Wakuu, baada ya kupata breakdown ya kilimo bora cha mahindi, steps, mbegu, mbolea, uhifadhi na kadhalika
Hatua ya pili naomba wadau mnipe timing za kucheza na misimu kwa upande wa masoko. Yaani...
Nitumie nafasi hii kuwakaribisha wapambanaji wenzangu tusiokata tamaa katika kilimo. Bonde hili lipo KM 10 tu kutoka Iringa Mjini usafiri wa daladala na nauli ni sh 500 tu. Unaweza kukaa Iringa...
Wadau Wasalam.
Nimeambiwa na Rafiki yangu kuwa Mkoani Morogogoro wapo samaki wakubwa sana kuliko wale wa Ziwa Victoria!
Akadai kuwa Samaki hao wanasifa zifuatazo:
(1) Wakubwa sana kuliko Sato na...
Wakuu habari za maisha na mapambano ya maisha kwa ujumla? Poleni kwa Corona na uhaba wa sukari.
Msaada kwa yeyote mtaalamu wa kilimo hasa cha green house na hiki kilimo cha kisasa cha hydroponic...
Heshima mbele wakuu,
Naomba ushauri juu ya kilimo cha chinese. Nimeaza na matuta machache ila nina plan ya kujiongeza nifikie kulima at least nusu mpk eka moja ya chinese tu.
Wasiwasi wangu ni...
Nahitaji kusafirisha machinery equipment kutoka USA kwenda Tanzania, kuna mtu ambaye ameshawahi kutumia usafiri wa majini kutuma vitu bongo? Ni kampuni ipi wanashiping conterner?
Wakuu zangu,
Mimi ninaishi Kisarawe Pwani nimejiajiri kwa sasa lakini pia nimeajiri vijana wenzangu 8. Sasa ukitoa mambo mengine kuna sehemu nachimbia 10, 000 kila siku kwa madhumuni ya kuwa...
Wasalamu Wanajukwaa
Tuache propaganda corona inauwa tujilinde
Kama kichwa kinavyosema. Nahitaji mahindi kwa gunia moja 30000-45000 mkoa kati ya Kilimanjaro au Arusha.
Habair ndugu jamaa na marafiki kijana mwezenu nipo mbele yenu nina shida kubwa sana inanitatiza mimi ninaishi Dar nataka kulima kilimo cha mbogamboga na matunda changamoto ni pots au vikopo vya...
Wanajamvi nimekuwa mfugaji wa ng'ombe wa maziwa wa kuchunga kwa miaka kama 10. Hata hivyo nimepata changamoto zake hasa upande wa magonjwa na kesi za majirani kila wakati. Pia wezi wanathaminisha...
Katika hotuba ya Mhe. Rais leo anasema watu wake walipenyeza sampuli za mapapai na mafenesi katika maabara ya Vipimo vya COVID-19. Ikagundulika vina Corona.
Hali hii inaweza kuleta athari mbaya...
Habari za mdaa huu wakuu.
Najipanga kununua trekta kwa ajili ya kilimo hivyo basi naomba wale wenye uziefu na matrekta mnipe ushauri wa ipi trekta bora kati ya new Holland na John Deere...
Kwa formular nyingine za chakula cha kuku waweza ni PM tukazungumza friendly bila tatizo.
Maana kila formular moja ya chakula cha kuku iko na option 4. (Hapo juu ni option moja wapo ya broiler...
Hello JF members!
Natoa shukrani za dhati kwa hili jukwaa. Ni kwa namna nyingi nimenufaika nalo.
kwa wale wanaotaka kujifunza kutengeneza mkaa nimewaanzishia huu uzi. Najua wapo walioamua kuuza...
SASSO, ni aina ya Kuku na vile vile ni Brand name ya kampuni kubwa kabisa ya kuku wa SASSO iiyopo Ufaransa na SASSO walianzia huko Ufaransa mwakma 1978
SASSO ni free range chicken yaani ni kuku...
Habari zenu
Mimi ni msichana na Mkulima mchanga nipo Mkoa wa Kilimanjaro. Ni mwaka wa pili sasa tangu nimeanza kilimo. Naomba mniunganishe la group la wakulima wenzangu kutoka Kilimanjaro au...
Mara nyingi kutokana na namna ya maisha na katika kupambana na gharama za maisha watu wamekuwa wanahangaika kutafuta namna ya kuzungusha pesa zao hasa katika njia zenye matokeo yenye mrejesho wa...
Nimepanda mahindi yangu na mwanzo nilipambana na viwavi jeshi. Sasa huyu ndege analeta madharau. Je, nimmalizie au Kigwangala atakuja juu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.