Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habari wana MMU!! Jamani mwenzenu nina ng'ombe nimemleta hapa nyumbani wiki iliyopita. Ng'ombe huyu nilimnunua huko Mkoani Ruvuma miezi tisa iliyopita ila niliamua kumuacha kwanza huko akue na...
0 Reactions
31 Replies
7K Views
Nipo Dar, wapi nitapata mbegu za mizabibu? Nataka kupanda nyumbani kwangu as a garden. Kama naweza kupata kwako naomba unitafute. 0658103810. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Nimeaza kujishulisha na ufugaji wakuku wa kienyeji toka mwaka jana Nimekumbwa na tazizo la kuku wangu kuwa wana koroma na kukohoa Naombeni mnisaidie ni tumie dawa gani kuwatibu hawa kuku wangu
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Nina gunia hamsini za mahindi ya njano aina ya CP 201naomba kujuzwa soko lake Kwa Dar es salaam au Tanga.Shukurani wadau
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Ndugu wanajamvi naombeni msaada kati ya Mbolea ya NPK na CAN ipi nzuri zaidi
0 Reactions
18 Replies
37K Views
Kwa maswali na majibu kwa masuala ya kilimo cha mboga, matunda, maua, viungo na dawa. Wataalam na wakulima tukutane hapa. ============================================== Kwa kuanza niongelee...
7 Reactions
307 Replies
96K Views
Heshima wadau wa JF, Naomba kama kuna mtu anaweza kunipa mchanganuo wa green house ya bei nafuu ya mita 15 kwa 8 kwa Dar es Salaam. Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Ni mtandao wa mashirika ,vikundi mwamvuli na makampuni yaliyoko kwenye sekta ya kilimo.Mtandao huu wa ANSAF ulianzishwa Tanzania mwaka 2006 kwa madhumuni makuu yafuatayo; ✓kufanya uchechemuzi kwa...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi kama mkulima namkaribisha kwa furaha Mkuu wa Wilaya aliyechaguliwa hivi karibuni. Wenzake wote hilo tatizo limewashinda ama walizembea. We fikiria umelima mahindi na mihogo unataka kuvuna...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Moja kwa moja kwenye hoja; tunatotoresha mayai aina zote; kiwanda chetu cha utotoreshaji (incubators) ni cha kisasa kabisa; hatching ration ni 98% karibu. Tray moja ni sh 8,000 tu. Pia tunauza...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hivi majuzi wakati Mheshimiwa rais anawaapisha mawaziri wapya aligusia kidogo hali ya soko la kahawa na alitoa kauli kwamba Ushirika 'usilazimishe' kununua kahawa kama hauna uwezo huo. Akaenda...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari,, kama wewe ni mdau w Kilimo kwa namna moja au nyingine yaani kuanzia kwa mkulima mfanyabiashara wa mazao, pembejeo , Dawa ,Mbegu nk. Sasa unaweza kuwafikia Wateja na walengwa wako kupitia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam wana JF wote! je ni kampuni gani hapa Tanzania inaweza kufunga "efficient drip irrigation system" maana hii teknolojia ya umwagiliaji inasekana kuwa ya ufanisi mkubwa. Nakarisha wadau wote...
1 Reactions
42 Replies
16K Views
Habarini wana jf Kwanza kabisa ni mshukuru mungu kwa mambo mengi anayotujalia na kutulinda na mambaya Wandugu naombeni mwenye ufahamu wa matumizi ya hizi mbolea anielekeze Akizingatia sana nalima...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mwamko wa Biashara miongoni mwa watanzania wengi bado ni tatizo. tatizo hasa liko wapi, na ufumbuzi wake uweje? mi ntajaribu machache lakini wengi tunaweza tukashirikiana majibu na utekelezaji...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
habari zenu ndugu...nimeona si vyema kukaa na upofu wangu wa kutokujua mambo jinsi yanvyokwenda..swali langu lipo hivi...wale waanzilishi wa makampuni makubwa duniani kama Cocacola,Mercedes...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nataka niagize hao kuku kutoka Tabora,jamaa amesema atanitumia picha whatsapp nimemwambia anitumie na clip video.....msaada nitawatambuaje wakifika?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzania inatumia gharama kubwa kuzuia karafuu, mahindi, kahawa, ng'ombe, madini na bidhaa nyingine zisivushwe nje ya mipaka yake na wakulima, wafugaji na wachimbaji wadogo Wa madini kwa lengo la...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwamaeneo ya same soko la tangawizi liko wapi na bei gan?
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mwenyewe utaalamu wa kilimo cha viazi mviringo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom