Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Asparugus ni aina ya mboga iko kama vijitivijiti ila ni mboga ambayo ni very delicious na ni moja ya mboga very Expensive sana. Kwa Tanzania mara nyingi huwa wana iagiza either South Africa au...
13 Reactions
42 Replies
11K Views
Jamani wana Jukwaa la Kilimo nahitaji kujua inakosti kiasi gani kufungiwa hii mipira kwenye shamba la nusu heka? Na je, nawapateje wanao funga ile mipira?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wavuvi na watumiaji wengi wa boti zenye injini wamekuwa wakipata nyakati ngumu za kuporwa injini zao na wengine kujeruhiwa Kesi nyingi za kuibiwa injini za boti ni katika ziwa Victoria, ambapo...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF, Nina wazo la kulima alizeti katika wilaya ya Liwale baada ya kuona ufuta unasuasua kwenye suala la bei sokoni. Naomba wenye uzoefu kuhusiana na mbegu inayohimili hali ya hewa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
JINSI YA KUANDAA HYDROPONICS FODDER KWA AJILI YA MIFUGO YAKO Leo tunazidi kukuwezesha kutambua fursa lukuki ambazo zinazoweza kufanywa na yeyote katika jamii yetu.Leo tutaangalia juu ya...
8 Reactions
18 Replies
16K Views
Jamani wadau na wataalamu wengine wa kilimo,kilimo cha mpunga sasa kimenichosha kutokana na soko lake bei yake imeshuka wakati garama za uendeshaji zipo juu mno. NAOMBA USHAURI WA ELIMU YA JUU...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Wadau, Poleni kwa kazi. Nina maswali mawili ambayo ninaomba mnisaidie 1. Nimekuwa nikijaribu kufuatilia kanuni za ufugaji bora wa Sungura katika maeneo ya joto kama DSM. Nimevutiwa sana na...
5 Reactions
480 Replies
218K Views
Habari wakuu. Mimi ni mtu ninayevutiwa na ujasiriamali, sasa niliwahi kusikia kuhusu biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai. Nilianza kwa majaribio kuku 300 tokea April mwaka huu, hivi sasa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Heshima kwenu ndugu Naomba mwenye kujua wapi naweza pata nguruwe mzuri wa Mbegu mwenye mimba kwa bei nzuri anijulishe au Kama muuzaji tiririka bei na aina ya nguruwe ulonao Shukrani
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau nipo mbioni kununua water pump kwa ajili ya shughuli za umwagiliaji. Naomba kujuzwa ipi ni aina bora ya water pump, hasa hizi za inchi 3-4 zinazotumia petrol. Ahsanteni!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Habari zenu? Kwa kifupi nimejichanga visenti kidogo kama Tshs. 300,000/= kwaajili ya kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji. Nina uhakika hazitoshi lakini naomba msaada wenu labda...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam, Ningependa kuwahabarisha wafugaji ,wauzaji na wasambazaji wa bidhaa za nyama (red meat & white meat) kutakua na maonyesho ya nyama na ufugaji Toronto Canada tareh 4 mpk 6 February 2021...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana JF wenzangu, Katika harakati za kupambana na maisha nawaza kulima kilimo cha mahindi ya kuchoma. Naomba kujua undani wa kilimo hicho na kuhusu masoko ili nifanye research ya soko...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam wakuu! Baada ya kuhangaika sana nimefanikiwa kupata milioni 6 ya mkopo bank, sasa nilikuwa nahitaji kuwekeza katika ufugaji, eneo la kufugia ninalo tayari lenye ukubwa wa heka 30 na ni...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Wadau mimi nalima sana mazao kama vitunguu, hoho, biringanya, bamia. Nimetenga nusu heka nataka nilime nyanya yenye kusapotiwa na miti ambayo inasemekana mavuno ni zaidi ya miezi 3. Naombeni kama...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Hawa kuku nilitaka kuwauza wakiwa na week 2 kwa kupata changamoto ya banda ila nimepambana hadi nikajenga banda na sasa wanaendelea vizuri sana Hawa kuku wananifurahisha kitu kimoja ni wagumu...
6 Reactions
70 Replies
49K Views
Naombeni utaalamu wa kufuga hawa wadudu. Je, Kuna mtu humu alishawahi kujaribu kufuga?
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani habari za leo! Naomba kupata uzoefu wa uvuvi wa samaki hasa Sangara ziwa Victoria, nahitaji kuanza kuvua samaki hao ila sina uzoefu juu ya gharama za kumiliki mtumbwi, bei ya nyavu au...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndugu zangu amani Iwe pamoja nanyi. Kumekuwa na mawazo kuhusu kilimo na wengi wamekuwa na shauku kubwa sana kufanya kilimo hasa cha kibiashara. Yes, ni vizuri lakini hasara zake zimewapata wengi...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
From marketing tricks to shady practices, the food industry has a lot of secrets. But they just want you to think about their yummy products, nothing else. Well, it’s important to know about the...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom