Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

East Africa News Ugandans lose Sh60 billion in football Ponzi scheme ======= Summary The BLQ scam leaves behind hundreds of Ugandans who had recently become millionaires. The supposed wealth...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Picha: Rais wa Uganda, Yoweri Museven Rais wa Uganda Yoweri Museveni ,ametangaza amri ya kutotoka nje ya wiki tatu, kwa wilaya mbili za Mubende na Kasanda, ili kuzuia maambuzi ya ugonjwa wa...
0 Reactions
0 Replies
465 Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni siku ya Jumatano aliamuru waganga wa kienyeji kuacha kuwatibu wagonjwa katika jitihada za kukomesha kuenea kwa ugonjwa wa Ebola, ambao tayari umegharimu maisha ya...
0 Reactions
1 Replies
653 Views
Ugonjwa wa Virusi vya Ebola (EVD) umekatisha maisha ya mhudumu mwingine wa afya wakati nchi ikipambana kudhibiti kuenea kwa virusi hivyo, Wizara ya Afya imeripoti. Dkt Jane Ruth Aceng, Waziri wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hiyo ni mara ya kwanza tangu mlipuko wa Ugonjwa wa #Ebola kuripotiwa kuanza Nchini Uganda, Septemba 2022 ambapo kifo cha mtu huyo kinafanya waliofariki kwa Ebola kufikia 19. Baada ya kuanza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mzee amechoka kujieleza, ametoa kauli asiyeridhishwa aje ampige, sio kuongea ongea huko... njooni mnipige...ha ha ha!!
3 Reactions
3 Replies
630 Views
Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), William Byansi ameagiza kuanza utaratibu huo ili kuwalinda askari na wafanyakazi wa idara za haki na kutambua mapema hali za kiafya na magonjwa ya watuhumiwa...
0 Reactions
1 Replies
803 Views
According to the publicly disclosed Military equipment, Uganda leads Kenya Hata hivyo, Uganda ina Budget ndogo zaidi kwa nchi tatu za Maziwa Makuu Kwenye upande wa viwango vya Rushwa
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Hatua hiyo inafuatia ufanisi hafifu wa chanjo zilizotumika awali kushindwa kufanya kazi kama ilivyotarajiwa kutokana na kutofautiana na aina Kirusi kilichopo nchini humo. Uganda inakabiliwa na...
1 Reactions
1 Replies
681 Views
Siku chache tu baada ya mtoto wake kuzua dhoruba kwa msururu wa ujumbe wa Twitter uliozusha mgawanyiko, Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameomba msamaha kwa Rais wa Kenya William Ruto. Akitishia...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amempandisha cheo mtoto wake Muhoozi Kainerugaba, kutoka kwenye cheo cha Luteni Jenerali hadi kuwa Jenerali. Kupitia ukurasa wake wa Twitter Jenerali Kainerugaba...
5 Reactions
50 Replies
4K Views
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema kuwa hakuna atakayezuia mradi mkubwa wa bomba la mafuta Afrika mashariki, akipuuza azimio la wabunge wa Ulaya lililotaka mradi huo ucheleweshwe kutokana na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mbona hamkushangaa Rafiki yenu aliyewajengea Msikiti na Misikiti Hayati Ghaddafi alipompandisha Vyeo Mwanae? Mbona hamkushangaa Hayati Rais Laurent Kabila alivyompandisha Vyeo Mwanae Joseph...
1 Reactions
3 Replies
663 Views
Hello guy while I have resumed a plan to trip to Uganda in December this Year, Kindly share with me All you know about this country for a foreigner who is about to Visit, my purpose for that trip...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wizara ya Afya ya Uganda imesema takwimu hizo ni hadi kufikia Jumapili Septemba 25, 2022. Kwa waliofariki, wanne wamethibitika kuwa na maambukizi wakati 17 walionekana kuwa na dalili za virusi...
0 Reactions
6 Replies
975 Views
The launch of Uganda’s first-ever satellite, PearlAfricaSat-1, has been postponed to October 28 because of bad weather. The launch, which is supposed to be accomplished by America’s National...
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Makamu wa Rais, Maj Jessica Alupo, Waziri wa Mambo ya Ndani Meja Jenerali Kahinda Otafiire, na Waziri wa Ulinzi Vincent Ssempijja ni miongoni mwa viongozi wa Uganda ambao wametia saini barua ya...
0 Reactions
2 Replies
541 Views
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni amesema hakuna haja ya kuweka vikwazo ikiwemo marufuku ya kutotoka nje katika maeneo yenye mlipuko wa #Ebola kwa sababu Ugonjwa huo unaosababishwa na Virusi...
0 Reactions
2 Replies
689 Views
Ofisi ya Shirika la Afya Duniani Kusini mwa Jangwa la Sahara imesema mlipuko wa #Ebola unaoendelea nchini Uganda uligunduliwa kwa kuchelewa baada ya Uchunguzi wa awali kuonesha kuwa dalili...
0 Reactions
0 Replies
576 Views
Idadi hiyo ni ndani ya wiki moja tangu mlipuko utangazwe eneo la Mubende na kusambaa Kyegegwa na Kassanda wakati idadi ya wanaodaiwa kuwa na maambukizi ni 36. Aidh, Rais wa Jumuiya ya Madaktari...
0 Reactions
1 Replies
658 Views
Back
Top Bottom