Simu i mpya. Nimepewa kama zawadi na jamaa yangu toka nairobi. Sijaona apps zake. Ina kitu wanaita talkback. Nikigusa chochote inakitamka. Kwa mfano nikibonyeza l inarudia kwa maneno. Hii...
Habari wadau, tafadhali naomba kufahamishwa namna ya kuroot cm ya techno plus, najaribu kuinstall programme ya hi font lkn inataka nifanye rooting kwanza.
Natanguliza shukurani zangu kwenu...
Wakuu nisaidieni kwani simu yangu haizidi dakika nne lazma ilete matangazo yale yanayotokea kwenye screen(popup) hivyo nakosa raha ndugu zangu.
NB:simu yangu ni rooted
Cc: CHIEF MKWAWA
mwl Rct
Habari za mda huu wakuu.
Nina PC aina ya Mecer, ilikua nzima kabisa lakini kwa sasa haiwaki. Nmepeleka kwa mafundi wakanambia maybe INVIDIA ina tatizo lakini hawakufanikiwa kuitengeneza.
Je tatzo...
Habari waungwana na poleni na majukumu ya pilika za maisha ya kila kukicha.
Natatizo ni kwamba nahitaji kuweza kupata msaada wa namna ya kuweza kudisplay nyimbo za tenzi kanisani katika...
Ndugu mi nimpenzi wa maswala ya desinings na mechanics ningependa kufaha clubs hapa jijini ili nijiunge kwa ajili ya kuongeza ujuzi na ufahamu wa maswala haya .hivyo basi naombeni msaada wenu wana...
Wakuu salamu kwenu heri na Baraka ziwe juu yenu.
Nimejiwa na wazo la kuwa na forum yenye maudhui ya kitamaduni, ushirikishwaji wa mambo mbali mbali kuhusu jamii fulani,lugha mama frusa ...
Wakuu naomba kujuzwa ni jinsi gani unadownload movie kwa kutumia torrent maana najaribu lkn naona mauzauza tu kwani sehem ya kusearch naona haifanyi kazi nikitafuta sehem yenye list za movie siion...
Habari ya jpili wakuu.
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu, tafadhali sana naomba mwenye activation key za windows 8.1 pro anisaidi, PC imekuwa slow,na kuna baadhi ya vitu vinagoma kufanya kazi.
Kama kichwa cha habari kinavyosema,
Je kati ya Laravel na django ipi iko powerful? which one is marketable hasa kwa mazingira ya Tanzania/africa?
Je naweza kutumia Laravel kama backend framewok...
Nina S6 Sprint Phone, hio simu niliflash baada ya kuflash ikawa haishiki h+ au 4g. nikabadili CSC ikawa inaandika invalid sim, nikarudisha CSC ya awali ila Bado imeandika Invalid sim!
CC...
Wadau naomba msaada kwa anaefahamu zinapopatikana hizi software SPSS na ARC GIS za kununua nahitaji kujua bei na zinapatikana wapi kwa Hapa Jijini Dar es Salaam.
Habari wakuu
Naulizia ilipo service center ya Huawei K/koo kama wana tawi lao kwa yeyote anayejua naomba anifamishe.nina simu yangu Huawei P10 Lite imevunjika kioo nahitaji kwenda kubadilisha.pia...
Wakuu kuna simu yangu s6 nilikuwa naflash ikazingua ila baadae nikafanikiwa Kuflash Fresh na nika update sandroid to Nougat yaan 7.0 sasa shida ni kwamba baada ya ku update line yangu haishiki 4G...
Wataalam habari zenu!?
Mwenye driver za internet nazihitaji PC yangu ni HP imekosa driver za kuunganisha internet through modem and Wireless
Msaada tafadhali.
Habari wakuu?
Naomba kujuzwa wanajf simu yangu ni galaxy trend gt-s7392.
Siku hizi imekuwa na tatizo la mtu akikutumia sms basi hiyo sms itakuwa inajirudiarudia mara kwa mara kuingia na inaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.