Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Nimenunua mayai 10 ya bata Bukin nitaka nipekeke yakatotolewe kwenye incubetor ila sijajua yatatotolewa kwa mda gan naomba kama kuna anayejua anifahamishe. Sent from my BlackBerry 9320 using...
1 Reactions
72 Replies
37K Views
Inakuaje wadau naomba tujuzane miezi ya mavuno ya mazao ya mahindi,karanga,mpunga,,korosho,alizeti,maharage na mazao mengine mengi ya chakula tuje tununue mazao na kuja kuuza mjini au kuhifadhi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
siku za karibuni nilikuwa natafuta mbolea ya kuweka kwenye migomba. nikaambiwa mbolea ya kuku ni nzuri sana, nikaenda kuitafuta. nikakuta inabei kubwa sana. gunia la debe kumi wanauza 4,000...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba nianze kwa kumshuru mungu kwa kunipa uzima na kunifanya nizaliwe Tanzania Tanzania tunazo fursa nyingi sana Leo ntazungumzia fursa zilizop kwenye secta ya kilimo watu wamekuwa wakilalamika...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Wadau, Nimeamua kua Mkulima rasmi. Sina uhakika na kile nachotaka kukifanya kwani sina Uzoefu wowote, wala sijawahi hata kumiliki bustani, sembuse kumiliki japo Gunia moja la zao lolote duniani...
4 Reactions
25 Replies
7K Views
Habari za majukumu wakuu! Naomba kujua popoo ni nini?(kwa anayelijua zao hili) Je zinalimwa wapi? Yaani mkoa gani? Asanteni kwa msaada!
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Salaam wana Jf. Natambua mu wazima na mvua hizi wengine mpo mashambani mkiandaa mashamba. Nimekuwa nikiona mijadala mingi hum ikijikita Katika Faida na mafaninikio ya kilimo. Lakini naomba tupeane...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni Kijana mjasiliamali natamani nianzishe kilimo cha alizeti alafu mwisho ninunue mashine ya kukamua hayo mafuta lakini changamoto yangu sijui hiyo mashine inapatikana wapi, pia sijui...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kilimo cha umwagiliaji na changamoto zake Wote tunajua kwa sasa tunakabiliwa na upungufu mvua na kutotabirika kwa mvua! tumekua tunategemea kilimo cha mvua, na kwa hali ilivyo tukiendelea...
6 Reactions
16 Replies
10K Views
Habari wa JF. Mimi ni binti ambaye nataka niingie shambani kuanza kilimo. Msaada wenu nauhitaji kujua gharama nzima ya kulima kilimo cha umwagiliaji. Kuanzia ukodishaji shamba hadi vifaa vya...
3 Reactions
6 Replies
7K Views
Habari wadau, poleni kwa majukum. Lengo la Uzi huu ni kupata maoni yenu. Nina shamba la ekari 3 lipo eneo la mitonga -mbanja Lindi. Ardhi yake ni ya mchanga, mazao yanayostawi ni pamoja na...
0 Reactions
2 Replies
950 Views
KAMA WEWE NI MUHITAJI WA KISIMA WAHI OFA ZETU ZA PASAKA AMBAZO BADO NDANI YAKE ZINATOA MAJADILIANO YA BEI. VISIMA HIVI NI VYA KARAVATI,TUNAVIANDAA MPAKA KATIKA HALI UNAYOONA PICHANI HAPO,WEWE...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Bila shaka yoyote ile kilimo ndiyo sekta inayoweza kuajiri watu wengi zaidi hata kukiko viwanda kama serikali ingetilia mkazo somo la kilimo mashuleni hasa katika secondary Nimepita katika shule...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Bandugu, Ni miti gani ya mbao inastawi ukanda wa joto pwani ya bahari ya Hindi, Kuanzia Mkuranga, Rufiji, Kilwa, Lindi mpaka Mtwara. N.B miti isihitaji zaidi ya miaka 10 mpaka kuvunwa kwake. Shukran!
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Sababu 14 kwanini biashara yako inahitaji kuwa na nembo na vingine vya kutafutia masoko. Leo nitatoa sababu chahche kwanini biashara yako inahitaji hivyo vyote ili ifanikiwe kibiashara...
3 Reactions
18 Replies
4K Views
Mashirika haya mawili yaliundwa kwa mujibu wa sheria mnamo tarehe 01/07/1982 kwa nia ya kuongeza ufanisi kwa kuwahamisha wafanyakazi wa kitengo cha utafiti wa iliyokuwa Wizara ya Kilimo na Mifugo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kampuni ya cccltd inawatangazia watanzania wote wenye kutaka kumiliki Makazi yao na kuachana na adha za upangaji , tumewaletea mpango rahisi sana , NUNUA KIWANJA KWETU CASH, Tutakukopesha tofali...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tanzania ni nchi ambayo 80% ya wananchi wake wanategemea kilimo. Katika bajeti ya wizara ya kilimo,mifugo na uvuvi,bajeti ya maendeleo mwaka 2016/2017 ilitengewa Tsh.101,527,497,000/= yaani...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwanza Kabisa Ningependa Kumshukuru Mungu Kwa Kutuweka Salama Hadi Leo Hii. Hapa ninapoishi kuna Vyama Vya msingi vya ushirika ambavyo vinahusika ununuzi au ukusanyaji wa mazao mfano Korosho...
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Naomba msaada kwa anayefahamu sehemu ambayo wanauza mbegu za miti za muda mfupi.inbox au nipigie 0712618000
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom