Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari Zenu Wakuu!! Mwenye Notes Za Hiyo Kitu Naomba Anisaidie, Nimejaribu Kuzisaka Mtandaoni Lakini Napata Vipandevipande Tu.
0 Reactions
1 Replies
980 Views
Habar wadau wa jf Naomba kufaham kama decoder ya Continental inaweza kufanya kaz kwa upande wa C band setillate naama nmechoka kulipia
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kimsingi nimejifunza mambo mengi sana kupitia youtube kuliko hata nilipokuwa chuo kikuu. Je wewe umejifunza nini kupitia youtube?
13 Reactions
153 Replies
19K Views
Hello JF! Naomba msaada wa kuelekezwa mahali ambapo pako certified kutoa oracle database certification kwa hapa Dar es salaam. Nimefuatilia UCC ila wao wanatoa Database administration (Mysql)...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Wajuzi wa alibaba na aliexpress nisaidieni nimefanyiwa refund tayar ila kwenye card ya bank hazijasoma ila inaonekana washanirefund Natumia card ya equity bank Nifanyeje wakuu nizipate pesa zangu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
``````**AFRIsoft Technology Lab.* _Huduma tunazotoa_ ⚙Blog na app yake Tsh 30,000 ⚙Adsense account Tsh 50,000 ⚙Kutangaza biashara yako kwenye groups za whatapp zaidi ya elfu moja. Tsh 5,000 kwa...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Jaman nmefunga pc yangu kwa password bado mpya kabisa lakini nikiingiza ile password niloiweka inakataa kufunguka nifanyeje@chiefmkwawa
0 Reactions
1 Replies
898 Views
Kwa alie tayari ambae yupo DSM na yuko vizuri kwenye web design ani inbox, natafuta mtu wa kunifundisha hiyo course kwa language zote lakini ni kwa muda wa jioni tu. Shart awepo karibu na Magomeni...
0 Reactions
2 Replies
704 Views
Kila nyakati katika historia inapita, Ina uthamani wake na ina utofauti wake. Nyakati moja inaweza ikawa ndio mwanzo katika mabadiliko kwa nyakati nyingine ya kibinadamu, kiutawala, kiuchumi...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Habari wadau nimekuja jamvini hapa nina kazi kidogo nahitaji kushare na wenzangu utaalamu wa web designer : nimehost site yangu na nishailipia domain ninachotaka sasa ni mtaalam wa web designing...
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Wapendwa habari zenu, naomba kufahamishwa jinsi ya ku download Movie kwenye simu. Natumia SAMSUNG Galaxy J7.
0 Reactions
8 Replies
966 Views
Wakuu Kwa heshima na taadhima naomba kufungua uzi maalumu kwa ajili ya solar. Kwanzia ubora wa vifaa.... Ufungaji hadi matumizi. Nianze na mimi nina pv 2 za watt 100 na 200. Betri n120 Charger...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Habarini za wakt huu wana jamvi,najitokeza humu asubuh ya leo nina kero moja. Kutoka playstore ya hzi smartphone kuna app mpya inaitwa TELL BOX TANZANIA ina husu ku hack namba ya sim ambayo mtu...
0 Reactions
37 Replies
7K Views
Habarini wanajamvi! Najua hapa ni msaada wa kila kitu! Mimi nina sehemu yangu nahudumia watu sasa nina watu zaidi ya 2000 ambao nimewasave namba zao za simu na majina yao! nimewasave katika...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Simu yangu ni Tecno J8(boom) inazima na ikizima inaniandikia HIOS IS STARTING na pia inaandika optimizing 10 of 137 kwa anae jua naomba msaada wadau.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natumia Tecno W3 Lakini Ghafla Simu Jana Iliganda Tu...Nilipotoa Betri kurudisha tena Nikiwasha Inaonesha maneno ya Tecno inakuwa hapo hapo ndo mwisho basi haiendelei tena Kama kuna mtu ana Ujuzi...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Wakuu narudia tena mimi ni kijana nimenunua kamera Kwa lengo la kujipatia kipato na kuepuka Omba Omba naomba msaada.. Kila nikiweka betri inaleta taa nyekundu na inaandika change betri Park aina...
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Msaada jinsi ya kuadd google acc kwenye galaxy j5 nimeirestore simu nashindwa kuadd acc badala yake inaandi problem in communicating google servers mwenye ujuzi anisaidie
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari WANA JAMIIFORUMS leo nimeamua kukuletea somo ambalo ungelipia katika FORUMS nyingine na somo hilo ni Jinsi ya kutengeneza video game katika Computer yako. Kabla ya kuendelea ningependa...
2 Reactions
13 Replies
7K Views
Your Windows License will expire soon You need to activate Windows in settings Wakuu naomba msaada wenu , ni nini cha kufanya kutibu hili tatizo ? Huko --- SETTINGS HOW TO ACTIVATE ...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom