Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Wakuu kama uzi unavyojieleza wazi wazi kabisa mbuzi ni dili Sana Kwa walio tayari na uzoefu nawakaribisha kweny mada hii walete mawili ma3 tuunge group letu tujue jinsi ya kufanya
4 Reactions
45 Replies
9K Views
Nyanya zangu zinaanza kutoa maua lakini yananyauka,je zinaweza kuwa na dalili za ugonjwa gani?naomba msaada kwa wanaolewa tatizo hili.
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Nimesikia bata wanauwezo mkubwa sana kukabiliana na magonjwa na kuwafunga si kazi sana ugumu upo wanapokuwa wadogo,naomba kufahamishwa je ni aina gani za Bata ni Bora kwa mayai na kwa nyama? Na je...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mambo wanajamvi samahani kama nitakuwa nimekosea ila nahisi humu naweza pata njia ya kuniongoza. Story fupi kuhusu mimi. Mimi ni mfugaji na changamoto napata kwenye chakula yaani nahitaji...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu wafugaji naombeni mnisaidie jinsi ya kutambua mayai ya kuku wa kienyeji pure yanayofaa kutotoreshwa kwenye incubator maana nikiweka mayai 100 yameanguliwa 42 tu.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wataalamu, Naomba kujua kama kuna namna bora kabisa ya kufanya mayai yasiharibike kwa maeneo yenye joto kali kama Dar es Salaam wakati wa kuatamiwa. Nawasilisha. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu wanabodi, nchi za Ethiopia, Eritrea, Kenya na sasa Uganda zimevamiwa na baa la nzige (locust) ambao ni wadudu waharibifu sana wa mazao. Kiufupi, nzige wana uwezo wa kula hekta 100 za mazao...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kabla ya kwenda kwenye somo letu juu ya ufugaji bora kwa KWALE ningependa kuwapatia bei ya bidhaa zetu ili uwe na idea kabisa. Mayai: 1. Mayai ya Kwale Trey Moja ya Mayai 30 ni shilingi 20,000...
13 Reactions
143 Replies
68K Views
Habar wana ndugu naomba msaada wa kupata taarifa inayo husu kilimo cha malisho kwa wanyama alfalfa na lucerne hapa tanzania wa wanalima na wapi nitapata mbegu zake Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za leo. Nimeamua kuwa mfugaji wa mbwa lakini nimepata changamoto kidogo, mbwa amegoma kula siku mbili sasa. Mwenye utaalamu anisaidie. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Wadau. Samahani nina kuku wangu wameanza kutaga kwa mpigo sasa wanatabia ya kugombania mayai wakati wa kutaga. Naomba mnisaidie njia ya kutatua tatizo hili. Sent using Jamii Forums mobile app...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kumfanyia mbwa Castration (kumtoa mbegu) inasaidia mbwa kuwa mkali au ndio atakuwa mpole akiona mbwa wengi. Mwenye kujua na ambaye kashamuona mbwa mwenye kuasiwa anakuwaje? Msaada please
0 Reactions
30 Replies
14K Views
Nanunua ngozi mbichi za Mbuzi au Kondoo zilizotunzwa kwa kupakwa chumvi (Wet Salted) kuanzia ngozi 10,000 na kuendelea tafadhali tuwasiliane kwa simu namba 0659890000 au uni-PM. Ngozi zisiwe na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu kama mtakumbuka kupitia jukwaa hili miaka miwili mitatu iliyopita tulihamasishana sana kuhusu ufugaji wa kware ili kunufaika na biaashara ya nyama na mayai. Tuliambiwa pia mayai ya kware...
1 Reactions
46 Replies
9K Views
Wadau samahani, naomba kujua wapi au nani anaweza kujua kama kuna uhitaji wa ngozi za mbuzi, ninashehena ya kutosha sana, kama kuna mdau anajua lolote plz call 0652036191
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Ndugu wadau napenda kujifunza kutoka kwenu kwa wale wenye kujua vizuli kuhusu biashara ya ngozi na soko lake. Nataka kujua uitaji wake gharama ya manunuzi na gharama ya sokoni. Na je! soko kuu...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Habari wana jf, naombeni msaada, Nataka nlime kabichi mwezi wa febr, ila tatzo cna wenyeji wa kupata shamba nahtaji nus hecta ya kukodi. Maeneo ya kisarawe au chanika na pia hata mkoa wa morogoro...
0 Reactions
56 Replies
30K Views
Habari za leo ndugu zangu. Nahitaji eneo lenye miundombinu ya mabanda ya kufugia kuku nikodi/ nipange kwa maelewano na mwenye eneo husika. Likipatikana eneo lenye uzio nje ya Mji itapendeza...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari? Je Kati ya kampuni hizo naomba msaada ipi ni kampuni yenye vifaranga Bora vya kuku wanyama na mayai. Nataraji kuingia kwenye iyo biashara hivi karibuni. Asante
2 Reactions
9 Replies
10K Views
*Utangulizi* Kampuni ya *Kinasoru East Africa (T) Ltd* inakuletea semina kubwa na ya aina yake ya *Mkulima Tajiri.* *Mkulima Tajiri* ni mfululizo wa semina zinalenga kutoa elimu na mwamko mpya wa...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom