Natakaa kuagiza LCD hii hapa US $25.88 30% OFF|5.5
ni mara yangu ya kwanza kufanya manunuzi kwenye mtandao huu pia kama kuna option naweza kupata kwa hapa Tanzania kwa bei nafuu na nikizuri...
Mbona App ya Twitter nimeitafuta sana App Store siipati wandugu? Kuna mtu anaweza nisaidia? Nilikuwa nayo mwaka jana ila ilipoanza kugoma goma nikaifuta,sasa nataka kuirudisha kila nikiitafuta...
Wakuu kuna WiFi tunatumia hapa chuo but iko slow sana .kiasi kwamba hata kudownload photos za watsaap wala kuplay video haiwezekani.
Lakini meseji za whatsaap zinaingia fresh kwenye simu. Pia...
KWA UFUPI
Katika malalamiko hayo, jumla ya kiasi kilichokuwa kikigundulika kuibwa kwa wateja hao ni kuanzia Sh20,000 hadi zaidi ya Sh200,000 ikitegemeana na salio la mteja katika akaunti yake,...
Fungua Notepad kisha andika au copy and paste command ifuatayo:-
echo off
Ipconfig/release
Save as Tzhacker.bat unaweza ukasave kwa kutumia jina lolote ila cha muhimu ni .bat, (Something.bat)...
Poleni na Majukumu wataalamu nina ka inshu apa naomba kushare na nyie nikiamini humu kuna wataalam zaidi wenye weledi tofauti tofauti.
Naomba mnisaidie hii PC itaweza kazi za Graphics even for...
Nimejitaidi Kucheki Tutorials YouTube Za Kila Aina Ila Bilabila, Simu Yenye Ni Tecno Canon 11, Nime-clear Data Na Cache Kwenye Play store Na Playstore Service Lakini Inakataa Kuinstall Facebook...
Habarini,
Kwa wale ambao wamekuwa YouTuber wanaweza kuwa wanafahamu shughuli iliyopo katika kuhakikisha wanakamilisha mchakato wa kufikisha watch hours 4000 jinsi ambavyo si mchakato mdogo ikiwa...
Salaam Wanajumuiya JF.
Air Compressor size ndogo kwaajili ya kujazia upepo, hasa hasa tairi za pikipiki na gari ndogo ndogo ikiwezekana.
Je air compressor mtungi wa LT 50 unatosha kwa mahitaji...
Naomba nielezeee kidogo shida zake japo kwa uchache.
1.Alishawahi kuwaambia Walimu Kwenye Semina ya mtihani wa Darasa la nne Watoke kwenye Semina kama wanaona hela ni kidogo.Malipo waliyotajiwa...
Habari zenu ndugu zangu na tumia hp notebook 15 pc yangu ina sumbua upande wa internet hasa wakati wa kudownload unakuta kitu kina mb 4 tu na mtandao ni 4g ila inatumia hadi dak 10 au 15 kitu cha...
Laptop au wanapenda kuita Personal Computer(PC), ni kifaa muhimu sana kuwa nacho hasa kwa kijana wa sasa anayekwenda na kasi ya Dunia katika nyanja mbalimbali za maisha.
Wengi wetu hatumiliki PC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.