Habari wakuu
Nina samsung s5 sm g900f ina android 4.4 bado nataka kuupgrade kwenda android 6.0 naomba msaada jinsi ya kuupgrade kwa anaefahamu tafadhali
Wadau habari zabmuda huu, nimekuwa nikitafuta free template nzuri hasa ikiwa very responsive kwenye matangazo .
Naombeni mnitajie na link zake kama inawezekana.
Asanteni sana!
Wazee waungwana Mimi namba zangu karibu zote sizioni hasa baada ya kutumia GB WhatsApp kati ya na 400 na kitu zilizopo sahvi ni 111. Mwenye ujuzi tafadhali Niko stranded mno. Namba huwa nasave...
I have started my carrier as programmer. Nina siku chache tu toka nimeanza sasa nimekutana na hii task nahitaji mtu anisaidie. How do I go about it?
Task description
A zero-indexed array A...
Salaam wakuu, Kuna Mtu kaomba Msaada WA simulation kwangu kwamba anataka kusoma email take, kwa upendo nikampa, baadae nimekuta amefoward calls zangu kuzifoward kwake, nahisi amefanya zaidi ya...
Habari wakuu ninauliza kwa wadau wanaotumia hizi Tecno w4, je zinauwezo wa kutumia internet ya 4g! Kwa sababu huwa ninakutana na majibu tofauti mengine inaonekana uwezo huo hazina mengine uwezo...
Kwa wale ambao wanajua mambo ya uchenjuaji madini hasa dhahabu, wanajua jinsi gani ambavyo technologia ya vat leaching ambavyo ilivyoshika kasi. Basi Uzi huu upo kushirikishana changamoto...
Msaada jaman nina memor yang 8gb ukiingiza kitu hakiingii ukiiformat inakuambia "This device has protected" msaada jaman nifanyeje kuondoa hiy protector
Ukisoma geography kuna picha huwa zinaoneshwa hasa mpangilio wa sayari ulivyo nauliza swal ni chombo gan kilitumika kupiga picha sayar zote tisa kwa pamoja na kujua mpangilio wake ulivyo na...
Heshima kwenu wakuu wataalam wa hizi kazi, kwa siku za hivi karibuni nmeanza kuliona ona hili neno "Artificial Intelligence" kwenye post, articles na sites mbali mbali za kiteknolojia nyingi...
Hello colleagues!
Mimi ni mwanafunzi ninatakiwa kufnya research na nimeambia nitumie SOFTWARE iitwayo SPSS kwa ajili ya analysis. Je hii software inapatikana wapi? Asanteni
Wajuzi wa tech naomba msaada wenu hapa nimeweka creen unlock pkn nimesahau patten zenyewe na endapo itazima sitakuwa na namna hapa nimeweka dkk30 ndio inaweza kuzima naomba msaada wenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.