Yoyote mwezo uzoefu wa kununuwa bidhaa kutoka china kupitia alibaba express naomba msaada wake wa jinsi ya kuwagiza bidha,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wote wanaotaka kujifunza computer na teknolojia yake na mambo ya graphics na web design bure youtube nitakuwa nikikuletea ujuzi wa aina mbali mbali, ndio nimeanza na excel njoo ujifunze ukiwa...
You can choose to differ with me but it is the harsh reality that our Universities is the main reason most of the Tanzania ICT professionals eliminate programming as their career option. Most of...
Habar ya humu kama kichwa kinavyojieleza naomba mnipe maelezo wapendwa nilimpa sim yangu mdog wangu siku futa chochote nilivyompa sasa akawa anatak kutumia wasap kwa namb yake nikamuelekza kweny...
Ndugu zangu kama mada inavyojieleza hapo juu, jana nimenunua simu ya TECNO L8 Lite.
Lkn kwa uharaka niliokuwa nao nikasahu kuuliza namna ya kufungua mfuniko wa nyuma kwa ajiri ya kuweka line...
Habari zenu wadau, naomba kuuliza je naweza kutumia lg led tv yangu kama monotor ya kompyuta kwa kuunganisha na cpu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia techno c8 WhatsApp yangu haifanyi kazi kwa kutumia mobile data. Nikitumia WiFi inafanya kazi. Tatizo ni nini hapo wataalamu. Msaada tafadhali. Yani ukitumia mobile data internet inashuka...
Habari zenu wanajamii, naomba kujuzwa ni app gan nmazitumia kudownload tvseries na kuangalia kupitia kupitia app store... alaf nawezaje kupata vshare free bila kulipia ??
Wakuu natafuta adapters za game zifuatazo ..
Xbox one adapter moja
Xbox 360 kinect adapters mbili
Pia natafuta
pads 2 za xbox one
Pads 4 za ps 3
Pads 2 Xbox 360 kinect
Mwenye kujua pakuzipata...
Ndugu zangu.. naombeni msaada. Simu yangu TECHNO8 haionyeshi ile alama ya simu inayotumikia kupigia simu. Nimeitafuta kwenye secreen sehemu mbalimbali siioni kabisa..Naombeni msaada nifanyeje ili...
Habari zenu wakuu.....
Laptop yangu inanizingua kwenye upande wa network nimeweka modem imeconect vzr ila nikiingia kwenye Internet naambiwa no Internet connection tatizo litakua wapi?
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.