Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Mkuu wa wilaya ya Mvomero nashukuru kwa kulifuatilia swala hilo la ukatili alilofanyiwa mama Fatuma Hasani Diawi, lakini katika swala hilo polisi wanataka kujenga kitu mpaka sasa, baada ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakulima zaidi ya 50 katika kijiji cha Namatuhi wilayani Songea mkoani Ruvuma wametapeliwa mahindi yao yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 40 na matapeli ambao wamechukua mahindi yao bila...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Mvua kila kona, mvua isiyokatika, usiku na mchana inagonga tu aisee. Tushamwaga mbegu , tunalea vitaru na kuna plots tumehamishia nyanya mashambani ila kwa hizi mvua duu kazi ipo. Dawa kila...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari! Naomba kwa anayejua roughly gharama za kuezeka banda la kuku ukaachilia mbao na mabati (specifically gharama za ufundi) lenye ukubwa wa futi 25 kwa 28. Asanteni
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa sasa hakuna madawa ya ngombe kama Gentamycin, Butalex, Butaline, OTC na mengine. Hakuna kabisa. Ng'ombe anaumwa anakufa unamuona bila msaada wa matibabu! Ndiko tulikofika Tanzania ya wanyonge!
0 Reactions
3 Replies
788 Views
Nitumie mbolea ya aina gani katika ardhi ya kichanga?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ninapenda sana mbaazi nataka kulima zinapandwa wakati gani?..Na mti wake unadumu kwa muda gani ukiendelea kutoa mbaazi?Naomba waliolima wanifafanulie zaidi
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari za mida wadau wenzangu wa kilimo. Niende moja kwa moja ni share safari yangu kwenye hii fani ya kilimo ili wale wanaotegemea kujiunga wapate ka uzeofu kadogo japo wapate pa kuanzia...
4 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba sana ujumbe huu uwafikie wahusika. Miongoni mwa njia wanazotumia viongozi wa vyama vya msingi kujitajirisha kwa kuwaibia wakulima ni kuwa na mawe ya mzani yanayoiba. Tatizo hili ni kubwa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ng'ombe wangu aina ya Jersey kazaa leo hii. Amechoka sana ameshindwa hata kumlamba mwanaye kondo halijatoka msaada please.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
habari zenu wadau.naomba tupeane ujuzi kwa wale wenye uzoefu.na uelewa kuhusu kilimo cha mbogamboga kwa kutumia Greenhouse.nini faida zake .pia changamoto zake..karibuni
0 Reactions
4 Replies
4K Views
UHUSIANOKATI YA BIASHARA NA FAMILIA Biasharainatunzwa na Mfanya biashara na kuzalisha mapato. Katika mapato hayo mfanyabiashara anajilipa mshahara kutokana na kupata faida. Mshahara anao jilipa...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Wana jamii forums kama kuna mtu mtaalam wa mbolea ya mpunga anisaidie .plz
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Habari wakulima na wafugaji wenzangu, Baada ya kufuga kuku wa kienyeji sasa nataka kuhamia kwenye kuku wa mayai ila nimeandaa bajeti ifuatavyo kwa ajili ya mradi huu. Nina mpango wa kuanza kufuga...
2 Reactions
15 Replies
10K Views
Katika jambo lolote unalotaka kulifanya, ni muhimu kuweka katika mpangilio unaoeleweka. Yaani ujue mwanzo na mwisho ili unapotoka hatua moja ujue unaenda mbele au nyuma. Hivyo hivyo kwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa kuelezwa ni kijiji gani wanalima mahindi katika mkoa wa Pwani. Asante sana.
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Katika wanyama upande wa ng'ombe kuna siku tulichinja ng'ombe na baada ya kumchuna ngozi tulimpasua na kumkatakata kugawa nyama, lakini la kushangaza kwenye nyama yake mle ndani ya steki maeneo ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wanaforum. Naombeni msaada nimefuga vifaranga wa kuku wa kienyeji 75 yapata wiki ya pili sasa.Ninawatunza kisasa ndani ya chumba maalumu nikiwapa huduma zote za kuku wa kisasa. Sasa...
1 Reactions
46 Replies
17K Views
Jf salimini. Napenda kuuliza kipi bora kununua kiwanja kwa milioni moja au kununua ng'ombe wa milioni moja?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimeikuta leo Muungwana blog
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Back
Top Bottom