Wanajamvi habarini.
Nimeanzisha bustani ya mbogamboga ila changamoto nnayoipata ni katika umwagiliaji kwani maji ya kumwagilia nayachota kisimani (bustani inahitaji kama ndoo 100 kwa siku)...
Haya wakulima wenzangu wale, wafanya biashara pia na makampuni mbalimbali katika kuelekea kilele cha siku ya wakulima almaarufu nanenane naomba tutumie uzi huu kupeana updates. Ni kwa namna gani...
Habari zenu.
Nimewahi kuuliza swali kuhusu mashamba ya kulima Ruvu,nikabahatika kupata maelezo,nikaenda na nimeanza.
Lakini,uzi ulioniongoza nimeutafuta sijauona,ila nimetumia muongozo...
Habari zenu
Wakuu mimi ni kijana mwenye ndoto na imani kubwa sana kwenye kilimo nilikuwa naomba muongozo kwa yeyote anayeijua Rufiji anifahamishe maeneo mazuri na Ardhi nzuri yenye rutuba
Ni...
Habari wakuu.naomba ushauri,ninazo heka mbili pembeni ya mto Ruvu.nilime zao gani la kumwagilia.Ambalo halichukuu muda mwingi kuvuna, pia kama kuna mtu atapenda tuunge pamoja nguvu...
Wakuu,
Naona nyuzi mbalimbali za watu wakielezea jinsi walivyoangukia pua baada ya kuingia kwenye kilimo na ufugaji. Hii inawafanya wengi kukata tamaa na kilimo na ufugaji.
Binafsi nilianza kwa...
Moja kwa moja kwenye mada
Kama kichwa kinavojieleza mtu mwenye mtaji na anapenda kulima zao la mahindi namkaribisha tufanye kazi
Aina ya mahindi tutayolima ni mahindi ya kuchoma maarufu kama...
Salamu wakuu.
Ni mara kadhaa nimelima pasipo kupima PH soil, sasa nataka kujua nyie wenzangu Kama huwa mnatest soil kwa kipimo hicho ili nijue na Mimi ni wapi nitaipata huduma hiyo.
Lakini pia...
Hi great thinkers,
Mwaka jana mnamo January nilianza ufugaji wa bata wa kienyeji ili niongeze kipato cha familia.Nikanunua bata jike 5 na dume 3 nikaanza kuwatunza wakazaliana wengi.Nilipotaka...
1: Wataweza kukopesheka bank sababu biashara yao itakuwa ya uhakika.
2: Wataweza kuongeza kipato zaidi ya Sasa.
3: Wataepuka hasara zitokanazo na dagaa kuoza, kuliwa na ndege na wadudu wengine.
4...
Habarini wana jamvi,
Kuanzia wiki iliyopita hatulali, yaani ikifika saa 10 asubuhi lazima tuamke tutake tusitake, jirani kaleta kanga wanne, yaani wanapiga kelele 24/7, kelele zilivyoanza nilijua...
Wakuu salam, kuna mtu kanisimulia kuhusu kampuni inayofanya kilimo kwenye mtandao.kwamba unatuma hela wao wanalima na kushughulikia mazao,yakiwa tayari wanauza unapewa hela yako,je ni kweli? Au...
Habarini ndugu wafugaji na wakulima,
Nina kuku wa mayai ambao wana mda wa miezi mitatu toka wameanza kutaga mwanzo walikuwa wanaenda vizuri kila wiki utagaji ulikuwa unapanda nilifikia tray 6 kwa...
Wanajukwaa naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha karoti, 1.mbegu ipi nzuri? 2.Je huwa zinaandaliwa kitaluni kama vitunguu, 3.msimu mzuri kuanza kulima zao hili. Ni hayo tu ahsanteni sana.
Habari wakuu,
Mimi ni mkulima wa vitunguu ninayeishi tunduma mjini ninavitunguu majj vya kutosha kwahiyo kama kuna dalali au mfanyabiashara wa vitunguu aje tufanye biashara.
Natanguliza shukrani.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji kufunga drip irrigation system kwenye shamba langu. Ijapokuwa shamba lenyewe ni kubwa, nafikiria kuanza na eneo nililolichagua, lenye ukubwa wa mita...
Habarin wakuu,
Nina Uza mashine za incubator kwa atakae kuwa muhitaji.
Mashine zinatoka china pia ukitaka toleo la mwingereza pia utapata.
Kwa size yoyote unayoitaka.pia kwa anaetaka vifaranga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.