Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Nina mpango wa kulima kimojawapo lengo ni kulima heka 3 cha msingi nahitaji kujua zao lenye faida zaidi ya lingine, changamoto zake, soko pia muda nitakao utumia tangu kupanda mpaka kuvuna
0 Reactions
60 Replies
24K Views
Kama inavyojieleza hapo juu ningependa kufahamu kama Sugar Beets ambayo ni mbadala wa Sugar Cane (MIWA) kwenye kutengeneza sukari ya majumbani inalimwa wapi hapa Tanzania.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Inakuwaje ndizi zinakuwa zimekomaa kabisa, tena zingine kukomaa kiasi cha kuanza kupasuka lakini nikizikata ili nizivundike ziwe mbivu basi huwa haziivi vizuri, na hata zikiiva basi inakuwa kwa...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Jamani mimi niko Kidato cha Nne lakini nahitaji kuwa bwana kilimo sijui ni kwenye masomo gani amboyo naweza kujikita zaidi ili niweze kutimiza ndoto.
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Anayewafahamu hawa ndege kwa kiswahili wanaitwaje na je, Tanzania wanapatikana ?
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Leo natamani kutoa elimu juu ya malezi ya vifaranga wa kuku wa kienyeji ili kupata tija. Napenda niwatoe wasiwasi kwa kuwajulisha kuwa haya mafundisho nitakayoyatoa nimeyasomea ( Agricultural...
5 Reactions
29 Replies
15K Views
Jamani mwaka huu niliamua kuwekeza katika kilimo cha matikiti. Katikati ya safari, kuna ugonjwa umekuja siuelewi. Msaada tafadhali niokoe mkosi huu. Moyo unauma sana maana ni pesa kubwa na mkopo...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wengi wanamfahamu punda kuwa ni mnyama anayefanya kazi, jamii za Tanzania hasa mkoa wa arusha na manyara wanamtumia punda kwa ajili ya kubeba mizigo yao, wengi wao humbebesha punda mzigo mgogoni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu picha inajieleza, Majani ya vitunguu yanaanza kusinyaa kwa juu kuja chini na kugeuka ya njano. Ukipasua jani ndani unakuta kuna funza au wakati mwingine humkuti lakini majani yanazidi kuoza...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hello, Natafuta mifuko/magunia maalumu ya kuhifadhia mahindi. Hiyo mifuko imekuwa maarufu kwa madai kuwa ina uwezo wa kuhifadhi mahindi na kuyazuia kubanguliwa na wadudu. Kama unafahamu naipata...
2 Reactions
43 Replies
8K Views
Wakuu, Tafadhali kama unajua vifaa kwa ajili ya ku-graft miti michanga ya maembe/parachichi vinapatikana wapi hata nchini Tanzania basi fanya uungwana wa kunitaarifu. Nimekuwa nikisoma/...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba anitafute maana nataka awe agent wangu wa mchele tutalipana. Issue seriously Pia, inabidi awe na idea na mchele kupitia eneo husika alipo ndipo tuende sawa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi, Kama kichwa kinavyosomeka. Mimi nipo Geita na nina takribani gunia nne za hilo zao na bado naendelea na uvunaji. Natafuta mtu anayehitaji hii bidhaa nimuuzie. Nikipata...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari JF members. Maisha ni watu na watu ni maisha, mawazo chanya 20 sio sawa na mawazo chanya 3. Ukweli unauma lakini ni tiba. kwa mazingira ya Tanzania Kuna mtu akipata laki tano kwake ni...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Umofia kwenu, Katika ufugaji kuna ufugaji wa aina nyingi sana, kuna ufugaji wa kwa ajili ya kuzalisha chakula na kuna ufugaji kwa ajili ya mapambo. Ufugaji wa mapambo Huu bi ufugaji wa aina...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu salaam Nafikilia kuanza kufuga punda kwa ajili ya kilimo kubebea mizigo miepesi niendapo shamba na kurudisha baadhi ya mazao nyumbani. Kuna mtu aliniambia kuwa ni maliasili kwaiyo mamlaka...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana JF! Naombeni ushauri au uzoefu wenu kuhusu madawa yanayoweza kutumika kufanya palizi kwenye shamba la ufuta. Nafahamu yapo madawa ya kufanya palizi kwenye mpunga na hata mahindi na...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Wakuu kwa wanaojua bei ya mnada wa kwanza kupitia Chama cha Ushira mkoa wa Lindi Runali mwaka huu 2020 watujuze. Asante.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu Kuna kuku tulimpa Mayai 13 Atamie. Ila cha ajabu ametotoa vifaranga 2. Siku ya jumanne, leo siku ya ijumaa kwanzia asubuhi hataki Tena kutamia , shida ninini? Je haya Mayai 11...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
km ww ni mjasiliamali unaejihusisha na ufugaji kuku, ng'ombe wa maziwa na/au ngurue na unapata wakati mgumu saana kupata ushaur wakitaalamu juu ya mfumo mzima wa ufugaji unaoufanya na hata...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Back
Top Bottom