Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari zenu wapendwa. Naombeni kujuzwa utofauti uliopo kwenye hizi simu za huwawei yaan kwa mfn tofauti kati ya HUAWEI P9, HUWAWEI MATE8 na Huwawei G8 (kwa ujumla utofauti kati ya simu za huawei...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeitafuta sana Post yangu niliyoomba msaada namna ya Ku-unlock Huawei E303 lakini sikuiona. Ila hatimae nimefanikiwa kui-unlock. Hii ni Vodacom E303 nimeweka Airtel firmware kisha nikai-unlock...
28 Reactions
203 Replies
67K Views
Je pc ya Mac Book Pro aina ya apple inaflashiwa kama laptop zingine zinavyo flashiwa....?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu hivi ni wapi kwa hapa Dar nitaweza kupata kifaa hiki kama inavyoonekana kwenye picha ili nikanunue kabla sijaweka oda online.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Ninapenda kuuliza kama kuna madhara ya kuuziwa adsense na mtu, haswa pale inapokua haijawa verified(haijapata) barua?
1 Reactions
2 Replies
828 Views
Habari wakubwa. Hivi kununua vitu online kama eBay au Amazon market ambamo kuna sehemu najaza info zangu za bank, ni safe kweli ktk pesa zangu za bank? Sometimes nahisi kama wajomba wanaweza kua...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Kama kuna mtu anajua namna ya kutoa icloud acc aje tuchonge coz sikumbuki chochote.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Huna haja ya kufika ofisini huko huko ulipo tunatoa lock na kuweza kuitumia kwa laini yeyote uipendayo. Pia tunatoa network lock samsung huko huko ulipo na malipo utafanya baada ya kujirisha na...
2 Reactions
2 Replies
925 Views
Hello anayeuza RAM ya Laptop ya kuanzia 4GB anicheki 0687535650
1 Reactions
0 Replies
425 Views
Habarin wadau..simu yangu Tecno C8 ghafla tu imeganda kwenye 3G na E kwa wiki mbili sasa..haisomi h wala h+ Ushauri wenu tafadhar
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Jaman naomba mtu anaye weza kunisaidia jinsi wanavyotengeneza App za simu...hasa social application...ikakaa kwenye android app watu wakaidownload ...mfano...millardayo app..mtembez nk Naomba...
0 Reactions
3 Replies
738 Views
Home Technology Tricks & Guides Tech Facts Hacking Programming Gaming Researches Inventions Home Popular 10 Reasons : Why should we use Linux? 10 REASONS : WHY SHOULD WE USE LINUX? By Vicky...
1 Reactions
1 Replies
641 Views
Nahitaji kununua tablet yenye sifa hizi nicheck kama unayo Brands ni Samsung/LG/Lenovo/HTC Android version ni kuanzia 4.4.4 (Kitkat) RAM at least 1. 5GB Internal at least 16 GB Size at least...
0 Reactions
8 Replies
740 Views
Iko poa sana haijawahi kufunguliwa wala kubadilishwa chochotez 16GB nipo dsm.. Pm
0 Reactions
1 Replies
499 Views
cm yangu nokia lumia 525 imekataa kuupdate window 10 tatizo ni nn? maana nimefata hatua zote imeniletea hii meseji
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wandungu nauza samsung galaxy Note 4 ,16GB ,SIM slot na memory card slot available, Bei 350000/= ,kwa anaehtaji Tuwasliane
1 Reactions
3 Replies
703 Views
jinsi gani naweza kuongeza speed ya internet kwenye pc yangu.. kwa anayejua anisaidie
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wapi naweza kupata hii simu.Naona inakuja na Android ver6 ambayo ina features nyingi nzuri.Nimejaribu kutafuta kwenye maduka ya online bado haipatakani.Vipi kuna ambaye ameshatumia android ver6...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KUHUSU 3D Picha kwenye screen ya kawaida inaonekana flat, kwa vipimo viwili "2 dimensions", "2d". Picha ya 3d, mbali ya kuonekana kuwa na upana na urefu, inaonekana pia kuwa na kina, na ndio...
2 Reactions
11 Replies
7K Views
Samahani, naweza kupata adapter ya HDMI to AV output kwa Mwanza??
0 Reactions
0 Replies
514 Views
Back
Top Bottom