Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Google wametangaza maboresho ya kupunguza wizi na kulinda data pale simu inapoibiwa. Baadhi zitakuja na Android 15 na baadhi zitakuja kwenye Android kuanzia 10 kwa kupitia update ya Play...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Hello, Mimi ni mwanafunzi wa Shule ya sekondari Tambaza kidato cha tano katika mchepuo wa PMCs. Naitwa Baraka Range. Napenda kuwashirikisha wadau wote wa tasnia ya teknolojia katika wazo langu...
19 Reactions
71 Replies
2K Views
❤️ Thanks everyone for your support and love! Last month I got interviewed by police for 4 days after arriving in Paris. I was told I may be personally responsible for other people’s illegal use...
4 Reactions
4 Replies
3K Views
Toyota vx Toyota Land Cruiser ambapo imetokana na neno la kijapani Toyota Rando-kurūzā?) ni aina ya magari yanayo tumia mfumo wa 4WD atika utendaji kazi wake yakiwa na nguvu na kasi...
3 Reactions
26 Replies
12K Views
Ni kitu gani kimeungua hadi nyaya zimepukutika karibu na tank la gesi?
1 Reactions
1 Replies
226 Views
Habari za muda ndugu wa JamiiForums Naenda moja kwa moja. Huwa natamani sana na mimi kufanya bolding ya maneno whatsap au humu ila huwa siwezi. Naomba mwenye uzoefu anielekeze. Alafu pia maneno...
18 Reactions
3K Replies
220K Views
Subwoofer yangu naona inashida. Nikiwasha upande wa bluetooth inalia alafu inaacha kutoa sauti wakati bluetooth bado inaonekana imeunganishwa. Sijajua ni kwa sababu gani, mwenye ujuzi anisaidie...
3 Reactions
6 Replies
276 Views
pima speed yako >> minya hapa << Halotel internet speed test yangu nimepima nikiwa Iringa mjini, Je huko kwako ni ngapi ?
3 Reactions
10 Replies
573 Views
Hello, I am a Form Five student at Tambaza High School, studying the PMCs combination (Physics, Mathematics, and Computer Science). My name is Baraka Range. I would like to share my idea with...
2 Reactions
19 Replies
793 Views
Utasikia mtu au watu wanasema "uchawi wa mzungu huo"- hapa wanamaana ya mashine au aina Fulani ya teknolojia!. Nianze taratibu kabla sijasema ninacho kuelewa. Niruhusu mjadala kwanza Kisha...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
Wadau naomba ushauri kati ya simu hizi mbili zinazouzwa kwenye maduka ya tigo IPI ni nzuri Energizer u652 na ZTE a35 ninataka kuchukua mojawapo
2 Reactions
2 Replies
459 Views
Haya ni baadhi ya matukio yanaoendelea katika Tantech association ambapo mimi na wenzangu kushirikiana na shule yetu tuliweza kuomba msaada wa kupata mafunzo mbalimbali Kwenye chuo cha Agakhan...
4 Reactions
4 Replies
278 Views
Mwezi hii ya mbeleni nipo kwenye mpango wa kufungua movies store hapa Dar es Salaam. Napitia changamoto moja ni CPU gani na yenye sifa gani inayoweza kunifaa. kwakazi hiyo maana siitaji kununua...
1 Reactions
19 Replies
668 Views
Kwa wale wanaohitaji huduma ya PayPal #unataka KUTUMA au KUPOKEA pesa kupitia PayPal nipo hapa kukurahishia kazi, ni DM tu . TRUST.. 💯✅ Hii ni kwa wale ambao hawana kabisa akaunti PayPal na...
2 Reactions
3 Replies
514 Views
Sina uhakika kama haya mambo wanafanya wakiwa wanajua uzito wa madhara wanayoweza au wamekua wakusababisha kwetu sisi wateja wao. Kwakweli leo hii nimehisi kukosa kabisa uvumilivu. Sijui hata...
5 Reactions
43 Replies
848 Views
Hallo naomba kupata mtaalam wa masuala ya Kufunga Gps kwenye magari 0766806904
0 Reactions
3 Replies
323 Views
Laptop yangu inakula bando balaa natumia window 10 yaani nikiweka afu tatu ndani ya nusu saa imekwisha wakati naingia JF tuu! Nimefunga window update lakini bado tatizo liko pale pale msaada please
3 Reactions
4 Replies
340 Views
Habari wakuu. Nahitaji mtu mwenye Google Developer Console niweze kununua. Nahitaji kwa Ajili ya kuendeshea blog. Napatikana 0692 76 33 06
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Wakuu Sote tunajua jinsi ya kununua umeme wa luku. Swali hili liliwahi kujadiliwa sehemu sina hakika ni wapi, lakini je zile vocha unazo nunua na kwenda kuingiza kwenye LUKU inakuwaje? Je, LUKU...
1 Reactions
113 Replies
37K Views
Back
Top Bottom