Ndugu zangu mlowai nunua simu kikuu mnipe uzoefu, mi niliweka order tar 21 december 2020, lakini hadi leo karibia mwezi mzima lakini mzigo bado uko warehouse.
Habari zenu wakuu!
Samahanini jamani naomba mwenye kujua anisaidie yafuatayo;
> Endapo gari langu nitaliacha kwa muda mrefu bila kulitumia je kuna matatizo ambayo yanaweza kujitokeza?
> Kama...
Hellow Wandugu Naombeni Mwenye kujua maujanja ya kurusha tukio live kwa kutumia Obs Studio Pasipokuwa na kile kimashine cha Live Please naombeni waja mnisaidie.
Nb:Kwa walio serious na wanaojua...
kama wewe ni software technician wa simu...eleza tatizo lako na saidia katika ufumbuzi wa masuala mbalimbali yanayohusiana na software katika simu..mnakaribishwa...by the way naitwa mbonde
Naam Naamini hapa kuna wajuvi wa mambo mengi mazuri, nilitaka kufaham ni njia gani nzuri na rahisi zaidi inayoweza kuniwezesha ku transfer wirelessTransmission Audio&Video kutoka kwenye Decoder...
Wakuu heshima yenu. Naomba msaada wa kupatiwa activation key ya microsoft office professional Plus 2019
Mfano nikiandika kwenye Microsoft word inagoma na kuleta maandishi "you can't make this...
Naombeni ushauri wenu wadau mm nimemaliza kidato cha Sita mwaka jana ila sikwenda chuo kutokana na sababu mbalimbali hivyo mwaka huu ndio nahitaji niende chuo!
Naombeni ushauri ni kozi ipi...
Nimenunua simu mpya, nikaweka line zangu toka simu ya zamani. Nikakonect internet na whatsapp, loh! whatsapp zangu contacts ma msgs hazikurudi. Nifanyeje?
Mimi nahitaji msaada kama inawezekana , Najua kutumia vema kompyuta, mpaka kufanya matengenezo upande wa software pekee, najua kutumia vizuri Microsoft office, kupiga window na kurepair kompyuta...
siwezi kufungua emails zangu mpaka niingize code ambazo zinatumwa kwenye simu yangu. bahati mbaya sana line ya airtel ambayo code hizi zinatumwa sina, yaani amepewa mtu mwengine kwani sijaitumia...
Habar wadau!
Leo nimepata tatizo ambalo sijawah kutana nalo before naomba niweke wazi mm nina password moja tu na ndio io io nalogin kwenye account zangu zote sasa mara ya mwisho nilikuwa...
CASSINI ikiwa inazunguka kati ya Saturn na mwezi wake wa Titan
Utangulizi
Leo ni siku ya kihistoria na mafaniko makubwa kwa wanasayansi wa elimu ya anga duniani (astrologists) kwani majira ya saa...
Wazo Challenge Tanzania ni mchakato ulioanzishwa kuwawezesha Watanzania kutatua changamoto za kidijitali Tanzania.
Je, una wazo ambalo linaweza kutatua changamoto fulani?
Kwa kujiunga na Wazo...
Wakuu leo nilikuwa napitia application ya alibaba nimeona kule wanauza pc kwa bei ya chini, yaani pc ina screen 15.6 GB 8 inauzwa. Tsh. 279,000 ... Na vitu vingne vingi vya quality kwa bei ndogo...
Yaan leo ndio nimechoka km hali ndio hii hii serikal sidhan km ipo kwamaslah ya wananch bali ipo kwa maslah yake yeye yenyewe
Majuzi juz apo nilimsikia spika akisema kuwa sijui wapandishe kodi...
Habari za mda huu wadau, ningependa kujua ni wapi naweza kununua au kupata vitabu vya programming language kama javascript na java kwa Dar es Salaam, Nimejaribu kutafuta maduka mbalimbali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.