Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
ambaye anayo anicheki tuzungumze... nicheki kupitia 0745664634
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu, kama kuna mtu mwenye huelewa kuhusu jinsi ya kupata channel za TSTV Africa msaada tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Habari nipeni ufumbuzi katika hili .natumia tecno c9.kuna tatizo limejitokeza LA kupoteza network ukiweka lain inaandika no service or emergency... Nkienda baaz ya sehem lain inasoma ...nmejaribu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kati ya Browser nayo penda kuitumia kwenye web programming ni hii opera mini kama wiki mbili opera walituma update kama kawaida nika update sasa tokea juzi juzi hapa kuna project ya ruby...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Inakua kama hivi, sijawahi kubadili settings ila kuna softwares nilidownload mtandaoni. Naombeni msaada. UPDATE : nimefanikiwa kurekebisha.
0 Reactions
1 Replies
607 Views
Habari zenu wapendwa katika bwana, natumaini mu wazima kabisa wa afya na kwa wale wagonjwa na wanaouguza tumuombe Mungu atupe nguvu za kuweza kukabiliana na mitihani mizito mizito ya dunia hii...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari Wakuu, Jana Mtoto Aliangusha Pc yangu, baada ya Kuiwasha inaniambia hivi. Je nifanyaje?
0 Reactions
5 Replies
635 Views
Ase Simu yangu ya tecno y3+ nikiiwasha inaganda tuu yaani inaniandikia tecno tu hivi hapa tatizo nini msaada tafadhali wakuu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamvi niko tanga nimepoteza smart yangu kwa anayefahamu application ya ku track simu kujua location anisaidie au namna yoyote ya jinsi ya kujua phone location msaada wa haraka unahitajika...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa wale wanaofanya blogging tunaomba tupeane maujanja ya kuongeza mapato kwenye blog zetu wadau Karibun wadau
1 Reactions
9 Replies
2K Views
habari wana jf ningependa kufaham kampuni iliyohusika na kudevelope aplication ya tala .mwenye ufahamu anijuze tafadhali
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu nawapa heshima iliyotukuka kabisa. Binafsi naelewa sana mchango wenu kwenye huu ulimwengu japo bongo inaonekana mnasinzia sana. Swali la leo. 1. Chuo gani bongo kinafundisha Artificial...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Tecno Camon X Pro CA8 Frp Reset DA File For Infinity CM2, Inferno Dongle, NCK Box And Miracle Box AND cracks TECNO CAMON X Pro CA8 READ INFO DONE : For Infinity CM2 TECNO CAMON X Pro CA8 FRP...
0 Reactions
29 Replies
12K Views
Habari zenu wadau; naombeni kioo cha mac book pro 2013 (complete ) Nipo Arusha 0718007723 Whatsaap 0689152327 Calls Ahsanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TUKUTANE HAPA TUPEANE MAUJANJA MBALI MBALI NA KUJUZANA VITU VIPYA Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habarini ndugu zangu, Naenda kwenye maada. Kunajamaa kaja kuniomba nimfromatie flash disc, sasa nilipochomeka badala ya kuformate flash nikaformat partition yaha hard disk yangu ambayo inakama GB...
1 Reactions
16 Replies
844 Views
Camera yangu Samsung NX1000 lens yake size 28 - 50mm imepata shida, na sitaweza kuitumia tena. Natafuta lens nyingine. Iwe size yoyote, iwe kit lense au prime lens. Cha msingi ni maelewano ya bei...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Uzi huu unakuletea mbinu fupi na rahisi za kuweza kuwasha muonekano wa Giza (Dark Mode) kwenye kompyuta(window 10) Muonekano wa giza unasaidia sana kulinda macho yako kutokana na mwanga mweupe...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Ndugu zangu wataalamu wa umeme naomba mnielimishe mtiririko wa wiring kutoka mwanzo mpaka kwenye mashine ya kusaga au kukoboa.Ni vifaa gani viwepo na hatua zake mpaka kuwaka kwa mashine...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom