Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu mdada katengeneza partens lakini kasahau msaada jinsi ya kutoa ili aendelee kuitumia.
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu ivi kuna njia yoyote ya kuniwezesha kureceive Money from SA direct to my Mobile money account via mpesa? Nimejaribu through Swift code kw kutumia visa card ila sender anasema inamgomea is...
0 Reactions
0 Replies
525 Views
Naombeni msaada nijue jinsi ya kuangalia online tv kwa kutumia url au ip address ya hiyo tv kama vile azam tv, itv au star tv, je kunazo URL kwaajili ya huduma hiyo..?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nimebadilisha simu vaulty app imeshindwa kurudisha picha zangu. Naombeni msaada. Email ni ile ile na namba ya simu in ile ile.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanabodi natumai hamjambo, mnaendelea kujenga viwanda. Nimekuwa najiuliza maswali kuhusu huduma za kifedha kwa njia ya simu, mathalan M-pesa, tigo-pesa, airtel money zinavyofanya kazi. Mimi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nmroreboot coz nilikua nmesahau pattern ila inaridia hali ya mwanzo ya pattern .kwa anaejua msaada plz
0 Reactions
6 Replies
977 Views
Wakuu habari za usiku., Bila kuchelewa hapo kichwa cha habar kinajieleza, mimi kuna swala huwa najiuliza nakosa majibu ni kwanini inakuwa hivyo., Kwanza; Simu nyingi hasa smartphones(zilizonyingi...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Nina omba msaada nataka niweke line(SIM-CARD) ktk Laptop yang(hp probook 6470b) Naomba anaefaham anielekeze naiweka sehem gani?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Salamu kwenu wanajanvi. Naombeni msaada kama kuna yoyote mwenye product key ya window 8.1 pro inayofanya kazi.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za Mda Huu ndugu, Kma kichwa kinavyosema Natumia samsung galaxy A5, Tatzo lake ni kwamba wakati natumia Internet Inatumika kwa mda fulani alafu inakuja inazima yeyewe kwa dakika kma mbili...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
1. *PAN* - permanent account number. 2. *PDF* - portable document format 3. *SIM* - Subscriber Identity Module. 4. *ATM* - Automated Teller machine. 5. *IFSC* - Indian Financial System Code. 6...
2 Reactions
0 Replies
543 Views
Wapendwa habari za muda huu Naomba kujua kwa DSM wapi naweza kupata display ya HP Compaq 6730. Na bei yake. Nawatakia kazi njema.
0 Reactions
3 Replies
829 Views
Ndugu zangu naomba msaada kuna mtu ambaye alileta link humu ya Instagram kwa kupata followers cha ajabu ametumia hiyo Ku hack account mpak sasa siwezi Ku access naomba ushauri na msada wa kufanya
1 Reactions
5 Replies
2K Views
habarin wanajukwaa tatizo langu kila nikidownload app nikiifungua inaleta maandishi kwa chini ambayo ni mfano facebook is denied to obtain your current position naombeni msaada kwa anayefahamu...
0 Reactions
1 Replies
841 Views
Is there another way of downloading music from Spotify other than using Deezloader?
0 Reactions
1 Replies
667 Views
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH Na'am, Leo Tutakhabarishana JINSI YA KUTENGENEZA SAA NA KALENDA KWA KUTUMIA NOTEPAD Mahitaji -Lap/Desk-Top Hatua Za Kufuata 1. Ingia NOTEPAD Kwa...
2 Reactions
3 Replies
7K Views
hii simu ni tecno juu ya cover imeandikwa camon.. ndani kwenye about phone imeandikwa tecno c 9 ila nikiingia net au nikiichomeka kwenye pc inasoma tecno J8 je tatizo liko wapi? na je nikitaka...
0 Reactions
8 Replies
869 Views
hii simu ni tecno juu ya cover imeandikwa camon.. ndani kwenye about phone imeandikwa tecno c 9 ila nikiingia net au nikiichomeka kwenye pc inasoma tecno J8 je tatizo liko wapi? na je nikitaka...
0 Reactions
4 Replies
604 Views
Wakuu msaada hapo kama kichwa kinavyojieleza pc yangu compaq ile monitor au screen inacheza cheza mpaka niiegemeshee mezani au ukutani asa nikafikir solution nipate housing au kama kuna solution...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
Wakuu kuna mtu amefanikiwa ku-unlock hii router.?
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Back
Top Bottom