Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Da admin mnaninzingua cjui na mm nifungue account kwenye WordPress yenu tuanze kufutiana message
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika kuchunguza chunguza kwangu nime notice kitu strange kuhusu ezypesa Nilivyofanya hzi steps zifuatazo 1)dial *150*02# 2)chagua option 9 ya account yangu 3)chagua option two ya kubadilishwa...
0 Reactions
3 Replies
754 Views
Wakuu kwa anayejua mbinu za ku download documents anisaidie katika website ya course hero
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani, mimi nimemaliza chuo mwaka huu mwezi july, nilikuwa na project fulani ambayo nilitaka mnisaidie ili niweze kui accomplish vizuri. Mimi naishi kijijini ambapo watu huvuna mahindi hadi...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna wakati sim yangu inazima na hutoa maandishi ya red na green then hadi utoe battery na uiwashe tena ndo iwake irudi kawaida Mwenye anaejua tatizo ni nini naomba msaada wake [emoji120]...
0 Reactions
0 Replies
359 Views
Msaada nahita Flash file :Other Details Mother Board MV7890Q2 Flash file details :MT6582__alps__MR7902H3CW1__mr790__4.2.2__ALPS.JB5.TABLET.MP.V1.12
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Wadau naomba kusaidiwa jinsi ya kuondoa screen overlapping kwenye simu.!! Nina cm kila nikijaribu kufungua apps inasema screen overlay detected, open setting, turn off first screen overlay
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Hivi ni kweli Tanzania kuna anae uza simu new brand asilimia kubwa ni second wanunuzi wengi wetu hatujii simu unaweza nunua ipo Sealed box lakini ni second
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Habari wanajf, Nimekuwa nikipata shida kuitumia customized domain name yangu niliyoinunua kutoka kwenye domain register ya 1and1.com. Kwenye account yangu ya 1and1.com nimejaza information zote...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wadau naombeni kujua jinsi ya kutumia jina moja Facebook....but its possible Ila nmeshindwaa....!!! naombeni mnisaidiee vijana wangu wa nguvu
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Ku~root SIM kuna faida gani? yeyote mwenye ufahamu juu ya hili atusaidie maana nimekuwa nikisikia watu wengi wakizungumzia ku~root SIM hivyo imenilazimu niulize huenda Nami nikataka kufanya...
0 Reactions
1 Replies
624 Views
wadau habari,vipi hii app ya ITV tanzania naona siku ya Leo kuanzia asubuhi channel zote mbili zinagoma kufunguka,je! tatizo ninaliona Mimi au kunawengine ambao wameona hii kitu!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu mwenye kujua masafa ya TBC FM iringa mjini.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wakuu nimeishiwa mood usawa huu Leo nimejipinda nimelipia startimes chanel za ndani naambiwa card problem_Chek card. Mbona channel 1 inaitwa stars guide.. Zingine mbona hazidispley.?? Msaada wakuu
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habar zenu ndugu zangu wanateknolojia,naomben msaada wa muongozo wa kuupgrade android version kwenye samsung galaxy note 11
0 Reactions
7 Replies
972 Views
wakuu msaada naweza kuipata simu yangu samsung grand prime plus imeporwa na kibaka namna ya kuikamata kwa njia ya mtandao.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nashauri ma it watanzania wafatilie kuhusu issue yakutengeneza katuni ambazo zakitanzania kama za Tom and Jerry au ben10 kama kuna anaejua anijuze napenda Sana nijue tuwasiliane 0692283829
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari...wakuu? nina...private..computer..yangu..hapa..toshiba,old..model..naona..imeanza..kusumbua...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama upo pande za Dodoma njoo uchukue games hizo apo juu free kabisa PES 17 TOMB RIDER 2013 Atleast pc yako iwe na 1GB GPU RAM 4GB 2 DUO CPU
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha, simu yangu ni aina ya Samsung note 5 (Verizon), sasa kuna zile sijui upgrade za Android version, je ikiwa rooted nafanyaje, me Sioux mtaalam sana kwa kweli ila nikielekezwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom