Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada wadau, Ni printer ipi nzuri kwa........... Printing Kusafishia picha Kutoa copy 100 kwa siku
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa mimi ni kuweza kuweka hewani app ya kijamii isiyo ya kuingiza faida ya kuwezesha watu kujitolea kuchangia damu. Vipi wewe???
0 Reactions
6 Replies
984 Views
Msaada nimepata printer mpya kazini na boss kaniambia hii printer ni Wireless unaweza kuprint sehemu yoyote sasa nahitaji msaada jini ya kuconnect wireless iwe kwa simu au computer
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Natafuta iphone 6 kwa 450k. Isiwe imetumika sana, iwe ktk hali nzuri. Iwe OG tofauti na hvo ucjisumbue kunitafuta
0 Reactions
3 Replies
732 Views
wandugu habari nalikuwa naomba kujuzwa aina bora ya feni za ndani ambazo ni nzuri na zinazidumu kwa muda kidogo na zinazoweza kuhimili mazingira ya umeme kukatika bila taarifa pia nitafurahi...
0 Reactions
12 Replies
18K Views
E bwana nina app yangu Inaitwa "Zote Muhimu" ni webview application, nimeangalia kwa jicho langu naona haina matatizo, ila sijui kwa wenzangu! Idea ilikua kutengeneza app ambayo itamrahisishia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
naomba kwa yeyote mwenye idea ya kutengeneza website ambayo ni user genereted content kma vile amazon,jf,instagram na fb anisaidie
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Heshima kwenu! Naomba kujua nini cha kufanya laptop yangu Lenovo S300 inakataa kutype baadhi ya herufi A, S, D, F, G, H, J, K na L.Herufi nyingine natype bila shida yeyote. Kwa anayejua namna ya...
0 Reactions
3 Replies
708 Views
Wadau Nina Simu Yangu ya Tecno C9 sasa Leo Nimeifanyia Factor Reset Baada ya Kumaliza Nikaiwasha, sasa Kwabahati Mbaya Inaniomba Email Iliyokuwepo na Mimi Sihikumbuki Kwani Simu Nilinunua Njiani...
0 Reactions
23 Replies
8K Views
msaada mwenye utaalamu na kuunganisha receiver ya FTA na moderm ya 3g
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanalenga soko gani hasa!
0 Reactions
75 Replies
24K Views
Wana JF kuna namba inayoanzia +255 411....... imebeep kwenye simu yangu, Je ni mtandao gani hapa Tanzania?
0 Reactions
21 Replies
11K Views
Ndugu wana bodi kompyuta yangu imevamiwa na ramsoware (kama sijakosea) na file zote katika mfumo wa pdf doc xls zimebadilika extension na hivyo kutosomeka kama ilivyo kawaida.Naleta kwenu ombi la...
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Naomba msaada kwa yeyote anaweza nnisaidia namna unaweza pata ant virus kwa ajili ya PC, au mwenye free keys ambazo znaweza nisaidia. N:b kuna post pia niliwahi ionaga humu ikiwa na keys za...
0 Reactions
1 Replies
793 Views
Msaaada jamn jinsi ya kubadili jina. Fb. Msaaada pleas e
1 Reactions
27 Replies
13K Views
Heshima mbele Nataka kuchakachua MODERM mbili moja ya ZAIN na ingine ya ZANTEL ILE ambayo haina line je mwenye software anidondoshee fasta. asanteni
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hbrn wadau wa if naomben msaada maana nataka kumuunganisha mtu ktk simu yngu ili kama anawasiliana na mtu mwingine nijue anachowasiliana nae na ktk sms zake anazochati niwe naziona kupitia simu yng
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Wadau, Ninafanya tathmini ya kujiunga na mtandao wenye vifurushi vyenye kutoa dakika nyingi za kupiga kwenda mitandao mingine. Ninaamini hili ni jukwaa sahihi la kupata majibu sahihi! Ninaomba...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jana nilienda ofisi za startimes hapa jijini Arusha. Katika maongezi na mto huduma pale nikakuta aina mbili za vingamuzi tofauti yake ni colour strips. Yaani kimoja kinaruhusu free local channels...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
hatimaye taarifa za kampuni ya infinix zimeanza kuwa posted katka mtandao maarufu gsmarena nalisubri kampuni langu pendwa TECNO
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom