ya elfu 40000? Jeh naweza kubadilishiwa iwe tigo...
3 Reactions
4 Replies
550 Views
Habari ya wakati Natumaini tuko salama Fanya haya ili subwoofer yako na sound system yako idumu kwa muda mrefu [emoji1314] usichajie simu sehemu ya kuchomeka frash disk Sababu hi imekua ndio...
26 Reactions
50 Replies
5K Views
Kupambana na wizi wa akaunti za mitandao ya kijamii kunahitaji tahadhari na mbinu za kiusalama. Hapa kuna njia za kuimarisha usalama wa akaunti zako: 1. Tumia nywila imara: Hakikisha nywila yako...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
Habari Naitaji UI Design Ya App & Website So Kama ww ni good designer nichek 0678650509
0 Reactions
2 Replies
494 Views
Nahitaji Coder anayeweza kucoding au kumodify CMS vizuri nataka tufanye kazi ya kutengeneza Forum. Ukiwa interested nicheck
4 Reactions
6 Replies
224 Views
Habari JF members, Naomba kuuliza simu gani nzuri zaidi kwa picha nataka ninunue matumizi ni kupiga picha za biashara, budget 150,000 mpaka 250,000. I prefer used phones. Internal iwe kuanzia 64+.
6 Reactions
65 Replies
2K Views
Habari, Naitaji mtaalamu anayejua kutengeneza website na aka unda mfumo wa hosting reseller..... Nitext WhatsApp 0678650509
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Wakuu habarini. Kuna jokofu nimeona mahali limeandikwa 123Kwh/year kama energy consumption. Sasa naomba kuelewa inamaanisha nini hasa.? Nimejaribu kufuatilia mtandaoni ila bado elewa vizuri...
5 Reactions
29 Replies
958 Views
Nakuja kwenu wana jukwaa ili kunishauri camera nzuri kwa ajili ya live streaming kwa bajeti isiyozidi milioni mbili, ambapo nitakuwa nafanya live streaming kwa zaidi ya masaa matatu Chief-Mkwawa...
1 Reactions
4 Replies
298 Views
Ukiwa ni mtumiaji wa simu za mkononi na mitandao ya kijamii ni vigumu kujilinda usitambulike wewe ni nani na upo wapi iwapo tu kuna taasisi ina shida na wewe kwa sababu yoyote ile. Hata hivyo...
7 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana Jf naomba kujuzwa undani wa biashara hii ya solar panels kwa hapa nchini kwetu Tanzania, Vifaa vitegemeavyo solar power na ni kwa kiwango gani solar system and panels...
0 Reactions
6 Replies
421 Views
Israel imekuwa ikidukua simu zinazotumia internet na minara ya simu kufuatilia mawasiliano na location. Kikundi cha Hezbollah waliamua kukwepa tundu hili kwa kutumia pagers zinazotumia mawimbi ya...
5 Reactions
16 Replies
668 Views
For two years, my Netflix password has been: tricke22ry-notiLonal-freely-soSak-lice-slacken. Yes, really. It is a strong, unique password, and it ticked boxes to reduce the chances of me getting...
1 Reactions
2 Replies
685 Views
Hello I am a blogger as you are, we online people most of our time we are on our laptops working, so having a side friend to share ideas and having fun with while working it makes things easier...
8 Reactions
16 Replies
456 Views
Kwenye maisha, tuna uhakika wa vitu vitatu. Kifo, Kodi kupanda na iPhone mpya kila September! Wakali wa hizi mambo, leo uko Marekani watafanya uzinduzi mkubwa wa simu 4 za iPhone 16. Simu...
13 Reactions
104 Replies
5K Views
Hello WanajF Tech, naomba mnisaidie hili suala mbele yenu niko na Samsung A04S nina takribani mwezi sasa nikitaka kupiga Picha napewa notofications Warning Camera Failed nimejaribu Kugoogle sana...
4 Reactions
10 Replies
358 Views
Nimekuja kuuliza tena hii ishu. Kuna data za muhimu sana zimekufa na hard drive. Je kuna hapa tuna data recovery centre? Centre ya wale wataalamu wenye maabara kabisa. Kama hawa jamaa...
0 Reactions
13 Replies
523 Views
Back
Top Bottom