Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wadau? Natumia simu ya samsung A12, nilirestore simu na baada ya kuweka line zinasom emergency shida itakua ni nini?
3 Reactions
7 Replies
712 Views
Wakubwa nilikuwa naomba kujuzwa kwa mtu aliesomea Bachelor of science In Information System GPA inasoma 3.0 na anaujuzi wa data analytics. Anauwezekano wa kupata Ajira in goverment or private...
1 Reactions
5 Replies
562 Views
Sauti ya mtangazaji wa game PS zinawekwaje? Maana kile mchezaji anachokifanya ndio mtangazaji anatangaza. Kwa mfano hapa nilipo kuna madogo wanacheza game ni kati ya ManCity na Barcelona. Yaani...
5 Reactions
6 Replies
236 Views
Habari za wakati wapendwa wa jf tv yangu tangu asubuhi inaniandikia "VOLTAGE IS LOW TV WILL TURN OFF sijajua tatizo ni nini ni zaidi ya massage 12 sasa
0 Reactions
4 Replies
237 Views
Habarini za wakati huu wakuu Niliona sehemu mtandaoni wanauna kadubwasha kanaitwa "HDTV Antenna" kana uwezo wa kupata idadi kubwa cha tv channels kwa kukaweka katika muelekeo fulani kama...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Edit: Nimshukuru thesym kwa kuweza kushare nasi link muhimu yenye vitabu kibao, nimeweza kupata vitabu nilivyohitaji nawe waweza kujaribu. link ya vitabu
0 Reactions
13 Replies
957 Views
Je wanatumia program/ application gani ku create hizi pc wakuu??
5 Reactions
14 Replies
650 Views
Je, wakala wa mitandao ya simu inawezakana kulipia bill ya Maji DAWASCO ama Kulipia DStv kwa kutumia M-pesa, Tigo pesa, Airtel Money, au Halopesa. Na je pia unaweza kununua umeme kwa kupitia...
1 Reactions
1 Replies
333 Views
Simu Laini zote mbili zina soma vizuri lakini shida no service tatitzo ni nini wadau
1 Reactions
2 Replies
210 Views
Watalaam wa htc one, nimekuja tena. Safari hii naomba niweke data/information ili ziwasaidie katika kuamua kama hii simu yangu ni LOCKED, TATIZO LINGINE LA SOFTWARE AU NI TATIZO LA HARDWARE...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Mabando haya ghali yaliniumiza sana hasa nikiwa mtu mwenye kipato cha kawaida, Vuta picha tu kwamba MB 900 hazijafika hata GB ni elf 2 halafu umetumia nusu saa tu unapokea sms "umetumia asilimia...
29 Reactions
78 Replies
12K Views
Hadi sasa sina shaka kwamba kwenye uwanja wa unlimited internet, hawa supakasi chini ya Vodacom ndio wana uwezo wa kufikia wateja wengi kila mkoa kuliko hata fibre ambazo sana sana zipo mjini kati...
18 Reactions
89 Replies
8K Views
Wakuu zangu huwa nataka kufanya Huduma Mbalimbali katika mtandao lakini huwa na kwama hapa... Pia Napata shaka labda hata kuibiwa kimtandao...Wakuu naombeni Msaada.
3 Reactions
15 Replies
523 Views
Naomba msaada nikilog in kweny account yangu ya NMB mkononi inakuja haya maneno na app ina close
2 Reactions
33 Replies
8K Views
Nimepatwa Shida, Bei imenishuka. Natengeneza website kwa Tsh 150,000 tu. Itatumia CMS ya WordPress. Malipo ni baada ya kazi. Work Delivery ni ndani ya masaa 24. Serious customers tu Jamani 🙏...
1 Reactions
0 Replies
155 Views
Something mindless, with no intention, no goal, no direction created a masterpiece i.e the human body
3 Reactions
11 Replies
301 Views
Mwenye idea ya jinsi ya kupromote tovuti ya bongo ifikie watu wengi at a medium budget?
3 Reactions
12 Replies
281 Views
? ! 😎🤔
2 Reactions
2 Replies
529 Views
Habari zenu wana tech, Narudi tena na tena kwa mara nyingine, lengo kuu likiwa ni kufahamishana kuelimishana na kuhamasishana kwenye nyanja hii muhimu ya Tech, Gadgets & Science Forum. Kama...
12 Reactions
72 Replies
5K Views
Wataalam naomba mnisaidie njia nzuri ya kublock SMS kutoka kwa namba nisiyotaka initumie SMS Njia hiyo iwe tofauti na ile ya kuinstall apps kutoka play store Asanteni
0 Reactions
22 Replies
8K Views
Back
Top Bottom