Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Habarini wana jamvi. Naamini mko vizuri na mungu anasaidia sana. Akaunti Yangu Ina shida . Inashindikana kum follow mtu. Kuna maneno inaleta “Some accounts prefer manually review followers even...
1 Reactions
8 Replies
431 Views
Wadau ni muda umepita sasa Bila kugusia sarafu bandia, lakini ni wakati sasa wa kuangalia kuhusu hizi sarafu bandia na wengi mnaoelewa muwaepushe watanzania na ponzi scheme. Jambo kubwa naweza...
1 Reactions
1 Replies
246 Views
Naomba msaaada anaejua kutengeneza remote ya Bonanza yaani EMP jammar 
2 Reactions
0 Replies
117 Views
Wakuu za majukumu.najua hamjambo,kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nilinunua simu aina digit4g energy kutaka vodacom lakni yenyewe ni smart kitochi. Sasa simu hii lazima uweke laini ya voda ndo...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
Wenye Camera zao, leo tarehe 19 September wamezindua action camera ya huu mwaka, Action 5 Pro. Directly itaenda ku compete na Flagship ya action camera ya Hero GoPro 13 Black iliyozinduliwa...
5 Reactions
14 Replies
408 Views
wakuu habarin , wapi naweza pata smart kitochi? nahitaj simu ya batan ndogo yenye uwezo wa internet na WIFI ya 3g au 4g kama ipo, nimechoka kutembea na router kila wakati..
1 Reactions
15 Replies
684 Views
Habari za mchana wakuu. Samahani kila ninapo install Microsoft office 2007 kwenye kompyuta yangu naletewa huu ujumbe " Microsoft setup bootstrapper has stopped working". Nimejaribu kubadili setup...
1 Reactions
5 Replies
261 Views
Habari wana jamvi. Kutokana na changamoto ya gharama za vifurushi tunaelezwa kuwa angalau tukitumia router inapunguzakwa kiasi fulani. Sasa naomba kujua router (MiFi) ya kampuni gani ni nzuri...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Akili mnemba (AI) inafanya kazi kwa kutumia mifumo ya kihisabati na michakato ya kompyuta inayoweza kufuatilia na kuchambua data nyingi kwa haraka. Hapa kuna vipengele vya msingi vinavyofanya...
11 Reactions
16 Replies
1K Views
Baada ya miezi ya kujaribu kufungua (bila kufuta taarifa) simu mbili aina ya iPhone [ iPhone 5 na iPhone 7 ] zilizokua zikitumiwa na gaidi aitwaye Syed Farook (21), Hatimaye FBI yafanikiwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
PART 2 EP01 Tuijue Laptop Na Tuifungue Kisha Tuifunge. Wasalaam Wanandugu: Tumekutana Tena Katika Darasa Letu Huru La Laptop Repair, Na Part 2 Hii Tutakuwa...
23 Reactions
73 Replies
13K Views
MUHIMU: UZI HUU SIO WA KUKUMBUSHANA COMPUTER GAMES Binafsi nilianza kwenda Internet cafe 2002, computer zilikuwa zenye visogo 😂 . Mitanado maarufu kwa hapa bongo ilikuwa ni Marafiki.com na...
43 Reactions
167 Replies
12K Views
Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kuwa hivi wakati flani, nilikuwa nakipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi niliyekua nae, nikawa naambiwa ila...
7 Reactions
48 Replies
2K Views
Habarini wataalam wa Jamii Forums.Naomba msaada wenu TV yangu ya HOMEBASE yenye Double glass na picha ya HD ready inanisumbua Sana picha inacheza cheza kama mwanga wa disco.Hali hii inanikera hasa...
2 Reactions
6 Replies
403 Views
Wameanza kwa mbwembwe kama hivyo na ndugu zetu upinde wamepata kipaumbele namna hiyo Website ya AppleBETA iko busy naona soon wale wa dev beta mzigo utakua hewani IOS 18 IOS 18 is out now
1 Reactions
40 Replies
2K Views
Kwenye hii nakala nitakuonesha kwa ukamilifu kabisa jinsi ninavyoweza kutengeneza websites zenye mvuto (kama hiyo apo chini) bila ujuzi wowote wa lugha za kompuyta (programming languages) na pia...
15 Reactions
52 Replies
10K Views
Kuwepo Kwa jambo kubwa ambalo ni zuri , ambalo unalimiliki wewe unakuwa na furaha sana na ikiwa jambo hilo anamiliki mtu mwingine basi wewe muda mwingine unakuwa na mawazo labda yule mwenye nalo...
3 Reactions
0 Replies
190 Views
Nimenunua simu aina ya oppo A37f kwa wachina wa Kikuu. Tatizo kila nikijaribu kuwasha data naona hairespond kabsa japokuwa inaonesha kwenye bar 3G. Je tatizo linaweza kuwa ni simu au settings tu...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Kampuni kutoka China Tecno, wanazidi kuwafurahisha na kuwashangaza Walimwengu kwa kuzindua generation ya pili ya foldable smartphones, kwa kuja na Flip na Fold, zote zikiwa na Ella AI ambayo iko...
18 Reactions
73 Replies
2K Views
Back
Top Bottom