Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Brave Ugandan Teen Tricks Western Leaders with Question that Prove they are All Liars Ugandan climate activist Vanessa Nakate has confronted rich countries over their refusal to provide finance...
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amelikosoa bunge la Umoja wa Ulaya baada ya kuitaka serikali yake kusitisha mradi wa kimkakati wa bomba la mafuta na nchi jirani ya Tanzania. Wiki mbili zilizopita...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Wahudumu wa Afya walio katika Mafunzo ya Kwa Vitendo (Interns) wakiwemo Madaktari, Wauguzi na Wafamasia wanaokabiliana na Ebola katika Hospitali ya Mubende wametangaza mgomo kupinga Ufinyu wa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mujibu Wizara ya Afya, hadi kufikia Septemba 24, 2022, jumla ya wagonjwa 31 waligundulika kuambukizwa na wengine wakihisiwa kuwa na maambukizi hayo, ikiwa ni ongezeko la haraka kutoka visa 7...
0 Reactions
0 Replies
711 Views
Wizara ya Afya ya #Uganda imethibitisha maambukizi mapya ya Ugonjwa wa Ebola baada ya kulipuka kwa ugonjwa huo na kuua mtu moja mwenye umri wa miaka 24, mwanzoni mwa wiki hii eneo la Mubende...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mgonjwa mwingine ambaye ni mtoto mdogo, amefariki kwa Ebola katika hospitali moja katikati mwa nchi hiyo, kwa mujibu wa taarifa za gazeti la New Vision la nchini humo. Maafisa wa afya wanasema...
0 Reactions
2 Replies
472 Views
Muswada huo uliowasilishwa Bungeni una mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ambazo endapo zitapitishwa, kwa mara kwanza wananchi wake wataweza kujitolea viungo vya mwili na kuruhusu upandikizaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Uganda Condemns EU Opposition to E.Africa Energy Project Says a Case of Neocolonialism
1 Reactions
1 Replies
403 Views
Waziri wa Sheria wa Jamhuri ya Kidemkorasia ya Kongo anasema Uganda imeanza kuilipa Kinshasa fidia ya dola milioni 65 kati ya 325 kama ilivyoamriwa na Mahakama ya Sheria ya Kimataifa ICJ...
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Bunge la Uganda limepitisha Sheria ya Mtandao ikilenga watumiaji wa kompyuta Nchini humo. Baadhi ya Wabunge wamenukuliwa wakisema kwamba watakwenda kuipinga Mahakamani itawahusu watu...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Afande it's here Flash Report: Torture SD Ref: 06/03/09/2022 Brief facts It was today on 3rd September 2022 at around 1500/c when the OC Busula Police Station recieved information that a video...
1 Reactions
0 Replies
633 Views
Polisi nchini Uganda imewafungulia mashtaka maafisa wake wanne waliovamia sherehe ya harusi wiki iliyopita na kumkamata bibi harusi wakimtuhumu kwa wizi. Kwa mujibu wa Msemaji wa Polisi, Fred...
0 Reactions
1 Replies
778 Views
Serikali inaongeza vituo 2,000 zaidi vya Wi-Fi ya bure kote nchini katika hatua ambayo inatajwa kuongeza ufikiaji wa huduma ya intaneti katika maeneo ya pembezoni mwa nchi, ikiwemo wakati wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Watu 14 wamefariki Dunia katika Mji wa Arua Nchini Uganda baada ya kudaiwa kunywa pombe inayodhaniwa kuwa na sumu. Baadhi ya watu wengine wapo hospitalini wakiwa na hali mbaya, Polisi wameeleza...
1 Reactions
2 Replies
881 Views
Moazu Kromah raia kutoka nchini Uganda amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitano jela na Mahakama ya jijini New York kwa kosa la kula njama za kusafirisha Pembe za Faru na Pembe za Tembo...
0 Reactions
0 Replies
498 Views
Kamati ya Bunge ya Mamlaka za Serikali na Biashara za Serikali (COSASE) imeliambia Bunge la nchi hiyo kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege la Uganda, Jennifer Bamuturaki, hakuwa na sifa...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
Organised by Art of Living Uganda Venue: IUEA Auditorium International University of East Africa, Kansanga, Gaba Road, Kampala Date: 24th August 2022 Time: 4.30pm to 6.30pm Free Entry...
0 Reactions
0 Replies
532 Views
Bazara la Mawaziri la Uganda limeidhinisha matumizi ya Kiswahili kutumika kuwa lugha rasmi nchini humo pamoja na kuwa somo la lazima katika Shule za Msingi na Sekondari. Maamuzi hayo yamefikiwa...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
SHULE zote za msingi nchini Uganda, Januari mwakani zitaanza kufundisha lugha ya Kiswahili na baadae kufanya mitihani kwa lugha hiyo. Hatua hiyo imeelezwa ni mkakati wa nchi hiyo, kutaka kujitanua...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom