Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani kama nilivyoeleza hapo juu, simu yangu ilidondoka chini baada ya kuiwasha ikawaka lakini haifanyi kazi; ila nikipigiwa inaita tatizo kupokea na laini inasoma vizuri, nifanyeje na simu yangu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Toyota kutambulisha gari lilotengenezwa kwa mbao na teknolojia ya kiutamaduni ya nchini Japan isiyohusisha utumiaji wa misumari wala nati katika kuzishikilia mbao hizo. Sersuna – Gari la mbao...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Siku zote hua naamin kwa kiasi flan zamani kabla ya utawala africa na mabara mengine tulikuwa hatujapishana sana kwenye masuala ya teknolojia ila tu tulianza kupishana pale tu ambapo ukoloni...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wakuu nna sim tajwa hapo juu inauzwa bei maelewano
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msaada jamani kama umesahau password au pattern ulizo weka kwenye simu yako ni njia ipi nitaondoa bila ya kwenda kuflash?
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Wakuu salam Naomba mwenye ujuzi na utalaam was kufunga/kuzuia sms husasani za Huduma kwa wateja kujirudiarudia hata zaidi ya mara 100 kwenye simu yangu ya smartphone anisaidie. Maana nimeshaenda...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
habari za asubuhi ndugu zangu na shida na simu yangu toka jana nikiweka line ya tigo inaandika emergency calls only, nikiweka line nyingine inafanya kazi, na pia nkiweka line yangu kwenye simu...
0 Reactions
5 Replies
969 Views
Msaada, watsap copied msgs zinaenda wapi?
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Nimeshindwa kuunganisha wifi hotspot natumia tecno y6,simu zingine zinakubali ila kwangu inagoma sijajua ni kwa nini mwenye ujuzi anijulishe waungwana
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau nataman kufahamu software ya kutengenezea kalenda
0 Reactions
1 Replies
474 Views
mazee kila nikiapply google adsense baada ya masaa matatu dashboad yao inawaka ila sirudishiwi mesegi then nikiadd code matangazo hayawaki hata usubiri wiki,,,,km kuna mtu amekutana na tatizo ili...
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Habari JF, Tumekuwa tukipokea baadhi ya maswali kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii kuhusiana na matatizo madogo madogo kutoka kwa wateja wetu. Hivi karibuni tumezindua simu mbili kali...
4 Reactions
146 Replies
64K Views
nina simu ya tecno n3. line 1 ina lazimisha kuweka tigo, nimejaribu apps za ku access mtk but nmekuta option ya sim me lock iko disabled. kila niki google kuhusu ku unlock nnaona suggestion ya...
0 Reactions
0 Replies
870 Views
Wanajamii naomba kwa yeyote mwenye kufahamu application nzuri ambayo itaniwezesha kudownload nyimbo za kibongo hasa zilipendwa. please tafadhali
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Habari wadau Kwa kipindi kirefu sasa (miaka kadhaa) tokea nilipojiunga na mtandao wa Facebook tatizo nimesahau exactly year niliojiunga kwa mara ya kwanza. Naomba msaada kujua ni Lini hasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu Pc yangu ina matatizo kadhaa kama kutofungua apps ambazo zilikuja na Pc inasema apps can't open using the built-in adminstration niliwah badili akaunti kwenye machine sasa kuirudisha...
0 Reactions
7 Replies
698 Views
Niaje wadau wa humu mjengoni!! Natafuta battery kwa ajili ya Laptop yangu aina ya acer aspire E1-510. Hivyo baasi naomba mnisaidie kufahamu kuwa wapi zinauzwa na nitazipata vipi? Duka gani pamoja...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
There isn't much that a shade tree mechanic can do to repair an automatic transmission but there are some simple things you can do to extend the time before problems arise. The automatic...
1 Reactions
1 Replies
755 Views
NDUGU.. NIMEIBIWA SIMU AINA YA SAMSUNG GALAXY NOTE 1 ... NINA FULL IMEI NUMBER.. NAOMBA KWA DEVELOPER YEYOTE ANISAIDIE JINSI YA KUITRACK LOCATION SEHEM HII PHONE ILIPO AU ANISAIDIE KAUJUZI JINSI...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau polen kwa majukumu naombeni maelekezo ya ku log in Facebook bila kutumia phone number. Pia namba yangu isionekane Facebook. Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom