Jaman naombeni msaada jinsi ya kuiondoa mistari iliyojitokeza ktk screen ya pc baada ya kukandamizwa kwa bahati mbaya. Kama kuna mtaalam anaejua jinsi ya kutatua hili tatizo msaada pliz
Wakuu naomba kufahamu simu yangu memory card ni 8gb na imebakiza space gb 6.49 na internal storage ni 16gb na imebaki space 9.80gb kwenye ram ni 1gb Ila space inakuwa 350mb-270mb na apps zote...
Natumia simu ya tecno mwanzo nilikuwa natengeneza wifi-hotspot na connect na pc ila karibuni haifanyi kazi japo inaconnect na bar zinasoma vizuri sijui shida itakuwa ni nini wadau kwa sasa natumia...
Heshima kwenu wakuu
Laptop yangu aina ya Dell Latitude D420 haiwaki, nikiiwasha inaishia kuwasha ivi vitaa vya caps lock, Bluetooth na vinaonesha mwanga kwa sekunde kadhaa alafu vinazima na ndo...
1. Hacking can be called the art of breaking into system for good purposes or bad purposes
2.hacking may range from breaking phones,pc,servers,electronic devices,credit cards and many more...
Msaada wa kuunlock huawei modem
model:E3372h-510
Imei:866658020469621
ilikuwa hilink nimejaribu iflash imekuja kwenye dashboard ila bado inanitaka niweke unlock code
Salaam
Natumai mmeamka salama ila moja kwa moja katika point ni kwamba natumia android flani hivi ila kuanzia Jana nimepata tatizo la kushindwa kudownload chochote kupitia browser, naletewa...
Heshima kwenu wakuu
Nina simu yangu aina ya Tecno M3 Sasa takribani siku kadhaa sasa kila nikiiwasha inaishia kuandika tecno tu basi haiendelei zaidi ya hapo nikizima haizimi hadi nitoe betri ila...
Wanajamvi mimi mgeni ktk ulimwengu wenu wa digital..ila naombeni ujanja wa kuweza kuinstall windows kutoka ktk flash au hdd... niko na mini laptop na sina externel dvd rom...natanguliza shukrani
Habari wakuu naomba mnijuze kama kuna web browser iliyo na speed na yenye extension nyingi kushinda google chrome
nataka nijaribu browser mpya maana hii chrome nimetumia miaka mingi sasa japo iko...
Habar za hap wapendwa...naomben msaada wenu jf Nina cm ya tecno W3 imegoma kutuma na kupokea WhatsApp msg ,nikitaka kutuma inasema connect to the internet wakat data ziko on...nimejaribu ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.