Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu habari zenu, Nimekuja kwenye hili jukwaa lengo ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu na watu wenye uzoefu na hizi simu za Google pixel. Nimejichanga nimepata hela kidogo, nataka ninunue...
11 Reactions
72 Replies
9K Views
WhatsApp sijui wana shida gani na mimi? Mwanzo nilikuwa natumia Iphone, shemeji/wifi yenu akaninyang'anya akanipa simu yake aliyokuwa anatumia, simu yake aliyonipa nitumie ni aina ya Oppo...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Kwa nini Hawa watu tusiwaekee forum Yao na kiuwezeshi kidogo ili waweze kuibua mambo mapya katika computer technology.
6 Reactions
8 Replies
366 Views
Wanaanga wawili wa kimarekani kutokea shirika la anga la NASA wameshindwa kurudi nyumbani kwa wakati kutokana na chombo walichotumia kufika huko cha Starliner kilichotengenezwa na kampuni ya...
4 Reactions
122 Replies
6K Views
Swali langu ni hilo tu, sina mengi. Awali ya yote natoa shukurani kwa watakaochangia.
6 Reactions
21 Replies
726 Views
Wakuu naomba kujuzwa namna Bora ama mbinu wezeshi Kwa ajili ya kuipata Move katika Telegram App. Maana Telegram ni mtandao mpana.So hata ikibidi tupeane ma ujuzi. Na wasilisha Kwa hatua.
3 Reactions
6 Replies
665 Views
Tumeona jana tarehe 09 Apple wamefanya yao kwa kutuletea iPhone 16 series. Same wine, new bottle! Sasa bwana leo wakali wa hizi mambo Huawei wamefanya yao kwa kuzindua Huawei Mate XT Ultimate...
30 Reactions
60 Replies
2K Views
Wakuu namba yangu kuna kipindi niliitumia muda mrefu sana kwenye gb WhatsApp, ila zilivyoanza zile ban niliachana nayo nikadownload official whatsapp. Sasa changamoto niliyonayo, namba kwenye...
3 Reactions
8 Replies
437 Views
Kichwa Cha habari hapo wakuu kinajieleza nataka Kujua Hawa wakina Mpemba og, side kama side Huwa wanatumia software gani kuingiza maneno Yao ?!? Nawasilisha swali na kama hujui kama Mimi Kaa kimya .
2 Reactions
5 Replies
369 Views
Mimi ni mpenzi mkubwa Sana wa simu za android na simu yangu pendwa ni Samsung lakini huku tunakoelekea naona kabisa nitaisaliti chama.Sababu ni kuwa Samsung wanaiga vitu vingi Sana ambavyo havina...
27 Reactions
219 Replies
10K Views
This is completely unethical and illegal, firstly 1)Get kali linux 2)Get InstaBrute, an instagram bruteforce tool 3)Hack into his/her account InstaBrute is a Instagram bruteforce exploit...
1 Reactions
153 Replies
15K Views
Sikujua ni leo baada ya kupitia kwenye steampowered ndio nimezikuta. days gone ambayo niliitamani sana kuicheza inapatikana kwa bei punguzo kutoka usd 49 hadi kwa usd 24 tu kwasasa. Zingine ni god...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimekuwa Nikipata tatizo naweka bando ndani ya muda Mchache naambiwa nimefika asilimia 70 ya kiwango Cha matumizi. Nikaanza kupunguza matumizi ya YouTube na App zingine za video ila Cha ajabu...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
What is your montly data usage? Hii ni kwa PC, kwa simu naona ni 15.6 GB. Matumizi yako ya data ni kiasi gani kwa mwezi na huwa unatumia zaidi data kwa shughuli gani?
6 Reactions
5 Replies
235 Views
Unakumbuka zile filamu tulizokuwa tunaangalia ambapo watu wanaishi na robot kama sehemu ya familia zao? Well, polepole hali hiyo inakaribia kuwa ukweli. Teknolojia inakimbia kwa kasi ya ajabu, na...
3 Reactions
7 Replies
427 Views
...wakubwa naomba shule kidogo. Assume nahitaji kununua flagship phones (sina pesa ya kununua mpya) let us say Samsung Note 20, je utanishauri nichukue refub or used? Mwenye shule poa atusaidie...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Wakubwa kwa aliewahi kutumia hii app ya Spotify kusikilizia muziki vipi nyimbo za Tanzania zipo humo au ni za mbele tu maana nimetoka kuifatilia mbali app ya boomplay kwa kuchoshwa na Ads kila...
7 Reactions
27 Replies
2K Views
15 Best Football Games for Android You Can Play Football (or soccer) is the world’s most popular sport. The only thing that is as satisfying as football is a football video game. While there are...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau! Mambo ya teknolojia sio kila mtu anayajua. Ninataka kununua TV. Katika kufanya window shopping, jamaa mmoja ananiambia..hii TV (anaitaja brand) ni nzuri sana, halafu ni 4K UHD. Nikamuuliza...
4 Reactions
83 Replies
8K Views
Hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza. Nahitaji wataalam wanisaidie please. Kwa sasa nina Smart Tv hii ipo Sebuleni. Nahitaji kununua Tv nyingine kwa ajili ya Chumbani. Angalau nipate 60"...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom