wakuu habari za majukumu ya kutwa nzima,nina compyuta ya mezani ambayo nlikua natumia mtandaoni.hivi karibuni nikiingia kwenye web mfano chrome au internet explorer.nkiandika kitu nkasearch...
Kwenu wakuu,
Leo katika kupita pita kwangu nilikuwa nasubiria lini EASPORTS ambao wanahusika katika kuandaa video games mojawapo ni FIFA, katika miaka kaadhaa kama 7-8 nimekuwa nikisoma sana...
Hbr wakuu PC yangu INA fail Ku start up kutokana na error mentioned above nimejarb kupita kwenye forum tofaut kuangalia jinsi gani ya kusolve tatizp hili nimeshidwa msaada kwa mwenye uelewa wa...
Wanajamvi nakijiswali kidogo kuhusu hii kitu ukitaka kuwa mja-asili wa mali wa hii kitu unahitajika kuwa na blog au ni vitu gan ambavyo lazima uwe navyo......Waveja wha bhabha na vha mayo...
Database Design
We have seen so many uncompleted database solutions with unknown target especial in developing countries where technology is still new, that is why we have come with our unique way...
What is WideOffers?
WideOffers is the best and fast growing adult/dating, Casino / Gambling, and Cash on Delivery affiliate network, We have been providing best Offers for worldwide traffic...
Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nilifungua akaunti ya you tube ya kawaida, sasa nataka iwe ya business, nimefanya ila inaniletea password, sijui nafanyaje!
Naomba msada wenu nimenunua iphone6+ ila mpaka ss nimeshindwa kudawnlod music wowote naomba msada wenu km kuna njia ya kudawnlod music au video nisaidiwe plz,
Katika sekta ya mawasiliano, ni kawaida kuwasikia wataalamu na wakati mwingine watu wa kawaida wakizungumzia kuhusu teknolojia ya 2G, 3G, 4G na 5G. Maana yake ni nini?
G kwenye tarakimu hizi...
Nmeamua kuanza kutumia iphone baada ya maisha ya muda mrefu ya Android now nmeamua kushift from point A to B..
Shida ya yangu ni moja tuu huku jaman.. Ningeomba nijuzwe App zitumiwazo huku ili...
Naomba ushauri kwa wenye expirience kutumia TLC tvs ziko vipi zinadumu? na quality yake vp na kama zinausumbifu...
zinaeza kuizidi lg kwa ubora ntashukuru sana.
salaam wakuu
kwa wataalamu wa umeme naomba mnisaidie hili: kama tunavyofahamu umeme wetu wa majumbani kwa hapa tanzania ni kati ya 220v-250v (sina takwimu sahihi mtanisaidia) lakini kuna mashine...
Ndugu zangu naomba msaada wenu nahitaji kua na huduma ya CTV (cable tv) sasa sielew hat pa kuanzia ni zipi gharama zao na ni nini faida yake na hasara ni channels ngapi zinaoeshwa na ni kwa malipo...
Habari zenu wakuu I hope mko salama
Juzi wakati natumia instagram nilipata ujumbe kuwa nimekua lodged out kwenye account yangu nilivyojaribu kurudi nikaambiwa no user found, baadaye nikagundua na...
Habari wakuu natumain mko salama kabisa
Jana wakati nikiwa peruz peruz fb ghali ilikuja msg ikinitaka nilogin kabla sijaendelea na kile nilichokifanya sasa baada ya kulogin fb wakanotifu kwamba...
Nashindwa kusign in / ku log in kwenye account yangu ya AdSense. Kila nikisign in. Ina load mpaka nachoka mwenyewe, NA hainipelek moja KWA moja Zaid ya kuishia kuload
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.