Kwa wale watumiaji wazuri wa websites mbalmbali za kudownload torrents kama bitcq, kickass tumeingiwa na huzuni kubwa kutokana na ukatili ambao watu wanaendelea kutufanyia baada ya kuziblock hizi...
#include<iostream>
using namespace std;
main() {
enum {
GREAT=1,
is=6,
Tanzania
};
cout<<"The GREAT is :"<<GREAT<< " Tanzania is:"<<Tanzania;
}
/*
Give output...
nauliza inatakiwa gharama kiasi gani kutengenezewa ecommerce website mpaka inakamilika
nilijalibu kwa kampuni ya shopify kutengeneza mimi mwenyewe lakini plan zao kwa mwezi ni kubwa sana basic...
#include<iostream>
using namespace std;
main() {
enum {
GREAT=1,
is=6,
Tanzania
};
cout<<"The GREAT is :"<<GREAT<< " Tanzania is:"<<Tanzania;
}
/*
Give output...
Ni aibu kama bado unatumia app mbadala kwa kupakua vitu instagram.
GB mods wameachia mzigo mpya amabao una makorokoro kibao,sema kitu mojawapo nilichopendea huo mzigo ni kubadili muonekano yaani...
Wanabodi habari.
Nina uelewa kiasi katika masuala ya kompyuta na mara nyingi huwa nafanya service ndogo ndogo kwa kompyuta yangu tu.
Ninataka kufahamu zaidi katika swala la hibernation.
Kiufupi...
Wadau nisaidieni nataka kununua kin'gamuzi cha bei poa kati ya startimes au ting au kingine chochote lakini si dstv
Pamoja na gharama zao,naomba pia kujua ni kipi ntapata...
Hey guys, i hope wazima, kwa wale wakongwe mliofanya itikadi za kutafuta mpunga mtandaoni naombeni mawazo yenu, Kampuni ipi kati ya ogads na cpagrip iko poa kwa ajili ya cost per action, trick ya...
Habari za muda huu wakubwa mimi namiliki tecno spark k7. Sasa juzi tu nashangaa simu imebadili mfumo ile line ya notification haiji mpaka ujumbe wa WhatsApp uingie ambapo ni tofauti na awali je...
Habari za jumapili ndugu zangu. Nimekuwa nikivutiwa sana na sanaa ya upigaji wa kinanda mpaka nimeamua kununua na kukiweka nyumbani lakini sijui chochote katika upigaji wa kinanda, nafikilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.