Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Habari ya majukumu naomba kuuliza wafanyabiashara ulieko mkoa wowote Dar Iringa Mbeya bei ya gunia la njugu mawe ni shilingi ngapi??
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Ndugu zangu nataka kuanza ufugaji wa ng'ombe wa maziwa. Nimechagua jukwaa hili kama sehemu ya kupata maujuzi. Naomba kujuzwa juu ya Gharama, Faida, Changamoto nk
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Watalamu wakubadi nimefanya hivi ili hilo tawi liweke mizizi kwenye huo udongo halafu nilitoe hilo tawi niipande sehemu nyingine naomba mniambie kama nitafanikiwa au nimechemka
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu! Mimi napenda sana sekta ya kilimo na ufugaji, sasa nilifanya Demo ya kilimo cha pilipili, kwa miche 3 tu. Leo nimevuna . Naona pili pili zimetoka vizuri sana, nimeona kumbe naweza kufanya...
7 Reactions
26 Replies
5K Views
Wakuu mwaka huu nimeamua kulima vitunguu,natafuta mbegu bora za kupanda kwenye vitalu mwishoni mwa mwezi huu. Mimi niko Moshi kama unazo ni-PM tufanye biashara.
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari wazee kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu nilianza ufugaji mwaka jana mwezi kama huu nilifuga kuku kwa ya intensive system kuku zaidi ya 150 lakini niliwahudumia vizuri nikiwa huku...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Kiswahili kizuri unaitwa mchunga ila sisi watu wa Iringa tunaita "Mkalifya " nyie kwenu mnaitaje? Na ule uchungu uchungu ndio utamu wake! Kama huli anza kula maana ni dawa mwilini, mchunga...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello team msaada tafadhali. Iko hivi, shambani kwangu bamia zinatoa maua vizuri tu. Tatizo ni kwamba maua yananyauka kabla ya wakati na hivyo yanapodondoka huacha matunda dhaifu ambayo hunyauka...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tatizo kubwa sana wakulima tulilo kuwa nalo lilikuwa Fall Worms au Viwavi Jeshi Vamizi.Mwaka huu nimeona tatizo lingine kubwa,nadhani ni Fungal Disease. Kama ni Leaf Rust or Leaf Spots sijui,but...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Wadau naomba kuelimishwa kuhusu moneymaker Pump. Je, ina uwezo wa kusukuma maji umbali gani? Ubora wake ukilinganisha na hizi pump za laki tatu za Kariakoo? Naomba kujua na bei zake na wapi...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba cheki picha hapo. Natafuta Oats kwa kilo (ikiwezekana kilo 5 kwenda juu). Niko Dar ila kama inapatikana katika mikoa mingine hamna neno pia.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wadau, Mimi ni kijana mjasiriamali ambae siku zote ndoto zangu ni kufanikiwa na njia pekee ya kuyafikia mafanikio ni malengo na uwekezaji. Katika pita pita zangu na harakat za kutafuta I...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwaka huu(2020) mwanzon niliamua kuanza ufugaji wa kuku chotara. Niliamua kuanza na kuku 120. Nlinunua vifaranga wa mwez mmoja Changamoto Magonjwa, hii ilkuwa changamoto ndogo magonjwa hayakuwa...
5 Reactions
19 Replies
7K Views
Habarini na mihangaiko wakuu Mimi Kama member wa humu sio mjuzi Sana na mzoefu wa kutumia JF app lakini katika kupitapita siku moja sijui ni category ipi nikakuta wanazungumzia kuhusu kuhusu sumu...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari za muda huu wanajamii. Naomba ushauri juu ya ufugaji wa farasi. 1. Ni ipi mbegu bora ya farasi? 2. Farasi wanachukua muda gani tangu azaliwe mpaka aweze kupandwa na kuzaa? 3. Kwa hapa...
4 Reactions
39 Replies
13K Views
Habari wafugaji wenzangu? Naombeni msaada, kwa anaejua dawa ya utitiri na viroboto kwenye kuku wa kienyeji. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
14 Replies
45K Views
Nahitaji kuagiza Power Tiller aina ya kubota kwa wenye uzoefu. Mtandao gani mzuri na changamoto za kuagiza hii bidhaa.
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Jamani mimi ni mfugaji nataka nifanye biashara ya kuuza vifaranga, lakini nakwama jinsi gani ntapata wapi mayai ya kutotoleshea viranga vya broilers na layers? Kwa yoyote mwenye ufaham basi...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Hongereni wafugaji salaaam zenu popote mlipo nawalaji nyama yake nikiwemo. Ufugaji wa bata mi binafsi nauona ni mgumu sana kutokana na tabia za bata ni mchafu sana yani yeye yupo rafu angekuwa...
4 Reactions
91 Replies
14K Views
Habari za muda wakuu, Naomba kwa anaejua namna ya kukauka miti maana nilitoka nyumbani baada ya miaka miwili nikarudi sasa miti imekuwa mingi na haina kazi yeyote kuyachimba ni gharama kubwa...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Back
Top Bottom