Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Hello wanajamii forum, Nahitaji kushare na nyie opportunity hii kuhusu mql5 programming language.
0 Reactions
3 Replies
303 Views
Kwema wakuu? Tusaidiane app nzuri ya kudownload videos & audios from youtube. Nilikuwa natumia Videoder but naona kama imeshafeli mazima. Any suggestion please tufaidi wote
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Pata tovuti ya kijanja iliyotengenezwa na Mswahili kwa kutumia teknolojia ya kisasa, Tovuti za kijanja zinazotumia lugha namba moja ya Kiswahili, kwa wewe mgeni ambaye ujuhi Kiswahili, hakuna...
0 Reactions
5 Replies
273 Views
Tarehe 16.7.2024. Nilliibiwa simu ktk eneo langu la kazi. nikaenda polisi kutoa Taarifa wakanipa RB baada ya hapo nikaambiwa ni subili mpelelezi, kufika kwa mpelelezi, ananiambia kutrack simu kuna...
18 Reactions
60 Replies
3K Views
Explore these top 5 most secure smartphones ruling the world right now In an era dominated by technological advancements and interconnectedness, the security of our data is paramount. Smartphones...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unazidi kuathiriwa na matumizi ya mifumo ya akili bandia kama ChatGPT na mifumo mingine. Ni kweli inarahisisha mambo kwa kiwango cha juu lakini akili za mtu zinazidi...
3 Reactions
9 Replies
506 Views
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa na kazi nzito sana ya kufanya translation ya pages zaidi ya 1,000 ndani ya wiki moja, kwa kawaida ilikuwa sio rahisi hivyo niliamua kutengeneza script kwa kutumia...
8 Reactions
14 Replies
907 Views
Kila siku tumekuwa tunajadili App zenye majina makubwa makubwa Leo nimekuja naomba list ya App ambazo zinamilikiwa na member wa jukwaa hili pengine zitatufaa zaidi kwa mahitaji yetu kuliko hizi...
3 Reactions
17 Replies
622 Views
Pata tovuti ya kijanja iliyotengenezwa na Mswahili kwa kutumia teknologia ya kisasa, Tovuti za kijanja zinazotumia lugha namba moja ya Kiswahili, kwa wewe mgeni ambaye ujuhi Kiswahili, hakuna...
0 Reactions
3 Replies
223 Views
Natamani kujua game ambazo zina ongoza kupendwa na watumiaji wa simu za mkononi Tz... Una game zipi kwenye simu yako?
7 Reactions
78 Replies
8K Views
Mimi binafsi ni mpenzi Sana wa portable speaker ili ikitokea umeme umekata bado Ngoma na zenye mikito na clear sound Binafsi portable speaker zangu Bora Kwa muda wote na zenye sound quality base...
7 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari wakubwa hii leo nakupa hii ya bure kabisaa Uliza swali kama hujaelewa Twende pamoja Jinsi ya Kuchagua Speakers Bora kwa Kufurahia Muziki Kwa wapenzi wa muziki, kuchagua speakers ni uamuzi...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Habarini wadau, kwa wale ambao bado tunajifunza, kuna hii kitu strategy ya ICT-Inner Circle Traders na wengine wanaita smart money concepts ambayo nimekuwa najifunza jifunza katika kutaka...
5 Reactions
44 Replies
4K Views
  • Question Question
Wadau, naomba kufaham ni driver zipi zinatumika kwenye hio mashine hapo juu ukiwa unatumia usb cable. OS-window 10 [64 bit] maana nimejaribu PCL6 na UFR II nainstall kila zikifika mwisho inaleta...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
DISCLAIMER: This content is solely based on my personal opinion. Moja kwa moja kwenye mada. Hizi flagships babalao ni Samsung pekee. Achana na series za Google pixel, iPhone, Redmi, etc...
17 Reactions
73 Replies
5K Views
Unakuta flagship kabisa hawana hii option wakati ni jambo dogo sana kuliko kuanza ku install ma third party applications? Kuna baadhi zinakuja na hii option nyingine ni mpk u download. Nani...
1 Reactions
7 Replies
354 Views
Leo nimekuja kwenye jukwaa hili naomba kujuzwa kuhusu simu aina ya Samsung Galaxy A55 Ubora wake upoje? Kwenye camera, battery, software updates nk Bei halisi nijiandae na sh ngapi? Mkitaja na...
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Vijana wenzangu acheni kiwewe cha simu, iPhone 15 Pro Max ni simu ya kawaida sana, kampuni ya Apple inauzia jina Punguzeni tamaa za dunia tumieni fedha mnazopata kufanya maendeleo iPhone 15 Pro...
9 Reactions
47 Replies
2K Views
Hii ni kwa ajili ya TV na device zinazotumia Android/GoogleTV tu hii haisupport app ya Azam bila shida nyingi za sideloading. Mfano ni Chromecast, Mi TV stick/box, baadhi ya TV za Sony, Hisense...
3 Reactions
1 Replies
757 Views
Naomba kujua betri ya solar ya N 20 inatakiwa isukumwe na panel ya watt ngapi?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom