Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba wenye kujua hivi vitu nataka kununua simu aina ya sumsung lakn iwe ya edge sasa nauliza ipi nzuri kwa kutumia kati ya sumsung galax s6 edge plus na s7 msaada tutani nisaidie wenye kujua
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Kwa wazoefu, nataka ninunue mojawapo ya hizi simu ipi bora? Ni Huawei Y 7 pro 2019 siyo 2017
0 Reactions
1 Replies
623 Views
Habari wanajukwaa polen kwa sikukuu ya idd, nilikuwa naomba msaada kwa wale watalamu wa IT , Nina simu yangu sumsung s3 Korea version haipandish kabisa, data nimejaribu kuandindika apn kama zote...
1 Reactions
0 Replies
471 Views
Kwa wale wenzangu na mimi,wazee wa Budget Smartphones hasa tunaotumia Nokia. Tukae mkao wa kula,ndani ya hizi siku mbili visimu vyetu vitapata Update ya Android 9 Pie Go Edition.Tunaachana na...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo kuhusu kubadilishana maujanja ya apps kali za iphone free na paid....twende kazi
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama nlivyosema hapo juu naomba mwenye kujua namna ya kukata matangazo kabla ya wimbo kuimba. Naweza penda wimbo nikadownload lkn naupata kabla ya kusikiliza yaanza matangazo. Kama inawezekana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naombeni msaada leo nimekumbana na tatizo hili kwenye simu yangu kila nikijaribu kupiga inaanza kwa kutoa mlio km alarm ya luku mita afu baada ya hapo inaweka ile alama ya flight mode...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Ninatafuta kioo cha simu Samsung Galaxy GT-N7000
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu habarini za kazi, na maisha? Naomba kujuzwa website ama app ambayo naweza pata series ana latest movies Sites nyingi ukitaka kudonload series zinakua na mb nyingi sana Pia kama naweza...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wanabodi..! Ni Muendelezo Wa Msaada Wangu Kwenu Je? Unasimu Ya Mchina Au Copy.? Yaani P3,N3,huawei,itel,gtal,dorado... Na Nyinginezo Ambayo Ni Copy Au fake, usiwe na shaka eleza tatizo...
1 Reactions
39 Replies
13K Views
Habari: Nina simu ya tecno y3 nikiset 3G network inaandika no service na laini inakuwa haisomi kabisa lakini ikiwa kwenye 2G inafanya kazi Kama kawaida, nimejaribu kubadilisha laini tofauti...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
habari wanajamii ninaomba msaada,kila ninapotaka kuweka picha kwenye profile yangu ya whatsapp kuna ujumbe unaoandika kuwa(couldn't load this photo try again)na picha inakataa,nitumie njia gani!.
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Wakuu husika na kichwa Cha habari. Je nifanyeje? Shida ni nini? Aina ya simu ni SAMSUNG GALAXY A6+
0 Reactions
16 Replies
5K Views
MSAADA TUTANI.....Nahitaji Mfanyabiashara Anayeuza Vitu vya Electronics Zanzibar kama Vile Camera,Simu,Tv!Anicheck
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nahitaji kununua youtube channel, iliyo qualify kudisplay ads kama unayo njoo inbox, ila kabla sijafanya malipo tutaangalia status ya account kama ni safe (haijapata warning nyingi) kwa kutumia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam! Kama heading inavyojieleza, Natumia Camon CX Air, kwasasa ni Mwezi sasa, Kila nikitaka Ku Update WhatsApp Messenger, kwenye Update pale nibofya inaniandikia 'Download Pending' na Data...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Hello Naomba kujua mrejesho kwa waliotumia au walionunua tecno spark 3 Maana kuna sehem nimesoma kuhusu spark 3 kuwa ile ya kawaida kwenye internet inasoma 3g na edge kwa pamoja haina option ya 3g...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaaam Kama mada inavyojieleza,Nina simu hapa ya kitambo kidogo ,ni Tecno C8 Tatizo lililopo ni kukata sana network yani zile signal za network inakua chini sana 3G nayo sometimes ni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kesho nitakuja kuwaelekeza vizuri wote mnaohangaika kuroot simu zenu zenye android 6.x + maana ndizo zinasumbua sana.. Sent using Jamii Forums mobile app [emoji124] Ciao..!!
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Husika na kichwa cha habari.desktop yangu ukiweka games au moving inajizima na kujiwasha tafadhali msahada kwa anaejua
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom