Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Ndugu nadhani sasa inabidi tubadilike na tujaribu kuangalia mazao mengine ya kibiashara Kimataifa. Na hapo nazungumzia mazao ndani ya mashauriano ya kilimo huku ndani ni kama hayajulikani na kama...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Wakuu habari, Mimi ni mmoja wa watu wanaovutiwa sana na kilimo na natamani sana siku moja niwe mkulima wa mfano; ombi langu kwenu kama kuna mtu humu analimia Bariadi mto simiyu namba anipe uzoefu...
0 Reactions
4 Replies
999 Views
Habari. Biashara ya ng'ombe nimekuja kugundua ni nzuri sana baada ya kutembelea mikoa ya kagera kuelekea hadi mpakani mwa uganda na tanzania. Imekua ni biashara iliowapa vijana wadogo ambao...
2 Reactions
3 Replies
8K Views
Habari za asubuhi wadau. Natumaini siku yenu imeanza vizuri kwa wale tulioamka mapema. Kama kuna mtu ameshawahi kutumia mizinga ya nyuki kutoka China naomba mrejesho juu ya ufanisi wake...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari yenu wanajamii.nimekuja humu kuomba ushauri kwa faida yangu pamoja na kwa faida ya wengine. Kama kichwa cha habari kinavyosema...Nahitaji kufahamu kwa mtu anaetaka kulima kilimo cha mpunga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari yenu wanajamii.nimekuja humu kuomba ushauri kwa faida yangu pamoja na kwa faida ya wengine. Kama kichwa cha habari kinavyosema...Nahitaji kufahamu kwa mtu anayetaka kulima kilimo cha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasalaam wana jukwaa hope mko poa na majukumu ya kulijenga taifa. Katika pita pita hapa JamiiForums kuna jamaa wa Zanzibar akani PM ni akanielezea anapenda sana kilimo anataka awekeze shambani...
12 Reactions
19 Replies
2K Views
Mkuu huwezi kujua ni kwa jinsi gani Thread yako ilihamasisha watu wengi kuhusudu kilimo nikwemo na mimi. Bila kujali Changamoto Ulizopitia ulikuwa hero wa kipindi chako. Ulinisababisha kwenda...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Eti kwa anaejua zaidi mie ninazo gunia mbili, je namna ya uwekaji ni kama mbolea ya dukani au?
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Wadau habarini za siku! Tuwe pole na majukumu ya kila siku. Mimi naomba niulize ama mwenye uelewa anijuze; Nimepanga nyumba fulani ambayo imezungukwa na mipaini au wengine wanaita mibai yaan ile...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kunguru na mwewe wanashambulia sana vifaranga wangu wa kienyeji. Je kuna mbinu yeyote ya kudhibiti? Msaada tafadhali.
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Kwa wale ambao mmewahi kufuga njiwa tupeane maarifa hapa unawezaje kutofautisha kati ya njiwa dume na jike?
0 Reactions
33 Replies
15K Views
Nimechimba bwawa tatu kubwa na ndogo moja maeneo ya Ruvu, nimezungushia fensi ya mabati, nyumba ya kuishi ipo na mfanyakazi tayari yupo ikiwa pamoja na miundombinu mingine iko poa mfano pampu za...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Nimelima mipapai, nauza papai moja sh 500 ukilifata shambani. Nikikuletea sh 700.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwaka 2016 mfumo wa maisha ulibadilika baada ya Serikali mpya kuingia madarakani! Vijana wengi tulijikita katika kilimo na ufugaji baada ya motivational speaker kutuhakikishia tutapata utajiri...
54 Reactions
114 Replies
32K Views
Wakuu nimekula mayai ya kienyeji nimetosheka, sasa nahitaji niyabadili kuwa vifaranga ili nifuge kuku. Naomba anaetoa huduma tajwa hapo juu kwa Dodoma anijulishe nimletee mayai...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sikumoja nitaanza ufugaji ila nahitaji EXPERIENCE ya ufugaji na mambo yote yanayohusu ufugaji kibiashara usimamaizi, masoko nk. Kwa aliye na wazo la kuanza ufugaji wa kuku (broiler)tushitikiane...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mim ni mkulima nina muda wa miaka minne katika kilimo cha mpunga, mkoa wa Morogoro wilaya ya Mvomero, tarafa ya Turiani, na ndipo shamba lenyewe lilipo ukubwa wa heka nne (4) na nusu. Kwa msimu...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Habari njema kwa wakulima wenye ndoto za kuingia kwenye kilimo cha korosho. Mkurugenzi wa manispaa ya Lindi anawaalika watanzania wote wenye nia ya kulima korosho kuja katika halmashauri yake na...
24 Reactions
147 Replies
37K Views
In some cases, big cats, who are likely to ambush predators, being seen by their prey can lead them to abandon the hunt. Although unlikely to be a silver bullet, this solution is cost-effective...
1 Reactions
1 Replies
688 Views
Back
Top Bottom