Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habarini wandugu, naomba msaada wa software inayoweza ku unlock huawei E8231s-1 wingle modem.
0 Reactions
0 Replies
533 Views
Wakuu habari ninataka kununua mojawapo ya simu hizo ushauri ipi ni nzuri zaidi based on speed durability memory na charge??
0 Reactions
8 Replies
980 Views
Nahitaji huduma ya seo optimizer kwa ajiri ya blog..kwa mwenye utaalmu anipm tufanye kazi
1 Reactions
6 Replies
765 Views
Wanajamvi naomba msaada au ushauri, Hivi inawezekana au kuna apps zinazoweza kupokea au kuzipata sms na calls zinazoingia katika simu nyingine bila mwenye hiyo simu nyingine kujua kuwa kuna mtu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wapendwa, kama kuna mtu yupo hapa mwanza ana hiyo receiver au anajua zinapotikana aniambie nnaihitaji sana kwa bei isiyozidi 70000
0 Reactions
0 Replies
771 Views
Angalia inavyoonekana kwa sasa katika screenshot hapa chini Nzwezaje kulitatua tatizo hili?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wadau naombeni msaada mnijuze juu ya bei halisi ya phantom 6 iliyozinduliwa hivi karibuni kwa shilingi za kitanzania.... nawasilisha
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu Nilitoka kidogo kwa muda kama wa miezi sita hvi sasa leo nimerejea hapo Nyumbani kusabahi ndugu jamaa na rafki na kujumuika nao holiday hii wakati naondoka halotel ilikuwa ni H+ plus muda...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Kifaa hiki kimefanikiwa kupokelewa na mtandao wa JAMECO,Ambapo kifaa hiki kitatengenezwa kwa packaging nzuri na kuuzwa kote duniani Kifaa hiki kwa mara ya kwanza kilichapishwa HAPA Baadae...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu habar zenu. Nilinunua iphone 6 yapata miez mitatu sasa, jana tarehe 27 nov imepata ajali kioo kimepasuka. Nomba kuuliza kama naweza fanyia repairing na itacost sh ngap kwa kioo au kama...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza cm nokia lumia 525 kwa bei poa ya sh 120000. Cm ina internal memory na extenal memory. Internal ina 7gb. Extenal ina 2gb Pia inakamera kali sana. Njoo inbox au piga 0657623266
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Wana jamii naomba mnijuzee kuhusu hilii, natanguliza shukrani zanguu!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu salaam ipo hivi, kuna ndugu yangu ameitwa mbele za haki sasa muda huu tunaandaa wasifu wake lkn kikwazo kimoja ni kwamba documents zake zote kuhusu elimu na mambo mengine yapo ktk pc kwahyo...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwanza habari zenu wana JF Nahitaji msaada wenu, niliroot tecno J5 ikakaa poa ila nikahitaji kui Unroot na nilipo jaribu kui unroot imekua ikiwaka inaishia tu pale linapokuja neno tecno mpaka...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Ni karibu miezi miwili iliyopita tangu kampuni inayoaminika sana ya Samsung kutangaza kuondoa toleo moja sokoni la Galax note 7, Kampuni hiyo Ndiyo kampuni niliyoiamini zaidi, lakini kabla ya...
1 Reactions
55 Replies
6K Views
Habari !wakuu ningependa share nanyi kujua ipi katika ya foaud na gbwhatsapp bora zidi na kipi kimekuvutia kati ya gbwhatsapp na foaud.
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kuna huu mtandao wa alibaba naombeni mnisaidie jambo moja jamani huu mtandao nimeupenda sana una bidhaa ambazo ni cheap sana ila tatizo linakuja kwangu pale kuwa wanahitaji mtu kuorder bidhaa...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wadau!.. Vugu vugu la ukuaji wa teknolojia kwa nchi afrika wenzetu kenya wameamua kufanya kwa vitendo, Wakenya wote kwa pamoja wameweka tofauti zao za kiasiasa pembeni na kushiriana na...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Nimekua nikijaribu kupunguza uwezekano wa akaunti yangu kupokea Alarts lakini sifanikiwi najikuta napokea hadi 1000 alarts. Nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
623 Views
Wadau habari zenu , Kwa mda mrefu sasa simu yangu imekuwa na tatizo la video kutotoa sauti au kutoonyesha kabisa nikiipost Instagram Lakini uki play kwenye gallery inakubali tatizo linakuja Niki...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom