Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

Nimeona jamaa hawa wanatangaza internet yao ya satellite kwa 60k kwa mwezi. Huko nyuma nomewahi sikia kwamba internet ya satelilite huwa slow sana ukifananisha na ya cable/minara. Pia naona...
7 Reactions
88 Replies
12K Views
Habari za muda wazee Hivi Hapa dar es salaam maeneo ya Gongolamboto Mpaka Huku Banana Kuna Sehemu yeyote Kuna internet Cafe Nakama ipo Kushusha file nzito almost Gb 20-30 wanachaji kiasi gani...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Tangu inatanet iwe changamoto kuna baadhi ya apps bado siwezi kutumia. Moja wapo ni x. (twitter) nyie mnaipataje.?
1 Reactions
2 Replies
241 Views
PaLM 2 (Pathways Language Model 2) is Google's latest and most advanced large language model (LLM). It builds upon the success of its predecessor, PaLM, and introduces significant improvements in...
0 Reactions
8 Replies
449 Views
Habari wanajamvi, Leo nimepokea ujumbe kutoka Vodacom uwa internet nchini Tanzania imeanza kutangamaa. Juzi, tumekatikiwa mtandao. Najua watu kadhaa waliongeza bundle kwa hofu kuwa wameishiwa...
1 Reactions
0 Replies
782 Views
Huwezi ita swala la internet jina zuri hivyo halafu kumbe hata internet yenyewe huimiliki. Taifa la watu zaidi ya milioni 50 tunashindwa kuwa na internet yetu wenyewe? Akitokea kichaa mmoja tu...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Habari, Nilikua na idea ya kutengeneza tovuti kama udemy au skillshare lakini yenyewe ijikite kwenye kufundisha kwa lugha ya kiswahili. Nimefanikiwa kutegeneza, lakini wateja ndo shughuli...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Hivi vioo bya simu sikujui wanauje maana mafundi wengi wanakwambia, kubadili kioo ni 45 mpaka 55 elfu... Me nataka nijue bei ya kioo pasipo ufundi
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, King'amuzi changu cha Azam TV kinaandika neno App baada ya kukiwasha halafu hakionyeshi chochote, ila mwanzo kwenye TV huwa linaanza kuja neno Azam TV halafu mwishowe kwenye...
0 Reactions
4 Replies
899 Views
Yaan nimeduwaa sijaelewa una maanisha nini, sawa wewe umeijenga website kwa ajili ya desktop sawa sijakataa nakubariana na wewe lakini je huo muonekano wake UI umeangalia kwenye simu zetu hizi za...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Naomba kujua hivi ving'amuzi vinavyotumia moderm/internet vinaitwaje, bei yake na vipi kuhusu matumizi ya bundle. Naomba kuwasilisha
1 Reactions
1 Replies
370 Views
Sony, Lg, Smart watch za Android… Ku share experience zao katika utumiaji..! Taarifa zote mpya za bidhaa zitumiazo android OS Changamoto na suluhisho za kifaa husika.. Na mengine Mengi zaidi
0 Reactions
1 Replies
344 Views
Natumia simu brand ni oppo a 31 , Leo nipo job imegoma Ku connect WiFi sijajua shida nini wenzangu simu zao wanatumia saf mmoja ana oppo A8 lakini yangu ni big no ukiwasha ina connect then...
0 Reactions
4 Replies
294 Views
Huu ni uzi maalumu kwa watumiaji vifaa vya APPLE | MacBook | iMac | iPhone | iWatch | Airpods | ipads | na vifaa vinginevyo vinavyotumia iOs Ku share experience zao katika utumiaji..! Taarifa...
1 Reactions
2 Replies
306 Views
Habari zenu wanajamvi! Natumai mnaendelea salama na majukumu yenu. Jana ilikua ni siku ya kukumbukwa kwa kile kinachodhaniwa ni siri kubwa ya mambo ya Anga kutokana na kupotea kwa ndege ya...
0 Reactions
1 Replies
337 Views
Maeneo ya kazini huwa kuna madogo wa chuoni hapa nafahamiana nao wakiniletea kazi za viti, vitanda, meza, n.k. Sasa mwezi uliopita kwenye pirika pirika za vyuo kufungua katika story za hapa na...
1 Reactions
13 Replies
890 Views
To automatically remove duplicate words: Enter (<*>) (\1) in the “Find what” box. Then; enter \1 in the “Replace with” box. Then; Click the “Replace All” button. To automatically remove...
2 Reactions
1 Replies
228 Views
Flash inawaka ila nikiichomeka kwenye PC inalazimisha niifomat. Ila notification inasema tap to fix na signal ya flash inawaka ,hii wadau inaweza kupona na DATA zikaendelea kubaki?
0 Reactions
2 Replies
263 Views
kuna application gani au jinsi gani ya kufanya ili niweze kupata sms na simu anazopigwa mtu mwingine zije na kwangu mim?
2 Reactions
56 Replies
219K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…