Wana jf hapa najua kuna wataalamu wa kilimo. Sisi Watanzania asilimia kubwa ni wakulima, hata uwe mfanyakazi wa ajira sehem fulani baadhi yao wanalima.
Kinachoniskitisha hapa kwani tunashindwa...
Haiwezekani mtu anaomba msaada alafu watahalamu husika mpo kimya ivi kwastaili hiyo tutafika ayo mnayoleta nimambo yakitt MTU akiuliza anamaana yakua hajuui kitu so msaada wenu ndio nguvu kwawote...
Habari wanajamvi, nimepitia makala ya faida ya kilimo cha miti ndani ya jamvi iliyochangiwa mwaka 2012,Naomba mwenye mchanganuo wa kina kuhusu faida ya uwekezaji wa kilimo cha miti anipatie na pia...
Wakuu habari, baada ya mpigo wa kwanza ulionipa hasara takriban eka 2 zote za tikiti najipanga nirudi tena shambani,kwaajili ya tikiti
Naomba mwenye mawazo au ushauri kwa wazoefu wa kilimo...
Wadau wa kilimo tumekuwa tukipata changamoto katika kununua au kuuza mazao kwa wakati na bei sahihi. Zifuatazo ni sababu mbali mbali:
Wauzaji/wakulima
1. Kukosekana kwa taarifa sahihi za...
Habari yako ndugu yangu..
Naomba tufahamishane kwa wale wenyeji wa Mbeya pamoja na wanao ifahamu kiasi, ni maeneo gani ndani ya Mbeya naweza Kodi shamba hasa kwa kilimo cha umwagiliaji cha...
Baada ya kuona fursa hii kupitia jukwaa hili nimeamua kuifanyia kazi.
Mwaka huu mwezi wa 8 nikasafiri kuja Iringa mji wa Mafinga nikafanya research na kugundua kweli kilimo hiki kinafanyika...
Habari gani wakuu......
Kwanza poleni kwa majukumu...Mimi ni mwanachuo Dodoma lakini nina wazo la kilimo pia..
Ninawazo la kukodi shamba mpanda kwa ajili ya kilimo cha Mpunga...
Wakuu habari zenu?
Naomba ushauri kwa walio na utaalamu wa kujua kuku (broilers) wangapi watatosha kufugwa kwenye banda lenye vipimo hapo chini.
Mita 13.2 mapana
Mita 3.2 marefu
Asanteni.
Habari za muda huu wakuu.
katika kilimo taarifa nyingi huwa ni muhimu ili kujua kama eneo fulani linafaa kwa kilimo kipi.mojawapo ni kiasi cha mvua.
mfano,mahindi hustawi kwa mvua milimita 600-...
Mimi sio mkulima ila nimevutiwa na hii sijui ni kweli
~*Tajirika na Tikiti*~
Hii si Hamasa tena ni zaidi ya kweli.....
*TAJIRIKA UKIWA KIJANA ~ LIMA TIKITI*
Kwa wastani heka moja ya tikiti...
Nilikuwa naulizia mazao yafuatayo yana patikana kwa wingi wapi na yanapatikana wakati gani?
Tafadhali taja mazao na mkoa unayojua inapatikana. Mfano. Maharage- dar es salaam[emoji4]
1...
Hi guys,for first time I want to share this stuff with you,katika jf,
Hii kitu nimekutana nacho kwa wakulima wengi sana in rukwa,mbeya and singida,wakulima hutumia nguvu sana in purchasing...
Wengi wanashindwa kuanza kilimo cha umwagiliaji kwa kukosa mtaji wa kuchimba kisima na kununua pampu, ukiitumia akili yako vizuri hili si tatizo kabisa. Akili ni mali, angalia jinsi ya kuanza...
Biashara iliyokuwa ikifanywa na Wawekezaji ya kununua vifaranga na Mayai kutoka nchi za nje imepigwa marufuku, baada ya Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, William Ole Nasha, kusema kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.