Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wakuu habari, Ningependa kujiingiza kwenye kilimo, lakini bado sijajua ni mazao gani nataka kulima. Nilifikiria kulima mpunga lakini moyo wangu unasita. Kilimo gani kinaweza kunitoa kimaisha kwa...
2 Reactions
89 Replies
35K Views
Most people found it too hard to milk their cows on this morden day lifes,because there are technologies that has been implemented to milk this cows. But living on the farm can teach that it's...
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Jana 29/11/2020 wauzaji wa mbolea wanadai bei elekezi ya kuuzia mbola imeongezeka. Tarehe 26/11/2020 nimenunua mfuko wa DAP kwa 52,000/ Jana mfuko huohuo naambiwa 66,000/= hii bei mbona...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kumekuwa na maswali kwenye jukwaa hili kuhusu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa ,Mimi ni mfugaji wa muda mrefu nimeamua nitoe mchango wangu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa. Hapa nchini Kuna aina...
2 Reactions
3 Replies
5K Views
Natanguliza heshimu. Mara zote huwa naamini katika intelligency ya baadhi ya wana JF. Ushauri tunaopata hapa umetusaidia wengi kwa namna moja au nyingine. Ndg zangu, leo naomba nishauriwe namna...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Taifa letu ni tajiri wa ardhi na mifugo mingi isiyo na tija stahiki, ardhi inapungua kila uchao. Zimekuwepo jitihada kiduchu kuboresha mbegu. Serikali na wasomi wetu kuweni makini. Kupanga ni...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari waungwana naomba kuuliza kwa anaejua dawa bora ya kutibu Mafua ya kuku.
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Jembe la kuchimba mashimo Mashine ya kuvunia http://www.youtube.com/shorts/gVkhovwIV-g
1 Reactions
3 Replies
4K Views
UTANGULIZI Ufugaji mseto wa samaki ni ufugaji ambao bwawa la samaki linakuwa ndani ya shamba pamoja na shughuli nyingine za shamba aidha hapo hapo shambani au katika eneo lililo mbali kidogo na...
3 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wapendwa, mimi ni mkulima nilipenda kujua kuhusu kiua gugu ambacho kina nguvu zaidi. Dawa ya kuua majani
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Wanazengo habari zenu, mimi ni mfugaji wa bata nina bata wamezaliwa wadogo wadogo karibu 45, wote wana wiki moja+, wana afya njema na hakuna hata mmoja aliyekufa. Sababu ya kuanzisha huu uzi...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Natumai mnaendelea vizuri na majukumu yenu bila kusahau harakati za kampeni za uchaguzi. Kuna maswali najiuliza juu ya huu mchakato wa ugawaji wa mbolea za yara. Utaratibu unakutaka Kuomba...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu habari Kwanza napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa kushare different ideas bila kinyongo, nasi tunapitia mawazo,changamoto kuhakikisha tunafanya vzur zaidi Binafsi hua...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KWENYE KILIMO CHA PAMBA Mwandishi: Mashima Elias Ili kuongeza tija na Ubora wa Pamba Mkulima hana budi kuweka Juhudi katika kupata maarifa zaidi kuhusu kilimo cha pamba...
2 Reactions
0 Replies
7K Views
Habari ya muda huu wajasiriamali wenzangu. Kama mada inavyojieleza kwenye kichwa cha habari hapo juu ni vyakula gani vizuri kwa ajili ya vibwagala, mimi binafsi natumiaga makombo ila bado sioni...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Natumaini wote mko salama, Kama heading unavyo jieleza na picha Kuku hawa waliuwa niwazima ila siku za hivi karibuni wameleanza kuvimba macho. Na kuhusu swala la chanjo wote wamesha pata. Naomba...
4 Reactions
18 Replies
5K Views
Hivi wadau mbolea ipi nzuri kwa kupandia maharage?
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Habarini ndugu zangu, kama kichwa kinavyoeleza hapo juu, natafuta mtu ambae yuko serious tuendeleze kilimo ambacho tayari nimeshakianza ila nguvu ya kukiendeleza imekosekana kwa vile hali yangu...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF habarini za mchana, Nahitaji picha za malishio ya kuku ya kutengenezwa kwa maboksi au material yeyote kwaajili ya kulishia kuku kwa wale wanaotengeneza yao binafsi maana sina hela ya...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Wakuu habari yenu, naomba kufahamu dawa inayoweza kusaidia kuondoa shida hiyo ya minyoo(flatworms) katika kuku wangu. Nimejaribu kutafuta maduka ya madawa ya mifugo nilipo sijapata jawabu.
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Back
Top Bottom