Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Wakuu habari zenu, Nahitaji kuwekeza nguvu zangu kwenye utengenezaji wa katuni hai mfano wa Tom and Jerry. Elimu ya utengenezaji naweza kuipata wapi au ninaweza kuchimba mwenyewe? Naomba msaada...
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Je ? Una google play console account. 1. Nanunua google play console angalau kuanzia mwaka 1 na kuendelea(chini ya mwaka tutazungumza). 2. Nanunua google play console yenye live app kuanzia 1 na...
2 Reactions
6 Replies
485 Views
Habari.nawezaje kudownload JF for windows 8.1
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari. Nataka kupakua app ya jf kwenye computer yangu, naomba kwenye link aweze kunipa au msaada jinsi ya kuipata, najaribu kuipakua hapa inanishinda.
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Habar hii simu haiwaki imezima gafla nimepeleka kwa kila aina ya fundi wamebadilisha kioo imeshindikana kuwaka ikiweka chaji inapeleka ukiwasha inatoa mlio wa kuwaka ila kioo hakiwaki. Msaada.
0 Reactions
7 Replies
661 Views
Habari wa JamiiFirums, Leo nimejisikia ku-share njia hii rahisi yakupata namba zako zote za simu za zamani zilizopotea au zile ulizofuta kwa bahati mbaya. Hii ni kwa watumiaji wa facebook tu...
34 Reactions
123 Replies
80K Views
Mtu anaye nitumia anakuwa kama analipa kwa credit card yake alafu mimi napokea pesa nimecheki azampay link naona ni tigopesa tu Vp siwez tumia visacard ya voda kupokea?
1 Reactions
4 Replies
221 Views
Wakuu habarini ni hivi baada ya kufanya manunuzi mara kadhaa katika mtandao wa kikuu na AliExpress Sasa nataka kujongea panapo ebay. Hivyo naomba mnimpe picha halisi ya ebay mfano aina ya wauzaji...
3 Reactions
8 Replies
289 Views
Zifuatazo ni dondoo zangu chache za jinsi ya kuanza kwa upande wa kiufundi wa computer hacking. Unatafuta ni namna gani ya kuanza kujifunza kitaalam infosec au cyber? Unatamaa ya kujua namna gani...
12 Reactions
16 Replies
5K Views
Wakuu nimepoteza simu ninayotumia sasa nina kimeo cha Oppo A57 imebidi kinistiri kwa muda lakini sioni app store ili niweze kuziupdate apps kama Whattsapp na mimi si mtundu kwenye angle hiyo...
0 Reactions
4 Replies
313 Views
Nimepata kukutana na hii video ikimuonesha Muigizaji Jean Claude Van Damme akiwa kwenye tangazo la magari ya kampuni ya Volvo akichana msamba katikati ya magari mawili, je ni kweli au editing tu?
1 Reactions
0 Replies
296 Views
Msaada tutani wakuu nimsaidie jamaa yangu Sehemu ya data ipo on lakini kwenye screen haionekani kuwa on, hata ukiingia mtandaoni hapafunguki
3 Reactions
19 Replies
495 Views
Nina router ya Home Internet ya Tigo sasa kwa wale wenye ujuzi wa ku unlock niweze kutumia kwa laini zote nahitaji msaada please.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wakuu samahani simu yangu inatatizo nilikuwa naomba msaada. Ninapompigia mtu au ninapopigiwa simu haitoi sauti mpaka niweke lound speaker tatizo ni nini na ni jinsi gani ya kulitatua...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua kama mada inavojieleza, sitaki kuingia mkenge natamani sana kununua router hii ya 5G inayotangazwa sana mitandaoni. Nimeshaongea na baadhi ya wafanya biashara hiyo sijaridhika...
0 Reactions
7 Replies
596 Views
Habari wana JF, Kuna mtu anatumia router ya NOKIA kwenye huduma ya supakasi atuambie perfomance yake ukilinganisha na routers nyingine!?
0 Reactions
6 Replies
439 Views
NB: Ukichangia Toa Sababu Strong usiende na Upepeo lengo ni kujua kwanini tunatumia Simu zetu na kipi cha kujifunza ambacho hukijui Android ni Program endeshi(OS) inayotumika kwenye Brand nyingi...
10 Reactions
74 Replies
2K Views
Habari waungwana nimeibiwa simu kampuni ya Google pixel 8 pro, ila kuna kampuni huwa naona matangazo yao ikijinasibu kuwa wanatrack simu zilizoibiwa na ofisi yao iko Ilala boma wanajiita wetrack...
9 Reactions
52 Replies
2K Views
Leo nitakuelekeza jinsi ya kutengeneza logo ya kampuni yako haya ya mtu bila kutumia ujuzi wowote! fuatilia: Unahitaji kuwa na internet connection na smartphone au laptop. 1. Tutamia tool...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna makampuni, na watu Binafsi ni wezi wa kimya kimya, pia ukijaa kwenye mfumo wanakuibia. Tarehe 16, Nikaenda polisi, kila siku Longo longo. nikawachek hawa makampuni Binfsi wanataka pesa kabla...
1 Reactions
1 Replies
398 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…