Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Polisi nchini Uganda wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya raia walioandamana katika Miji Mitatu kupinga kupanda kwa bei ya mafuta na vyakula muhimu huku wakiwashikilia watu kadhaa. Maandamano...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Shule ya Sekondari Nyakasura iliyoko Magharibi mwa Uganda imekuwa gumzo baada ya wanafunzi wa kiume wa nchi hiyo kuvaa sketi ikiwa ni sare ya shule hiyo ambayo imeanzisha tangu Mwaka 1926. Mkuu...
2 Reactions
21 Replies
5K Views
President Museveni has disavowed reports that Uganda is now a middle-income status nation "I didn’t say we have already become but I said we are entering middle income status,” Mr Museveni said...
0 Reactions
1 Replies
884 Views
Hongera EAC, mpaka hapo tumeonyesha uongozi, wanajeshi wa Uganda, Rwanda na Kenya ila Tanzania na mdogo wake Burundi kimyaaaa, bora Burundi kidogo tumemskia kule Somalia mara moja moja...
2 Reactions
41 Replies
3K Views
Ugandan police fired tear gas and arrested at least a dozen protesters on Monday after demonstrations against steep food and fuel price increases in the East African nation turned violent. The...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Uganda imegundua amana za dhahabu katika Wilaya ya Busia na Katika jitihada za kukuza uchumi wa nchi hiyo, serikali imeipa leseni kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Kichina, Wagagai, ya kuanza...
8 Reactions
25 Replies
4K Views
Ndugu zangu spiritual Jews duniani kote. Leo ni kumbukumbu ya mashujaa wa Kiisrael walipowaokoa ndugu zao pale Entebe Uganda. Kijana Jonathan Netanyahu akiwa na umri wa miaka 28 aliongoza...
0 Reactions
1 Replies
520 Views
Benki ya Dunia imesema pato la kila mwananchi wa Uganda ni dola 850 kwa mwaka wa fedha unaoishia 2022, huku uchumi ukikua kwa wastani wa asilimia 3.7 ambapo ni chini sana ya kiwango cha chini cha...
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Jeshi la uganda limesema kuwa limegundua kituo cha mafunzo kwa wpiganaji wa kiislam Km 60 tu kutoka kampala, watu watatu wanashikiriwa, aidha vyuma vya kutengenezea milipuko vilipatikana pia...
1 Reactions
4 Replies
908 Views
Picha:Mabinti wa museven ni pisi kali balaa hawa kiasili ni waganda kweli? Mmeona pisi kali za mzee baba? Hawa ni waganda kweli kiasili maana wanafanana na watu wa Rwanda kwa asilimia 100% Ila...
12 Reactions
110 Replies
20K Views
President Museveni has blamed past leaders and colonialists for Uganda’s poverty, saying they “poisoned the minds’’ of hardworking farmers. “When the colonials came here, they made our people...
0 Reactions
2 Replies
721 Views
Tafiti za Mashirika kadhaa ya Umoja wa Mataifa zimebainisha kuwa zaidi ya watu nusu milioni sawa na asilimia 40 ya wakazi katika eneo la kaskazini-mashariki mwa Uganda la Karamoja wanakabiliwa na...
0 Reactions
2 Replies
897 Views
Kainchi kadogo ila wanajituma... Uganda has reached the middle-income status despite an onslaught of crises in the past three years, President Yoweri Museveni said on Tuesday. According to...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Dear kakensa, I want to bring to open the troubles at our new Uganda Airlines and how it is going to collapse soon. This place has become like Hell after the suspension of some staff orchestrated...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Polisi trafiki Mjini Kampala asubuhi ya leo Jumatatu 30-may 2022 wamemkamata dereva wa Ikulu baada ya kudaiwa kujaribu kupiga U-turn katika lango la shule ya Msingi ya Aga Khan na kuwatisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiongozi wa upinzani Nchini Uganda, Dkt. Kizza Besigye amekamatwa na amefunguliwa mashtaka ya uhalifu baada ya kuitisha maandamano ya kupinga kupanda kwa bei za bidhaa muhimu na kutaka Serikali...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Umoja wa Wauguzi na Wakunga wa Uganda (UNMU) umetangaza kuanza mgomo kuanzia leo Mei 26, 2022 kutokana na malipo duni, ikiwa na maana wanaungana na wataalam wa afya wengine walioanzisha mgomo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waziri wa Uganda akinukuliwa "Ikiwa hutumii akili alizokupa Mwenyezi Mungu, usimlaumu unaposalia kuwa maskini. Jitahidi kuushinda umaskini kwa sababu kuwa tajiri ni utukufu," Gazeti la New...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Police arrest political activist, Dr Kizza Besigye after he tried to leave his home on May 23, 2022. Uganda police have arrested political activist and former presidential contender Kizza Besigye...
0 Reactions
3 Replies
779 Views
Back
Top Bottom