Habari ndugu zangu wa JamiiForums,
Nilikuwa naomba msaada wa kujua moja mbili tatu ya biashara na ukulima wa maharage machanga, naomba kujua mfano kwa upande wa Arusha nasikia kuna makampuni...
Nimenunua incubator ya kutengeneza hapa ndani. Tarehe10/12/2018,niliweka Mayai tray 20 kwa Mara ya kwanza. Mwisho wa siku vimetoka vifaranga30 tu. Wajuzi nisaidieni,hapo tatizo ni Mashine au...
Habari wakuu,
Kwa wale wajuzi wa aina za mbwa naomba mnisaidie utaalamu wenu kwa mbwa huyu, anaonekana ni chotara sasa ndio nataka kuelewa amechanganyia na mbwa gani kwa muonekano wake. Ana mkia...
Wadau wa kilimo, naomba msaada kwenye changamoto hii ya ugonjwa kwenye miti ya matunda.
Ugonjwa huu pia umeshambulia miembe, mistafeli na mipapai.
Pichani ni mti wa mpera umepata ugonjwa kama...
Baada ya kukomaana nikaamua kulima na hatimae nimefikia hapa
nimeamua kulima mahindi, na kunde kiukweli nashukuru nilipo fikia.
na mwakani nampango wa kulima ufuta hapo hapo kiukweli shamba liko...
Ndugu zangu naomba ushauri kwenu maana mimi sasa nashindwa nitumie mbolea ipi. Kwa kifupi mwaka juzi nilitumia Dap ilinipa matokeo mazuri, mwaka jani nikaambiwa Yaraceitirio nikatumia sikupata...
Nawasalimu kwa pamoja ndugu zangu,
Mimi nimejiunga huku kwa nia ya kujifunza, kwa namna ya kipekee sana mmenipokea na kunionyesha ushirikiano hasa pale nilipohitaji msaada wa mawazo. Asanteni...
Wanajamii Niko mikoa ya nyanda za juu kusini.
Nashukuru sana kwa watu wanaochangia elimu kwa jamii kupitia jukwaa hili. Ninalo shamba ambalo sijaliendeleza ekari NNE. Ninapenda kufanya kilimo cha...
Pamoja na Jitihada kubwa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano kuboresha zao la korosho kwa wakulima kupata bei nzuri ambayo haijawahi kutokea hapo nyuma kwa mfumo wa stakabadhi ghalani, mfumo...
Nimeona kwenye mitandao na kugundua kuwa kuna kilimo ama ufugaji wa konokono katika nchi mbali mbali hapa duniani na soko lilivyo kubwa la wakonokono duniani. Nimeona Nigeria wao wamefanikiwa...
salaam!
nimeanzisha ufugaji na nataka kuwa na shamba kubwa la ufugaji,eneo nimepata na nimeanza kiasi sehemu nyingine kabla sijahamia rasmi kwenye shamba kubwa
gharama ya kununua chakula iko...
Mimi ni mkulima wa nyanya nipo Singida.
Sio mbaya tukabadilishana uzoefu kuhusu zao hili ambalo kimsingi zao hili linawatoa sana watu ukilima ipasavyo. Hebu tuambiane upo mkoa gani na mbegu ipi...
Nahitaji kuzipata Chicken water drinking cups kwa bei nafuu. Maana kama miezi mitatu nyuma kuna jamaa mmoja Kariakoo aliniuzia kwa 1500 kwa pisi sasa leo nimerudi tena nimezikosa na kuingia maduka...
Kwa muda mrefu nimekuwa nafuga kuku, ila kwa siku za karibuni nimeanza kufuga bata maji, na sasa nna bata 150, naomba ushauri je niwaache waendelee kuzaliana au niwauze! pia kama unajua soko la...
Ndugu zangu nimeweza kulima nyanya, ziliota vizuri na nimejitahidi kuzihudumia dawa aina zote; yaani yakuzuia athari za ukungu na ya kupambana na wadudu haribifu. Sasa cha kushangaza zilipofika...
Ng'ombe alipigwa Dexamethazone akiwa na Mastitis, akakata kutoa maziwa, yakakauka kabisa. Nadhani huyu alifanya makosa kumchoma hiyo sindano.
Nifanyaje aweze kutoa maziwa tena?
Habari wakuu, naomba kupata uzoefu,nahitaji kununua cages kwa ajili ya kuku wa mayai. Je, cages bora na za kisasa ambazo hazishiki kutu, na zinazokaa muda mrefu na bei nafuu zinapatikana wapi?
Habari jamani, nduguzangu poleni na majukukumu, naomba msaada wenu kuku wangu wana shida moja, kwenye kutotoa ukute kuku ana mayai 12 lakini anatotoa machache Sana naombeni msaada wenu juu ya hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.