Most people found it too hard to milk their cows on this morden day lifes,because there are technologies that has been implemented to milk this cows.
But living on the farm can teach that it's...
Jana 29/11/2020 wauzaji wa mbolea wanadai bei elekezi ya kuuzia mbola imeongezeka.
Tarehe 26/11/2020 nimenunua mfuko wa DAP kwa 52,000/ Jana mfuko huohuo naambiwa 66,000/= hii bei mbona...
Kumekuwa na maswali kwenye jukwaa hili kuhusu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa ,Mimi ni mfugaji wa muda mrefu nimeamua nitoe mchango wangu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa.
Hapa nchini Kuna aina...
Natanguliza heshimu.
Mara zote huwa naamini katika intelligency ya baadhi ya wana JF. Ushauri tunaopata hapa umetusaidia wengi kwa namna moja au nyingine.
Ndg zangu, leo naomba nishauriwe namna...
Taifa letu ni tajiri wa ardhi na mifugo mingi isiyo na tija stahiki, ardhi inapungua kila uchao. Zimekuwepo jitihada kiduchu kuboresha mbegu. Serikali na wasomi wetu kuweni makini.
Kupanga ni...
UTANGULIZI
Ufugaji mseto wa samaki ni ufugaji ambao bwawa la samaki linakuwa ndani ya shamba pamoja na shughuli nyingine za shamba aidha hapo hapo shambani au katika eneo lililo mbali kidogo na...
Wanazengo habari zenu, mimi ni mfugaji wa bata nina bata wamezaliwa wadogo wadogo karibu 45, wote wana wiki moja+, wana afya njema na hakuna hata mmoja aliyekufa.
Sababu ya kuanzisha huu uzi...
Natumai mnaendelea vizuri na majukumu yenu bila kusahau harakati za kampeni za uchaguzi.
Kuna maswali najiuliza juu ya huu mchakato wa ugawaji wa mbolea za yara.
Utaratibu unakutaka Kuomba...
Wakuu habari
Kwanza napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa kushare different ideas bila kinyongo, nasi tunapitia mawazo,changamoto kuhakikisha tunafanya vzur zaidi
Binafsi hua...
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KWENYE KILIMO CHA PAMBA
Mwandishi: Mashima Elias
Ili kuongeza tija na Ubora wa Pamba Mkulima hana budi kuweka Juhudi katika kupata maarifa zaidi kuhusu kilimo cha pamba...
Habari ya muda huu wajasiriamali wenzangu.
Kama mada inavyojieleza kwenye kichwa cha habari hapo juu ni vyakula gani vizuri kwa ajili ya vibwagala, mimi binafsi natumiaga makombo ila bado sioni...
Natumaini wote mko salama,
Kama heading unavyo jieleza na picha Kuku hawa waliuwa niwazima ila siku za hivi karibuni wameleanza kuvimba macho. Na kuhusu swala la chanjo wote wamesha pata.
Naomba...
Habarini ndugu zangu, kama kichwa kinavyoeleza hapo juu, natafuta mtu ambae yuko serious tuendeleze kilimo ambacho tayari nimeshakianza ila nguvu ya kukiendeleza imekosekana kwa vile hali yangu...
Wana JF habarini za mchana,
Nahitaji picha za malishio ya kuku ya kutengenezwa kwa maboksi au material yeyote kwaajili ya kulishia kuku kwa wale wanaotengeneza yao binafsi maana sina hela ya...
Wakuu habari yenu, naomba kufahamu dawa inayoweza kusaidia kuondoa shida hiyo ya minyoo(flatworms) katika kuku wangu. Nimejaribu kutafuta maduka ya madawa ya mifugo nilipo sijapata jawabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.