Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Telegram F.A.Q.
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Jamani wadau, hivi hizi simu ya iTEL android zina Ubora kama tecno au ni mbovu. kama kuna aliyewahi kutumia au anayezitumia anijuze tafadhali kama ziko powa au ni model gani ya itel iko powa na ni...
0 Reactions
47 Replies
19K Views
jaman msaada nataka ku unroot tecno c8 naanzaje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wanajukwaa, Nina simu. aina ya saSamsung galaxy core prime g360p, hii simu ina support network za LTE na CDMA tu na sidhani kama ina GSM, je nitawezaje kuitumia hii simu kwa mitandao yetu...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu msaada wenu tafadhali naomba mnasaidie kuwa laptop ya Mac Book Pro ya apple inaflashiwa kama laptop zingine, na kama ndiyo kuna madhara yoyote yaweza kutokea?...... Na kama haiflashiwi kwa...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Naomba msaada . Leo wakati niko nyumbani nikachukua laptop nikawasha kawaida baadae mama watoto akaniletea bwana Mdogo nimsikie gafra dogo kapiga keyboard kwa kiganja soon desktop ikawa upside...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari za j2 wakuu, simu tajwa hapo juu imekuwa na tatizo la kuji restart yenyewe mara kwa mara, sasa naomba msaada kwa mwenye kujua ni jinsi gani naweza tatua hilo tatizo. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
783 Views
Wadau kwema, mimi natumia sim ya mfumo wa android Lollipop anayeweza kujua jinsi ya kudownload game ya mpira wa miguu ya sim ya FTS17, ambayo ni update ya game FTS15, nimejaribu kupitia Playstore...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu wa kaya naomba kuuliza anayefahanu simu za ZTE K3 anisaidie
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa hili leo naweza kukiri mbele yenu kuwa nimekuwa nikihamahama katika matumizi ya simu kutokana na kufifia kwa Simu za Blackberry katika soko la simu hivyo nikawa sina uhakika na...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Simu yangu haikubali kutuma SMS Niliponda SMS selting nikakuta simu kadi locked. Naomba anayejua Ku unlocked, mengine yoote yapo vizuri
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Habarini ndugu jamaa na marafiki. Mimi nimeamua kuachana kabisa na XXX. Lakini kuna zingine huja bila kukusudia kwamfano ktk mitandao ya kijamii. Hivyo naomba mwenye uelewa wa jinsi ya kublock...
0 Reactions
14 Replies
11K Views
Habari wataalamu wote wa Jukwaa hili. ninatumia Router ya VODACOM kwa ajili ya kupata wireless internet ila inatumia line ,oja ya vodacom tu. Nauliza je kuna sehemu ambayo wanaweza pata mafundi...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
habari za asubuhi wana jf.. Nina somea computer science level ya degree,nahtaji kufahamu ipi inalipa zaidi katika upande wa technolojia hasa hapa nyumbani kati ya kazi za programming Na...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Msaada tafadhali, nina dell precision t7500, nimeweka hdd 2 za 500gb, na ssd yenye windows, inaniletea error hiyo hapo kwenye picha. Tafadhal kwa yeyote mwenye suluhisho anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari za majukumu wazee,natumaini mu wazimaa? msaada kwenye tuta..... mimi natumia macbook pro 8,1 naomba msaada wa jinsi au namna ya kuconnect macbook pro 8,1 kwenye modem,nimeangaika sana...
0 Reactions
3 Replies
920 Views
Wadau kuna mtu anahitaji laptop used iwe ya aina yoyote na ukubwa wowote... But iwe katika hali nzuri kidogo bei iwe Tsh. 200000/= Kwa mawasiliano 0656801229
0 Reactions
4 Replies
939 Views
Wakuu habari za kutwa? Samahani jamani kuna gmail address yangu inatumiwa na mtu lkn bila idhini yangu af mbaya zaidi kwenye ACC ya email yangu nilikua sijaweka picha mbaya zaidi kaweka mpaka...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
WAKUBWA NIANAOMBA MSAADA WENU...KWA JINSI GANI NITAWEZA KUPATA VITABU VIFUATAVYO :- Introduction to Business – ABE Study Manual • Ian Marcouse, et al.,Business Studies, 2nd Edition (2003) Hodder...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada....simu hapo juu imepotea leo Katika graduation st.Mathews....kwa wanaofahamu wanielekeze namna ya kuitrack..
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom