Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nahitaji mtu atakaeweza kunibadilishia template kwenye blog yangu .asanteni sana.
0 Reactions
6 Replies
890 Views
Habari wakuu? Kwa wenye uelewa naomba mnijuze namna ya ku download music on iphone. Na je inawezekana kuhamisha miziki kutoka kwenye computer kwenda kwenye iphone?
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Natumia desktop Acer nahitaji kuinstall Bluetooth niwe naitumia kwenye kuplay nyimbo kwa kutumia sub woofer ambayo na yenyewe ina Bluetooth nimejaribu kudownload nimeistal nkaja kugundua ile ni ya...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wanajamii naomba kwa yeyote mwenye kufahamu application nzuri ambayo itaniwezesha kudownload nyimbo za kibongo hasa zilipendwa. please tafadhali
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ifahamu USB OTG Videos 200: Ifahamu USB OTG
0 Reactions
0 Replies
554 Views
Sony claims it's not at fault for not releasing Android 7.0 Nougat for Xperia Z3 Japanese company Sony confirmed last week the smartphones that will receive Android 7.0 Nougat updates at some...
1 Reactions
0 Replies
689 Views
Habarini waungwana kama nilivotangulia kuandika hapo juu, sim yangu ni mpya kilichofanyika nikuwa nili iformat cm yangu sasa wakati wa kuwaka imekomea katika sehemu ya kusearch Wi-Fi inaseatch tu...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Wakuu salam kwenu,naulizia maana na kazi ya hichi kitu "data roaming".Naiona sana kwenye settings za simu
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habar kinavojieleza hapo juu,, kuna pc inaitwa lenovo brand (cce ultra thin u25) nimeiped lakin mim cio mtaalamu wa hivi vitu naombeni ushauri kwa wanaofahamu je ni nzuri naweza...
0 Reactions
1 Replies
930 Views
Ndugu wanajamvi naomba msaada kwa anaefahamu Simu yangu haiconect mtandao kwenye pc japo inaonesha imeunganisha lkn ukifungua browser haifungui tovuti inasema there is no internet connection
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini wadau, ninatumia idm (internet download manager) siku za hivi karibuni imekuwa hailet ile pop up ya kudownload nikiplay video youtube kama mwanzo, websites zingine inafanya kaz kama...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Wadau, mwenye system ya SARIS, Tuwasiliane ani PM tufanye biashara.
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Kuna jamaa aliingia kwenye FB na kuni-ADD alitumia ID nyingine nami nilim-ADD kumbe alikuwa jamaa ambaye namfahamu sasa nataka nim-Brock je nifanyeje??????maana ananisumbua sana.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji kufungua Blog na websites nahitaj mwongizo je nianze vipi
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika mtandao wa kijamii wa facebook, kuna makundi (Groups) mengi ambayo mtumiaji wa mtandao huu anajikuta ameunganishwa hata pasipo kujijua. Na hii inakuwa kero maana unakua umeunganishwa...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari wanaJF, hapo nimekosea wap kwenye picha hapo chini
0 Reactions
1 Replies
628 Views
Habari za jioni wadau....kuna sim mpya imenunuliwa Hong Kong imekuja mpya kabisa lakini haina Google services, aplication zone zilizobaki zinakubali apart from application za Google services...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Sitaki kuelezea kwa undani zaidi maana ntajikuta namwaga machozi yangu bureeeee!!! Ila Tecno kwa kheri, niliwapenda ila mmejiharibia wenyewe. "zamani niliwatetea ila mlichonifanyia sitakaa...
1 Reactions
56 Replies
4K Views
Hello I need someone who can make apps tufanye project. Great if ur in tanga good if u are in dar. PM please
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom