Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Assalam Wana jukwaa, nauliza Kuna application ya simu inayoweza kudetect kifaa kinachorecord sauti maeneo yanayonizunguka. Kwa mfano tupo kwenye mazungumzo, mtu mmoja akawa anarecord sauti kwa...
6 Reactions
8 Replies
402 Views
Habari zenu watanzania wenzangu na poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. Mwaka jana mwezi dec nilibahatika kununua samsung s20+, baada ya kujikunja kwa muda mrefu kutokana na simu niliyokuwa...
9 Reactions
81 Replies
3K Views
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama. Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee...
11 Reactions
102 Replies
225K Views
Ni simu aina huta diriki kununua tena au hata ukipewa bure hutaki kabisa kuisikia?
5 Reactions
24 Replies
740 Views
Wataalamu, hii imekaaje? Jamaa wameniotea simu mpya kabisa, haijafunguliwa kwenye box lake muuzaji aliniandikia risit ya mashine hakuweka imei. Nikirudi wanaweza kunisaidia? Au hapa wataalamu...
4 Reactions
58 Replies
1K Views
Habari wanajf. Simu yangu haitumi sms but naweza kupokea sms. Kila nikituma inasema failed. Sijajua tatizo nataka kuona kama message center number ni tofauti kwani kwangu inasomeka +25575114.
1 Reactions
12 Replies
13K Views
JE, UNAHITAJI KUZUIA VIDEOS ZA FACEBOOK KUJIPLAY AUTO? FANYA HIVI KUZUIA ZINAKULA MB ZAKOπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ katika facebook unapo ingia uwa kuna videos ambazo uwa zinatabia ya kuplay moja kwa moja kwa...
8 Reactions
8 Replies
766 Views
Habar wana technology, kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu keamba kuuliza si ujinga Naomba kufaham , hivi unaweza uka dowload app ya camera kwenye pc? Kama inawezekana , ipi ni camera...
1 Reactions
5 Replies
379 Views
Kwa wataalam wa masuala ya anga, naomba kufahamishwa kwanini ndege (planes) zikiwa safarini angani baadhi huacha alama kama moshi fulani hivi?
3 Reactions
20 Replies
935 Views
Pods ninazo ila case ndo imepotea. Nipo Mwanza. Kwa ambaye anayo case tutafutane tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
229 Views
Naomba msaada kujua hivi vitu kwa maana vinanichanganya sana wataalamu 1. Network Attached Storage (NAS) 2. Storage Area Network (SAN)
0 Reactions
4 Replies
348 Views
Ni skrini ya mpiga kura AILYONS, hutoa ujumbe kuwa inazimika.....bonyeza any key ndipo inaendelea. Nini kifanyike kuondoa hiyo dhahama?
2 Reactions
6 Replies
454 Views
Wakuu, nina TV yangu nch 32 ya kampuni ya Mysol ambayo ina uwezo wa kupokea camcard ya king'amuzi chochote bila shida. Sasa changamoto ninayoipata ni kutokuwa na casting option ili niweze...
1 Reactions
7 Replies
567 Views
wakuu kuna hizi subwoofer za jbl underseat za kwenye gari ambazo hapa mjini dar es salaam zinauzwa laki mbili, hivi kweli hizi ni jbl Original ama fake? bas hata kama sio original je zinagonga...
1 Reactions
7 Replies
603 Views
Hello habari wadau wa jukwaa la teknolojia na wanajamiiforum kwa ujumla. Kutoka na kasi ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia si ajabu tena kwa mtu kufanya manunuzi mitandaoni . Vivyo hivo...
12 Reactions
379 Replies
26K Views
Naomba wataalamu mnisaidie kuna namba nimeisave kwenye simu yangu lakini nikiandkia nyota kwenye sehemu ya kuingiza namba linatokea jina la hiyo nambna, shida ni nini au amenidukua?
1 Reactions
9 Replies
432 Views
Nina website, nahitaji kupata njia ya kuaccept Mobile money payments. Siwezi tumia vitu kama selcom, pesapal au dpo pay kwa sababu huwa wanaomba document za kibiashara. Kuna njia yoyote mbadala...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu habarini, speedaf wanachangamoto gani sasa hivi? Nimeagiza package tangu tareh 15/6/24, speedaf wameuchukua tarehe 17/6/24, lakin cha kushangaza tangu tarehe 21/6/24 mzigo umemaliza proces...
4 Reactions
23 Replies
657 Views
Nina pc (desktop) dell duo core nilikuwa naitumia hom ghafla ikazima kila nikiiwasha taa tu ya kwenye button ya kuwashia inawaka kama indicator ya gar lkn haizungushi fan wala machine haiboot cjui...
1 Reactions
25 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…