Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tangu simu yangu w3lte niiflash Imekuwa ikisumbua network haipandi Naomba Msaada wenu Wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ndugu jamaa na marafiki natumaini ni wazima wa afya. Kama mtaalamu wa maswaala ya cybersecurity ningependa tupeane elimu kuhusiana na maswala ya ulinzi katika mtandao(cybersecurity) ambayo ni...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa. Mwenye uelewa wa nini chakufanya anisaidie jamani Napiga simu nayeye anapata taarifa yote Msg zangu anauwezo wa kuzisoma na kujibu yeye zote za kawaida na whatsapp pia...
3 Reactions
99 Replies
22K Views
Wadau habari za majukumu. Ninatumia modem ya Huawei mobile broadband E173 katika window 10. Nikiweka modem window inatoa alert ya kuashiria kuna new divice. Lakini kidogo tena inatoa alert ya ku...
0 Reactions
5 Replies
935 Views
Tatizo la subtitles kuchelewa kidogo au kuwahi naomba msaada katika hili tatizo natumia PC Natumia MPC-HC player kuplay hizi movies. Je kunauwezekana wa kuspeed hizi subtitles au kuslow ili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba kusaidiwa namna ninavyoweza kufanya ujasiriamali kwa kutengeneza jukwaa la taaluma yangu ambalo nitakuwa naposti material, madesa yangu na tafiti mbalimbali pamoja na huduma ya...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Umewezesha two-step verification kwenye account yako jamii forums au mtandao wowote? kama bado, wezesha sasa. Ni muhimu sana!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari za leo mwenye kujua hiki kifaa kinaitwaje na ni sh ngap? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wadau naomba kuuliza bei ya hiyo kitu hapo na wapi nitaipata?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
639 Views
Habar zenu wapendwa. Naombeni msaada wenu, 1. Simu inatumia Non-removable battery, ikijitahidi kukaa na charge n lisaa limoja je ninaweza kubadilisha battery? 2. Cover yake ni glass pande zote...
1 Reactions
4 Replies
944 Views
Habari. Naomba msaada wa wapi nitapata Flashing box (miracle) Au, ka unayo tuwasiliane kwa 0769015725 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wadau,naomba mwenye hii software iwe cracked au original anisaidie,asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa wanaofahamu hivi vifaa, Nina kiasi tajwa hapo juu, lengo niende Kariakoo kununua Desktop Computer. Naomba kujuzwa, Naweza kuipata iliyokamilika kwa kiasi hicho?
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani natafuta mfuniko wa nyuma wa screen ya laptop(back lid cover) ya hp notebook 15 pc
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Naombeni mawazo yenu jinsi ya kuongeza viewers katika blog..... Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Apple has killed off the last remaining app-free music players in its roster, the iPod Nano and iPod Shuffle, leaving nothing but multi-use, connected devices in the brave new world of streaming...
0 Reactions
2 Replies
816 Views
Ninaishi maeneo yenye tatizo na network,ving'amuzi vingi nilivyotumia(vya antena)vinashika kwa kubahatisha sn.je naweza kutumia zile booster za zamani ili kuongeza mawimbi ya network ya...
0 Reactions
2 Replies
716 Views
Kuna yeyote anaefahamu mambo ya computer anijulishe kama i3 iko sawa upande wa kucheza games nzito nzito kama GTA v,need for speed rivals,far cry...etc Niko na core 2 duo inacheza slow motion so...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Learn here: Assessing Your Risks
0 Reactions
2 Replies
917 Views
Habari, Kuna mtu anatumia namba hiyo hapo juu, kila nikipiga hapokei, namba hii ilikuwa yangu iliibiwa pamoja na simu yangu yapata miezi 3 iliyopita cha ajabu tangu jana nikipiga inapatikana...
1 Reactions
57 Replies
8K Views
Back
Top Bottom