Ugandan News and Politics

Serious discussions on Politics and Latest news from Uganda

JF Prefixes:

Ugandan communications regulator has issued a reminder to broadcasters after their coverage of the protests. The commission urges the media to act responsibly in broadcast of content containing...
1 Reactions
2 Replies
840 Views
Vyombo vya dola vya Uganda vyamuachia huru Bobi Wine; waliouawa katika ghasia wapindukia 60+SAUTI Nov 20, 2020 14:27 UTC PAKUA Kiongozi wa chama cha upinzani cha National Unity Platform (NUP)...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Idadi ya watu waliopoteza maisha katika maandamano na vurugu nchini Uganda wanaodai Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine aachiwe huru imeongezeka na kufikia 37, kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ghasia zimezuka katika miji mbalimbali ya Uganda kufuatia kukamatwa kwa mgombea urais Robert Kyagulanyi. Picha za angalau watu watatu wanaoaminika kuuawa katika ghasia hizo mjini Kampala pekee...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Sio kila amri mnatakiwa kuitekeleza. Maisha yana leo na kesho. Acheni kutumiwa na wanasiasa.
0 Reactions
3 Replies
835 Views
Tanzania tunatumia lugha na msamiati wa neno "mabeberu" huko Uganda nako m7 kaja na mapya na yeye kaja na msamiati wa neno "mashoga" kwamba ndo wanafadhili upinzani pamoja na vikundi vya nje...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Rais Yoweri Museveni wa Uganda ashutumu vikali wanasiasa wanovunja masharti ya kudhibiti virusi vya corona wakati huu wa kampeni za uchaguzi wa rais. Kauli hiyo imetolewa na mgombea huyo wa urais...
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Polisi nchini Uganda wamesema kwamba watu 16 wamefariki na 65 kujeruhiwa kufuatia vurugu zilizotokea baada ya kukamatwa kwa mgombea wa urais Robert Kyagulanyi maarufu Bobi wine. Msemaji wa polisi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Polisi nchini humo wamesema idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maandamano yaliyoibuka baada ya kukamatwa kwa Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) imefikia saba. Msemaji wa Polisi, Fred Enanga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mgombea Urais wa nchi hiyo, Mugisha Muntu amesitisha kufanya kampeni zake mpaka Wapinzani wengine waliokamatwa jana watakapoachiwa Muntu ametaka Mamlaka kuwaachia huru Robert Kyagulanyi almaarufu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mabibi na mabwana pamoja na yetu machungu, hebu na tuyaone ya wenzetu katika zile chaguzi za ghiliba ambazo labda ni bora tu zisingekuwapo. Bobi Wine aka Robert Kyagulanyi (mmoja wa candidates...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Robert Kyagulanyi anayefahamika zaidi kama Bobi Wine amekamatwa leo asubuhi katika Wilaya ya Luuka ambapo alipanga kufanya mkutano ili azungumze na wafuasi wake Polisi wanamtuhumu Mgombea huyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Gazeti la Daily Monitor la Uganda linaripoti kuwa daftari la kitaifa la wapiga kura limepelekwa Uholanzi kwa ajili ya kuhakikiwa. Tume ya uchaguzi imeipa zabuni kampuni ya Uholanzi kuondoa majina...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tume ya uchaguzi nchini Uganda imepiga marufuku mikusanyiko ya watu wakati wa kampeni kuelekea uchaguzi mkuu mwaka ujao 2021. Marufuku hiyo imetolewa siku moja baada ya rais Yoweri Museveni...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Waangalizi wa Uchaguzi wa ndani wameitaka Tume ya Uchaguzi Nchini humo (EC) kupinga shinikizo lolote la kuchapa karatasi za kura za Uchaguzi ujao wa 2021 ndani ya nchi kwa kuhofia kuharibu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Zaidi ya wafuasi 130 wa chama cha NUP kinachongozwa na mwanasiasa wa Uganda Robert Kyagulanyi watafikishwa katika Mahakama ya Jeshi kujibu mashtaka ya kupatikana na vitu vinavyodaiwa kuwa sare za...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
BREAKING! Bobi Wine violently arrested after nomination Bobi Wine being driven to unknown location (PHOTO/Courtesy). KAMPALA — National Unity Platform President and flag bearer Robert...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Uganda’s electoral body cleared President Yoweri Museveni to seek re-election, paving the way for one of Africa’s longest-serving leaders to extend his more than three-decade rule. Museveni, 76...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mamlaka nchini UgaDna imepiga marufuku miungano ya zaidi mashirIka 60 iliyobuniwa kuchunguza uchaguzi mkuu wa mwaka 2021 kwa misingi kwamba sio halali. Ofisi ya Kitaifa ya Uganda ya Mashirika...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Business between South Sudan and other east African countries downstream is expected to become much easier when Uganda completes construction of a modern logistics hub just closer to the border...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom