Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ninafuga kuku wa kienyeji hapa shambani kwangu. Kwa kweli kuku wanastawi vizuri na nilishaanza kufurahia matunda ya jasho langu, lakini ghafla...
4 Reactions
51 Replies
13K Views
Kama Wizara husika itasimamia sekta ya uvuvi ipasavyo na kutoa elimu ya kutosha kwa wavuvi ikiwa ni pamoja na kuwatengea ruzuku katika bajeti kwa kipindi cha miaka mitano nina uhakika sekta hii...
3 Reactions
3 Replies
770 Views
Yani mchango wao hauonekani kabisa katika kuinua sekta ya kilimo na mifugo. Sekta ya kilimo imeendelea kuwa duni tangu nchi ipate uhuru na hawa jamaa wameshindwa kabisa ku transform kilimo...
7 Reactions
156 Replies
14K Views
Ninajua moja ya Sheria za JF ni ''No name calling'' Naombeni mods mniwie Radhi. Katika jukwaa hili la Biashara tuna wachangiaji wengi na wazuri sana, Wachangiaji wasiopenda kuleta Mzaha kwenye...
16 Reactions
202 Replies
18K Views
Mbuzi wangu anasumbuliwa na kidonda kikubwa sehemu ya tumbo. Kina wiki sasa. Mara ya mwisho alikuja daktari akamsafisha na hydrogen peroxide, akamshona na kuacha sehemu wazi ya kupitisha...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau naomba kupata uzoefu kwa Wafugaji wa Kuku juu ya matumizi ya gamba la Kobe katika kukuza utagaji wa mayai kwa kuku. Nimenyetishwa kwamba ukitaka kuku watage mayai na kuzaliana kama...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Naomba msaada kwa mwenye uelewa wa mambo ya uwekezaji katika mashamba ya chumvi. 1. Yapi maeneo sahihi ya uwekezaji 2. Upatikanaji wa maeneo husika na garama zake 3. Changamoto za kilimo hiki...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Habari wana JF. Naomba kujua kama kuna dawa ya kuozesha visiki vya miti baada ya kukata miti shambani. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
36 Replies
18K Views
Wakulima wamekuwa wakihamasishwa kufanya kilimo cha umwagiliaji ili kuweza kupata faida zaidi. Wakulima wadogo wana uelewa wa aina chache za mifumo ya umwagiliaji kwa mfano mfumo wa matone...
4 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari za leo, Nahitaj kufaham ni mkoa gani naweza kupata Kunde nyeupe Kwa wingi na bei Kwa kilo ni kiasi gani. Ninahitaji tani 400. Asante. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kumekuwepo na utaratibu wa wakulima wetu kulima zao hili kwa pamoja, hii inatokana na hali ya hewa ya mahali husika pamoja na utaratibu wa watu kufanya kama wengine. Hali hii husababisha zao la...
2 Reactions
5 Replies
5K Views
Habarini wa jamvi, naomba kupewa ushauri kuhusu kufungua kakiwanda kadogo cha kukoboa mpunga maeneo ya mvomero morogoro. Naombeni ushauri kama inalipa na kama mnaweza pemdeza maeneo mazuri zaid...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji chanjo ya kuku ya IB Infecious coryza. Niko nahangaika hata sijui nitaipata wapi naombeni anaeijua inapopatikana aniambie na bei. Asanteni Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimejaribu kufuatilia video hii aiseh inatia uchungu sana. Ila nadhani lengo la huyu kwenye video hii lilikuwa ni kuonesha namna ambavyo ufugaji unakumbwa na vikwazo. Tunatakiwa kuangalia namna ya...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwanza niwe mkweli sijawahi kufuga chochote kile mwanzo na sina experience ndo nimeanza mwisho wa mwaka uliopita. Iko hivi, mwezi Desemba mwanzoni tarehe 8 nilianza safari ya ufugaji wa kuku...
0 Reactions
7 Replies
38K Views
Wakuu poleni kwa majukumu. Naomba kujua sababu na tiba ya nyanya ambazo ziko shambani zimeanza kutoa matunda lakini majani ya chini yanakauka. Shida itakuwa nini? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wajasiriamali! Kuku wangu vifaranga wanaugonjwa ambao wanafumbua mdomo huku ukielekea juu kama wanapiga mihayo!! Je, ni ugonjwa gani huo na tiba yake ni nini? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mnazi wangu una ugonjwa. Nazi zinaharibika. Nitumie dawa ipi kuutibu? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
38K Views
Wakuu naomba kujuzwa juu ya kilimo cha mpunga cha umwagiliaji katika skimu ya dakawa 1.Je ni vipi naweza kupata mashamba katika skimu hi ya umwagiliaji/ Kama wanakodisha je ni bei gan kwa heka...
2 Reactions
33 Replies
11K Views
Kwanza ieleweke kwamba kuku chotara ni kwa ajili ya kupunguza umasikini na si kwa ajili ya Biashara. Ukisoma hata andiko la ku introduce Kuroiler kule Uganda ilikuwa ni kwa ajili ya kupambana na...
28 Reactions
102 Replies
44K Views
Back
Top Bottom