Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu habari za muda huu, Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used. Vipaumbele vyangu ni; 1. Battery nzuri at least...
5 Reactions
132 Replies
13K Views
Habarani wataalam, nimekuwa Nikipata tatizo la email yangu kupokea notifications za Facebook,Jamii Forums, Twitter, Quora na hii imesababisha email yangu kuwa bize Kila dakika. Pia nashindwa...
3 Reactions
8 Replies
557 Views
Kwa wale wenzangu na mimi wazee wa kuchizika sana na mipira....najua tunavyopata tabu kulipia DSTV kuangalia mipira mbalimbali ya ulaya..vifurushi bei ghali, inatulazimu tu kwenda kuangalia kwenye...
6 Reactions
75 Replies
14K Views
Speed - niweze kuseti speed ya juu kwa kila mtumiaji, mfano asivuke speed ya kudonload MB 1 kwa dakika MB - iwe kama tunavyonunua mabando ya MB kwenye mitandao ya simu, ukimaliza MB connection...
1 Reactions
11 Replies
604 Views
Nina laptop dell 5289 Nikishaiwasha tu feni inaanza kuzunguruka mda wote Ilianza inwzunguruka baada ya kama dakika 10 au 15 inaacha Sasa hivi ndio imezidi mda wote inalia tu kwa sauti Naombeni...
0 Reactions
18 Replies
505 Views
Wakuu habar za muda huu? Leo kila nikijaribu kufungua telegram inafunguka lakini inaandika connecting halafu haifunguki. Je, kuna mtu nae kwake inazingua kama hivi? Ningependa kujua
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Source: Twitter 1. Notch kubwa kwenye iPhone Flagship za Apple kama iPhone X series, 11 series, 12 series na 13 series zimekuwa zikija na notch kubwa kwa juu kwenye display ambayo imekuwa...
30 Reactions
70 Replies
8K Views
Natafuta mtu anayemiliki app iliyopo playstore ili aniuzie google console yake kwa milioni 2 (2,000,000).💲💲 Ikiwa utaniunganisha na mmiliki wa console na akaweza kuniuzia nitakupatia laki 1...
2 Reactions
1 Replies
216 Views
The boy is truly a 'bad boy', pls read on: NZ police swoop on teenage hacker By Nick Bryant BBC News Police in New Zealand have arrested a teenager they say was the ringleader of...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, nimekua mtumiaji wa voda unlimited kifurushi cha 115K miaka miwili sasa, lakini huu mwaka kimekua na usumbufu wa hali ya juu as if ni msaada..... Nataka nihame chimbo...
1 Reactions
7 Replies
756 Views
People who are infected with this virus plz follow the following instructions to remove the virus from your system. 1- To fix your DNS changed by the virus and removal of Malicious files plz...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hi, I am one of the few people who still uses Front Page (2003) to develop web sites. I usually take a simple approach, whenever necessary, but rely on the graphic look-and-feel. The sites I...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Patrick Gray November 13, 2007 Advertisement In August, Swedish hacker Dan Egerstad gained access to sensitive embassy, NGO and corporate email accounts. Were they captured from the clutches...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Nina email yangu imegoma kurudi nilikuwa naomba msaada wa kuirudisha na mimi nitatoa zawadi kwa yoyote yule atakaeweza. Email ni " godfreydumba8@gmail.com" password ni Viviane2021...
2 Reactions
12 Replies
504 Views
Habari ndugu naomba msaada simu yangu ina tatizo unaweza kuitumia siku nzima ila kuna muda inajizima na kujiwasha na inaendelea kufanya hivyohivyo mpaka unapobonyeza kitufe cha kuzima ndio...
1 Reactions
6 Replies
216 Views
Habari zenu wataalamu. Naomba uzoefu jinsi ya kutuma video ndefu facebook za hata 1 hour, 30 minutes au zaidi. Maana nimetumia fb lite app ikapeleka 30s nikatumia fb web ikapeleka 1 minute. Ila...
0 Reactions
4 Replies
302 Views
N:B: Sihitaji idea za PS, kamari, forex, bitcoin. habari zenu wana tech, naombeni mnipe ideas Nipo mazingira ya mjini binafsi ni muajiriwa lakini ni mdau mkubwa sana wa side hustles Nahitaji...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
U hali gani mwana JF? Nahitaji kufahamu simu aina ya Google Pixel nzuri, haijalishi ni mpya ama ya zamani, kikubwa iwe inapatikana kirahisi, simu yenye bei rafiki isiyozidi 300k, hata kama ni ya...
4 Reactions
1 Replies
698 Views
Wakuu nimekua nikitamani kufanya cartoon na 2d animation tangu niko shule. Hivyo imepita miaka mingi bila kutimiza ndoto kutokana na kutokuwa na resource mbalimbali. Sasa mwaka fulani hivi...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Back
Top Bottom